Frank I Ritte
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,003
- 1,350
Kwa hiyo Asas amekupa hela.Huyu aliyopo yupo vizuri zaidi kuliko wa nyuma yake, Ila tu 2025 tuwachuje kwa lengo la kupata mbunge ambae ataiheshimisha iringa mjn Kama ilivyo dodoma kwasasa, afanye vitu vya maana ambavyo watu watavi notes nakuona Sasa iringa mjn inafaa iitwe jiji Ila huyu jesca amejitajd mno
Sasa nyny mmefanya nn Cha maana, chagueni mtu wa maana atakae upamba mj si lazima awe asas lakini awe ni mtu mwenye focus ya maanaFikra za kimasikini za kutegemea mgombea au mbunge kuwasaidia watu kwa pesa binafsi.
Wananchi wanatakiwa kufikiria kuwezeshwa sio kusaidiwa. Kwanini wananchi wanasubiria maziwa ya bure kwa mfanyabiashara wakati wana mifugo na wangeweza kuweka utaratibu mzuri tu.
Hujui chochote juu ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za ndani ya manispaa au mji. Hiyo ni miradi inayosimamiwa na serikali kupitia wizara kwa bajeti walizoomba na kupitisha bungeni! Hakuna mbunge anayejenga barabara, elewa Hilo! Hans huko ccm kunadumaza akili yako hainyambuliki wewe chawa wa ukoo wa Abri!Mimi nazungumzia kuujenga mji wa Iringa achana na viwanda, kuwepo na mtu mwenye focus atakae ifanya iringa iwe manispaa haswa...feeder roads zenyewe zimejengwa na Jesca , tunataka iringa iboreshwe miundombinu ili liwe jj...hyo itafanywa na kiongoz makini lakini syo chadema...chadema ni wasanii sana
Kwahyo hizo bajeti zimeanza kusomwa sahz kipindi cha jesca syo, ndo maana nakwambia mmechagua chadema miaka kumi Hakuna hata shule ya gorofa, ameacha barabara kibao zinavumbi halafu leo Tena mnamtaka huyohyo 🤣 kipindi cha msigwa watu wkend wanatoka manispaa wanaenda kula bata SHIMON CLUB MAFINGA kwasabu ya poor infrastructure ..mlitutia aibu SanaHujui chochote juu ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za ndani ya manispaa au mji. Hiyo ni miradi inayosimamiwa na serikali kupitia wizara kwa bajeti walizoomba na kupitisha bungeni! Hakuna mbunge anayejenga barabara, elewa Hilo! Hans huko ccm kunadumaza akili yako hainyambuliki wewe chawa wa ukoo wa Abri!
Umemaanisha nini hapo ulipoandika "kamentle" komredi?Nyie masela wachadema hamjawahi kuwa na akili sitahimilifu yani mpo juu juu tu hamjiamini🤣🤣....kuielewa chadema lazma uwe na kamentle kidogo si bure
Kama kweli ni "muIringa" basi una matatizo kumutwe.Elewa hivyo tu.Kwahyo hizo bajeti zimeanza kusomwa sahz kipindi cha jesca syo, ndo maana nakwambia mmechagua chadema miaka kumi Hakuna hata shule ya gorofa, ameacha barabara kibao zinavumbi halafu leo Tena mnamtaka huyohyo 🤣 kipindi cha msigwa watu wkend wanatoka manispaa wanaenda kula bata SHIMON CLUB MAFINGA kwasabu ya poor infrastructure ..mlitutia aibu Sana
Tuchague watu ambao wataisemea Iringa na kuitangaza inakuwaje mji wa zamani mpaka Sasa viwanja mil.2.5 kweli....ASAS ameitangaza kwa bidhaa zake Ila Sasa inatakiwa...hata njombe hakuna kiwanja Cha mil.2.5Kama kweli ni "muIringa" basi una matatizo kumutwe.Elewa hivyo tu.
Ndiyo umenielewesha?Mkuu vipi hoja zimeisha
Wewe ni chawa mkavu sana.Acha watu waamue wenyewe.Umepewa maziwa na nauli ya kurudia Kinegamgosi unakuja kusumbua watu JF!Tuchague watu ambao wataisemea Iringa na kuitangaza inakuwaje mji wa zamani mpaka Sasa viwanja mil.2.5 kweli....ASAS ameitangaza kwa bidhaa zake Ila Sasa inatakiwa...hata njombe hakuna kiwanja Cha mil.2.5
Sawa mama kukuNatoa maoni hayo kwa maana kwamba ashaonyesha uwajibikaji,
We ndo umezoea kutumwa kuku we!
Si lazima awe yy Ila tuchague mtu ambae ataipaisha manispaa kuwa jj, syo mnachagua chagua tu..huyo msigwa alishindwa hata kujenga ofs yake ya mkoa😄😄 kwa miaka yote hyo ...ino utigilaga uyo munu pedee🤣Sawa mama kuku
Ni hivi, uwajibikaji huo ni invitation to treaty....
2025 tunaenda na msigwa. Over.Nimetafakari mwenyewe personal nimeona anaweza akawasaidia Wana Iringa
Ninawashauri wachague watu wa maana syo porojo porojo tu wanatuchelewesha maendeleo ss Wana Iringa manispaa imagine mtu amekaa miaka 10 ameshindwa kujenga ofs yake mwenyeweWewe ni chawa mkavu sana.Acha watu waamue wenyewe.Umepewa maziwa na nauli ya kurudia Kinegamgosi unakuja kusumbua watu JF!
Unaanza kutoka kwenye nafasi ya kuku mzazi unaelekea kwenye kufuga.Si lazima awe yy Ila tuchague mtu ambae ataipaisha manispaa kuwa jj, syo mnachagua chagua tu..huyo msigwa alishindwa hata kujenga ofs yake ya mkoa😄😄 kwa miaka yote hyo ...ino utigilaga uyo munu pedee🤣
mikoa mipya imeanza juzi tu kwetu(kama umenyonya kabla ya 2000).Before 2000 huko makete ilikuwa Iringa bado.Kwani msigwa ni mzawa mkuu...nae niwakuja tu kwao makete