Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nipo hapo kwenye maziwa na sukari!Umetawaliwa na mawazo ya kimasikini kama waliyo nayo watu wa Morogoro mjini, Singida mjini wakati wa MO nk kwamba amayetoa misaada kwa ukwasi wake ndio anastahili ubunge badala ya kuja na mawazo endelevu.
Wenye akili wanahitaji mawazo endelevu sio msaada wa maziwa na sukari