Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Acha upumbavu, hunijui mimi,huo ubaguzi unaousema umenijulia wapi?,nimeishi na boers na hawakunibagua hata siku moja,Asas utajiri wake hauna paper trail
Mkuu achana na kujadili utajiri wa Watu ww jikite kwenye utajiri wako uliovuna South...mbona watu tukiwa na laki tu home hapakaliki tunawaza misele tu🤣Ila ww umeenda south umerudi umekuta matajir uliowaacha bado wanahela...hzo ni kudra za Mungu tuzid kuomba Mungu atupe nidham ya hela
 
Wewe chuki yako ni Msigwa inamaana hata ndani ya CCM hakuna mtu zaidi ya hao magobachori . Hivi unafikiri Kuna Bilionea mweupe anayetaka mtu Mweusi ajitambue.?

Akili ndiyo itakayotutoa hapa tulipo sio misaada. Wachina walipelekwa kwa Wingi Marekani kusoma na kuiba Teknolojia Sisi tunawaza misaada ya maziwa .
Asasi nyuma yake Ipo familia ya watu wa Msoga . Hakuna bilionea ambaye amepata ubilionea kihalali zaidi ya kukumbatia pesa zilizoibiwa kwenye masandarusi kutoka hazina unakolipishwa Kodi na Tozo wanasiasa wanazikwapua na kuwapa Wahindi wajenge VIWANDA na kujificha nyuma yao. Watanzania tutaibiwa sana Kwa sababu tunawapa wezi nafasi ya kututawala na kututungia SHERIA za hovyo.

Hivi unajua Tanzania Kuna mamilionea wengi sana lakini wanakwepa Kodi na kuwafanya maskini ndio wawe walipa Kodi.

Mnawachagua wezi wanapata Ubunge wanakwepa Kodi wanawatungia SHERIA za toza na kikokotoo. Mnabaki maskini pesa wanazokwepa Kodi wananunua kura na kuwapa maziwa na tishet.

Tunasafari ndefu sana .
Muulize alijenga wapi ofs ya chama chake, alijenga barabara ngapi, aliacha legacy gani jimboni kwakwe, mazingira yalikuwaje na Sasa yapoje? Tunasema ukweli Kama ni poor performance iwekwe wazi
 
Maendeleo hayawezi kuletwa na mtu mmoja Tena mwarabu anayemwona mwafrika kama kima na kumdharau kama mtumwa asiye na akili. Hivi unafikiri hao watu weupe wamewahi kumwaona mwafrika kama binadamu mbele ya maslahi yao.

"Sinking man scratches a serpent"
Nimesema watu aina ya Asas ambao wanauchungu na maendeleo ya Jimbo la IRINGA ambao Wana kiu yakuona thaman ya Ardhi inakuwa na inawavutia wawekezaji....syo mtu anashindwa kujenga hata ofs yake hivi kweli jaman
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Umeshiba mtindi ni kutujambia tu humu jf
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Unataka kuimaliza Ruaha ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Muulize alijenga wapi ofs ya chama chake, alijenga barabara ngapi, aliacha legacy gani jimboni kwakwe, mazingira yalikuwaje na Sasa yapoje? Tunasema ukweli Kama ni poor performance iwekwe wazi
Mimi Msigwa simfagilii kama Msigwa ila Nasema Kwa Nini keki ya Taifa tuwape walioshiba wakati ndugu zetu wa kitanzania bila kujali vyama wanaweza wakatuwakilisha Bungeni na kutunga SHERIA Bora. Ndio maana hata suala la Ushoga tunaogopa kupambana nalo mana tuna watu wengi wasio waafrika wanaotulisha tunaogopa kuwakwaza.

Hata hivyo Bado Kama maana ya Ubunge ni kuwawakilisha Wananchi katika Bunge la kutunga SHERIA basi Msigwa aliwakilisha vizuri na hajatuibia .

Ni lazima tuwe na Uchungu na nchi yetu pamoja na kwamba siku hizi kutetea Rasilimali za nchi ni KUONEKANA kuwa ni roho mbaya. Lakini Tumeona wazawa wanavyolalamika kuhujumiwa kwenye Biashara Kariakoo. Mbunge wao ni Mgeni na ni Naibu Spika . Amewatungia wafanyabiashara wenzake SHERIA mbovu kwa sababu Hana Uchungu nao zaidi ya maslahi yake .

