Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Kwa hiyo ubunge ni zawadi na siyo uwajibikaji?

Mwekezaji anapewa Ubunge na baada ya hapo nani atawaunganisha wananchi kwa ajili ya maendeleo yao?

ASAS anatafuta unafuu wa uwekezaji wake ndo maana amekutuma uanze kutengeneza mazingira.

Yule DC alimfanyia kampeni na yeye akapaishwa Halimashauri Kuu. Kifuatacho ni syndicate kubebana during election kuanzia kura za maoni.

Dawa ni moja tu. Kuipiga chini CCM kwenye uchaguzi mkuu. Hata walete malaika mjue watamchakachua akiwa madarakani
 
Kwa hiyo ubunge ni zawadi na siyo uwajibikaji?

Mwekezaji anapewa Ubunge na baada ya hapo nani atawaunganisha wananchi kwa ajili ya maendeleo yao?

ASAS anatafuta unafuu wa uwekezaji wake ndo maana amekutuma uanze kutengeneza mazingira.

Yule DC alimfanyia kampeni na yeye akapaishwa Halimashauri Kuu. Kifuatacho ni syndicate kubebana during election kuanzia kura za maoni.

Dawa ni moja tu. Kuipiga chini CCM kwenye uchaguzi mkuu. Hata walete malaika mjue watamchakachua akiwa madarakani
Natoa maoni hayo kwa maana kwamba ashaonyesha uwajibikaji,
We ndo umezoea kutumwa kuku we!
 
Mkuu kwema? Katupostie kisa kule entatainment! Kile cha mim na boss kilikuwa funiko! Mwache huyu mlugaluga tumpe za chembe mpaka atapike huo mtindi alio hongwa kutuletea upumbafu kiwango cha sgr!
Unavyopania utafikili unajua kweli kumbe inaongea k-vant😄 haya hzo chembe ziko wapi npo hapa
 
Ubunge ndio kipimo cha uwezo? Au nyie ndio wale mnaona wanasiasa ni miungu?
Sasa si Bora huyo anayeweza akajenga hata darasa moja pekee yake..hoyu ndugu yeni miaka 10 yote alifanya nn Cha maana...mnachagua porojo tu badala muangalie uwezo wa kutatua matatizo
 
Unavyopania utafikili unajua kweli kumbe inaongea k-vant😄 haya hzo chembe ziko wapi npo hapa
Yaani wahehe mnasikitisha Sana. Hao waarabu mnaowaabudu wamewatia umaskini wa hatari lakini bado mla mbwa mmoja unajizima data kumgombania apewe ubunge! Kama ubunge hapo kitwiru unakolewa maboso ni zawadi, Basi yatosha ukimpa wa kwako itatosha Sana.
Wanawanyanyasa Sana kwa ajira zisizolipa na wamekamata fursa zote za uchumi na bado unamtaka akakusemee bungeni! Tafakari mjumbe msaliti!
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Hutuwezi kumpa Ubunge mtu ati kisa anatoa maziwa shuleni!...huo ujinga peleka huko....Sisi tutampa Ubunge mtu ambaye atakuja plans za namna ya kutengeneza ajira kwa wana Iringa iwe through kuboresha kilimo au kufufua viwanda hatujui....kinachotakiwa ni availability ya ajira, afya na elimu bora....siyo huo ujinga...eti anatoa maziwa...hopeless
 
Hutuwezi kumpa Ubunge mtu ati kisa anatoa maziwa shuleni!...huo ujinga peleka huko....Sisi tutampa Ubunge mtu ambaye atakuja plans za namna ya kutengeneza ajira kwa wana Iringa iwe through kuboresha kilimo au kufufua viwanda hatujui....kinachotakiwa ni availability ya ajira, afya na elimu bora....siyo huo ujinga...eti anatoa maziwa...hopeless
Aisee we jamaa labda CCM ndo wanahoja hizo...ushawahi sikia viongozi wa chadema wanazungumzia kuhusu kilimo? Kuhusu Elimu,
Miaka ya Sasa bado unatamka plans whch plans? Huyo mwenye plans yy mwenyewe amefanya Nini?
 
