Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ila amesaidia/anasaidia watu wengi Sana, niseme tu Mungu amubariki sana kwakweli.
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.

MPENI JIMBO ASAS 2025, BEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
Akiwa mbunge hatatoa tena maziwa ya bure, bure aghali. Tunataka bunge lenye vichwa na sio bunge la mabwenyenye, mwache ASAS aendelee kututengenezea tamutamu.
 
Mtu huyo ni mfanyabiashara, utu wake Kwa watu sio kwaMba ndo tumpe uongozi. Swala la kusaidia ni tofauti na loyalty ya mtu katika uongozi. Au wewe ndo amekutuma kama chawa wake??... Naanza kuwa na shaka na huo msaada wake huyo assas, itakua ni rushwa, kama sivyo Kwa nini utumwe na yeye kuleta Uzi kama huu???

Kiukweli kama yeye anataka uongozi akachukue form, aseme sera yake, sio aje na kiki ya kusaidia wasiojiweza. Watu wa Jimbo la rungwe mbeya, yaliwakuta magumu walipomchagua Sauli Kwa kigezo Cha namna iyo.
Na majimbo mengine ni Vizuri tuwe makini na wafanyabiashara
Hayo Ni maoni yangu binafsi mkuu, hayo mengine siyafahamu
 
Msigwa apumzike kwanza aliiharibu Sana Iringa
Aliiharibu kivip? Embu fafanua? Aliwaingilia kinyume na maumbile ndo maana mkapachikiwa mwanamke au? Kama ni hivyo mbona hamkujinyonga! Kwa sasa naona unanadi kabisa mgunya(muarabu koko) Shauri yenu huko!mtajua wenyewe na wachungi wenu! By the way nna kademu pale ihemi mgama! Kape hi! Kaambie ntakatumia sangara! Kwan fikosh si inapita hapo kutokea mwanza
 
Aliiharibu kivip? Embu fafanua? Aliwaingilia kinyume na maumbile ndo maana mkapachikiwa mwanamke au? Kama ni hivyo mbona hamkujinyonga! Kwa sasa naona unanadi kabisa mgunya(muarabu koko) Shauri yenu huko!mtajua wenyewe na wachungi wenu! By the way nna kademu pale ihemi mgama! Kape hi! Kaambie ntakatumia sangara! Kwan fikosh si inapita hapo kutokea mwanza
Nyie masela wachadema hamjawahi kuwa na akili sitahimilifu yani mpo juu juu tu hamjiamini🤣🤣....kuielewa chadema lazma uwe na kamentle kidogo si bure
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.

MPENI JIMBO ASAS 2025, BEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.

Wampe ubunge kama sehemu ya fadhila ama nini?
 
Mkuu kwema? Katupostie kisa kule entatainment! Kile cha mim na boss kilikuwa funiko! Mwache huyu mlugaluga tumpe za chembe mpaka atapike huo mtindi alio hongwa kutuletea upumbafu kiwango cha sgr!
Sasa huyo msigwa miaka yote mbona alituharibia tu mji wetu
 
Back
Top Bottom