Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ndo amekutuma upime upepoo? Muambie awe bize na kutengeneza yoghurt, ubunge sio wake.
We mjinga nn nipime upepo gani? Watu tunataka tupate kiongozi wa maana atakae ijenga Iringa yetu ili lije siku moja liwe jj wew unasema napima upepo nyau we!
 
Hivi bila CCM kujenga Ile miundombinu pale mjni iringa siingepitwa na ludewa😄😄
...msigwa alikuwa na baraza la madiwani wanauza viwanja tu wao hawanunui....WAHEHE TUACHANE NA CHADEMA WATATURUDISHA NYUMA
Mbali na iringa ulibahatika kuishi wapi tena tz?
 
pifunda pala zile roads kumbe alijenga mfugale bwana, unaona watu Kama hao...unapopita ifunda vp palivyo pazuri. Lakn msigwa alihamasisha watu wajenge vilabu na pamjn🤣🤣....tuifanye iringa liwe jj ...nogage Sana veve
Mgaya luhala veve!Kimong'omong'o kabisa!
 
Ubunge ni uwakilishi wa wananchi bungeni, sio kazi ya kushibia njaa.
Hao wabunge wanaofanya maendeleo je? Huko ismani mbunge amewalisha chakula wananchi wake mwaka mzma kwahyo alifanya kosa syo...nyie michadema hovyo kabisa.
 
We bakiaga hukohuko uliko Ila ss tutahakikisha tunapata mbunge mwenye focus ya maendeleo atakae weka alama...Sasa msigwa aliacha alama gani...be nayuveve ngali uke wigala sweh!
Sisi?Wewe na nani?Unawajua wapiga kura wa Iringa mjini?
 
Kwani si kuna asas flani yupo ccm kule iringa. Ni Asas gani yule? Mkubwa au?
 
Mbali na iringa ulibahatika kuishi wapi tena tz?
Nyie chadema bwana...mpo bungen miaka 10 hamna hata ofs na mbeya hvohvo sjui hela mnapelekaga wapi mmefanya iringa yetu nyuma sahz ndo jesca anajenga barabara
 
We mjinga nn nipime upepo gani? Watu tunataka tupate kiongozi wa maana atakae ijenga Iringa yetu ili lije siku moja liwe jj wew unasema napima upepo nyau we!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee wee chawa wa ASAS, muambie Iringa hawamtakiii. Awe buzzy kutengeneza yoghurt na mtindi.
 
Hao wabunge wanaofanya maendeleo je? Huko ismani mbunge amewalisha chakula wananchi wake mwaka mzma kwahyo alifanya kosa syo...nyie michadema hovyo kabisa.
Hawana mikono mpaka walishwe??
 
Hao wabunge wanaofanya maendeleo je? Huko ismani mbunge amewalisha chakula wananchi wake mwaka mzma kwahyo alifanya kosa syo...nyie michadema hovyo kabisa.
Hivi wewe una akili sawasawa?Aliwalisha chakula mwaka mzima?Mwaka gani?Tupe na idadi kijiji kwa kijiji waliolishwa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee wee chawa wa ASAS, muambie Iringa hawamtakiii. Awe buzzy kutengeneza yoghurt na mtindi.
Nyie chadema mmetuharibia iringa yetu imagine miaka 10 lakin mmeshindwa hata kubuni maeneo ya maana..hebu onene njombe mjn mbunge anavyoutanua mjn..soon njombe inakuwa manispaa nyie mtaendelea na siasa zenu za kitapeli
 
Asasi sio mhehe Wala mbena, Wala mkinga.
Sio mwenzetu ni mtu aliyekuja kuinyonya nchi yetu kupitia Ukoloni mpaka Leo.

Watanzania na waafrika ni watu wa ajabu sana .

Yaani Kodi zetu tunataka nazo ziliwe na wanyonyaji kupitia kimshahara na viposho badala ya kuwapa nafasi Vijana wetu wanaomaliza vyuo ili nao wapate maisha Bora. Waafrika hatupendani ndio maana tunatafutiana maisha magumu badlala ya kurahisha maisha Kwa waafrika Wenzetu tunawaza misaada.
 
Back
Top Bottom