Sasa si Bora huyo anayeweza akajenga hata darasa moja pekee yake..hoyu ndugu yeni miaka 10 yote alifanya nn Cha maana...mnachagua porojo tu badala muangalie uwezo wa kutatua matatizo
Kajenga nini huyu Salim wako? Kashindwa kupeleka hata kiti kimoja Cha kukalia mwalimu hapo kibwabwa shuleni karibu na ofisi zake ndio atakufaeni kwa ubunge?
Na kwa uwezo wako duni wa kufikiri, mbunge anapata wapi fedha za kujenga mradi wowote peke yake? Taja hata mbunge mmoja nchi hii aliyejenga hata daraja la mbao kwa fedha zake!
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO

Akili za Wanywa gongo bana
 
Kajenga nini huyu Salim wako? Kashindwa kupeleka hata kiti kimoja Cha kukalia mwalimu hapo kibwabwa shuleni karibu na ofisi zake ndio atakufaeni kwa ubunge?
Na kwa uwezo wako duni wa kufikiri, mbunge anapata wapi fedha za kujenga mradi wowote peke yake? Taja hata mbunge mmoja nchi hii aliyejenga hata daraja la mbao kwa fedha zake!
Mshawahi omba mkakataliwa au mkaandika proposal ikakataliwa ?
 
Yaani wahehe mnasikitisha Sana. Hao waarabu mnaowaabudu wamewatia umaskini wa hatari lakini bado mla mbwa mmoja unajizima data kumgombania apewe ubunge! Kama ubunge hapo kitwiru unakolewa maboso ni zawadi, Basi yatosha ukimpa wa kwako itatosha Sana.
Wanawanyanyasa Sana kwa ajira zisizolipa na wamekamata fursa zote za uchumi na bado unamtaka akakusemee bungeni! Tafakari mjumbe msaliti!
Hayo ni maoni yangu nimelinganisha uongoz wa msigwa na huyu nimegundua msigwa Hakuna alichokifanya zilikuwa porojo tu, hzo fursa za kiuchumi si hata ww unaweza ukaendeleza unategemea akufanyie nani
 
Mshawahi omba mkakataliwa au mkaandika proposal ikakataliwa ?
Yeye hajui au haoni wakati anapita hapo Kila Leo kugawa vijikopo vyake vya mtindi? Hata shule ya sabasaba na gangilonga au wilolesi zilizo jirani na makazi yake anashindwa kuzisaidia kwa lolote ndio unamuombea ubunge? Tafuta shughuli mnyalukolo Hilo limebuma!
 
Yeye hajui au haoni wakati anapita hapo Kila Leo kugawa vijikopo vyake vya mtindi? Hata shule ya sabasaba na gangilonga au wilolesi zilizo jirani na makazi yake anashindwa kuzisaidia kwa lolote ndio unamuombea ubunge? Tafuta shughuli mnyalukolo Hilo limebuma!
Unalazimisha mtu ajue shida zako aisee we jamaa mbona unafikra za kiwango Cha chini sana
 
Hayo ni maoni yangu nimelinganisha uongoz wa msigwa na huyu nimegundua msigwa Hakuna alichokifanya zilikuwa porojo tu, hzo fursa za kiuchumi si hata ww unaweza ukaendeleza unategemea akufanyie nani
Kwa nini usimlinganishe na Jesca aliyepo madarakani kwa Sasa ambaye ni ccm mwenzake? Yeye amefanya mradi gani hapo mjini? Usipende ligi usiyoweza kulilinda kwa hoja kwani utamchonganisha na ccm wenyeji wanaodhulumiwa na kunyanyaswa na utajiri wake!
 
Kwa nini usimlinganishe na Jesca aliyepo madarakani kwa Sasa ambaye ni ccm mwenzake? Yeye amefanya mradi gani hapo mjini? Usipende ligi usiyoweza kulilinda kwa hoja kwani utamchonganisha na ccm wenyeji wanaodhulumiwa na kunyanyaswa na utajiri wake!
Jesca ni kiwango Cha juu anajitahidi Sana kwa kipindi kifupi Iringa imetulia watu wanafanya kazi zinaenda....Sasa enzi za msigwa mbona Iringa ilikuwa vurugu as if darasa la awali😄
 
Back
Top Bottom