Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza Afsa Lishe Manispaa.Hoja yako ni yauongo bwana
Ubunge hautolewi km zawadi km unampenda Mwl nyerere aliwahi sema km unampenda mtu kampe Chai hoteliniASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, BEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
... be informed!Sijui mkuu
Hata Abood hivyo hivyo tuTuwe na Imani na bwana ASAS NI mtu wa watu sana
PoleKwani ww unaposhabikia man u ushawahi kaa nayo ukaishauri lolote
Unakatalia takwimu za taifa?Mimi spo Iringa kwasasa Ila bwana hakuna udumavu kiasi hicho. Umeamua kututukana tu wahehe
Maneno yapi hayo? Yaan kabisa huyo mchungi ndo awe mbunge kweli!? Si bhange hizi! Tena mbichi kabisa! Halaf msigwa tumpeleke wapi?Hayo maneno umeyatoa wapi au umeshalewa kamanda
Mimi ninaishi maisha yenye haki, siwezi kuhujumu mali ya umma kwa masilahi yangu binafsi, mkuu ninaujua mno mkoa wa Iringa, nimesoma pale Mkwawa CNE na huyu Asas chanzo cha utajili wake sio clean money kwa taarifa yako, jimbo la Iringa always lilikua linaongozwa na wabunge makini wenye uchungu na nchi yao ref.Mbunge Z.Mwaduna(alikua lecture pale Mkwawa CNE),akina Jackson Makweta, Tuntemeke Sanga wote hawa ni clean MPs kutoka Iringa, usituletee uchafuKwanini na ww usiwe fisadi acha wivu fanya kazi...syo unabaki kupakazia watu majina ya ufisadi kwani ww kuwa fisadi umekatazwa kiazi we!
Baki na haki yako achana na kufatilia maisha ya Watu na kuwapakizia majina mabayaMimi ninaishi maisha yenye haki, siwezi kuhujumu mali ya umma kwa masilahi yangu binafsi, mkuu ninaujua mno mkoa wa Iringa, nimesoma pale Mkwawa CNE na huyu Asas chanzo cha utajili wake sio clean money kwa taarifa yako, jimbo la Iringa always lilikua linaongozwa na wabunge makini wenye uchungu na nchi yao ref.Mbunge Z.Mwaduna(alikua lecture pale Mkwawa CNE),akina Jackson Makweta, Tuntemeke Sanga wote hawa ni clean MPs kutoka Iringa, usituletee uchafu
Muombe afisa lishe manispaa.Naomba evidence
Watu wengine buana!
Huo ubunge umsaidie nini nje ya biashara na utajiri wake?
Jifunzeni ya Morogoro mjini na Mbunge wake tajiri anavyo nunua viwanja vyote mjini kwa shari na halali.