Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
UJINGA ni mtaji mkubwa wa watawala, Asas ni businessman sio politicians,...unajua wewe utajiri wake huu umetokana na nini?,Songea kule hawa jamaa wameua tembo wetu wengi tu,na sasa wanakuwa rewarded na vyeo hivi ili wajifiche zaidi, it's craze
Ukiombwa ushahidi utatoa? Acha ubaguzi mkuu. Kwani hakuna viongozi wa kiafrika hawauwi tembo wetu! Au kwakua ngozi nyeupe ndio umkandie!