Hivi nyie Bado hamjifunzi kitu Kwa Wafanyabiashara wa Kariakoo na wawakilishi tunaowatuma Bungeni. Hivi unategemea Mgeni anauchungu na mzawa. ?
Bila shaka wewe ni mnufaika wa Asas lakini Mimi siwafagilii kamwe wageni nje ya Bara la Afrika awe ni MZUNGU ,MWARABU ,MCHINA,MHINDI .Hawa watu kaamwe hawajawahi kuwapenda Waafrika Mbele ya maslahi yao. Na tusipikua makini wajukuu zetu watakua watumwa kwenye nchi hii na bara Hili miaka 50 ijayo kutokana na Kutawaliwa na kizazi kinachoamini katika misaada ya Kaniki na Bunduki.

"Sinking man scratches a serpent"
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Kwa hiyo kwa Tanzania mtu yeyote akigawa maziwa yaliyo expire kwa shule mbili tatu anapewa ubunge.
 
Nimesema watu aina ya Asas ambao wanauchungu na maendeleo ya Jimbo la IRINGA ambao Wana kiu yakuona thaman ya Ardhi inakuwa na inawavutia wawekezaji....syo mtu anashindwa kujenga hata ofs yake hivi kweli jaman
Haya mambo ya ofisi za Chama hayana maslahi ya nchi zadi ya siasa .

Tunahitaji watu kama Msigwa wa kubadili mindset za waafrika maana tumelogwa na Hawa wezi kutoka nje. Watu waliowauza Babu zetu wakatajirika Leo tunawaona ni watu wema . Kwa Taarifa yako Hawa wageni wanatajirika kutokana na Corrupt system tulizonazo kwenye nchi yetu.

Mwarabu na mhindi anajua kucheza na akili za mwafrika . Watanzania wananyanyasika sana kwenye nchi hii . Nenda vituo vya Polisi uone jinsi wageni wanavyonyenyekewa kutokana na pesa zao,nenda mahakamani ,nenda TRA uone wanavokwepa Kodi Kwa kutoa rushwa. Hata wafanyabiashara wanaolalamika sio Wahindi Wala Waarabu ni wale waafrika Wenzetu. Kuna Wahindi wameajiri wataalam wa IT kazi yao ni kuhack mitandao ya fedha na kukwepa Kodi na kuibia nchi na wanajulikana halafu watu wanabaki kukimbizana na Wamachinga Kariakoo. Acheni kutetea Hawa watu Hawa ni adui wa maendeleo ya mwafrika milele. Ingekua wao ndio wanajenga Barabara basi akina Bahressa wangejenga flyovers pale TAZARA kabla ya JPM kujenga. Pumbavu sana Wahuni .!

Mzungu , Mwarabu ,mhindi na wanasiasa wahuni lao Moja . Hawa ni watu wanaoweza kushirikiana kuhujumu nchi na wakapigiwa makofi makofi badala ya kupigwa makofi kutokana na misaada wanayotoa . Wazungu wao walishakwenda mbele zaidi wanahujumu Kwa misaada mikubwa ya kitaifa na kimataifa kudumaza kabisa Waafrika na bara la Afrika kupitia watawala Moja Kwa Moja bila kujali SHERIA za ndani wao wanafuata SHERIA zao wanazoziita za kimataifa.

Kama mabilionea waliopo Tanzania wangelipa Kodi kama wafanyabiashara wadogo wanavyolipa basi nchi hii ingetoa misaada na Mikopo kwenye nchi nyingine kama Burundi n.k. Cha ajabu Hawa ndio wakwepa Kodi na wanatoa rushwa chap. Mtu aliyekwepa Kodi ya bilion Kumi kutoa million mia Tano au kutoa maziwa na kuwapa watoto wa Wakinga na wahehe na wabena wanaodanganywa kuwa ni maskini kwenye ardhi yao yenye rutuba inayoporwa na wafugaji na WAKULIMA wa kigeni lakini Wenyeji wakifukuzwa na kuambiwa mifugo yao Haina thamani kama Mbweha na nyoka wa porini wakati vyote ni hayawani wa porini TU.
 
Mbunge awe ni mtu mwenye uwezo wa kifikra na kifedha pia asiwe ni mtu wakutegemea mfuko wa Jimbo kwa asilimia zote awe ni mzarendo wa eneo lake kulipigania Kama wanavyofanya akina Lukuvi, Jesca, mbunge wa njombe tc, makete, ludewa, Mbeya jj..nawengine Kama hao...unaona kabisa Wana focus ..syo kuzungusha mikono tu
Akili tegemezi hizo.
 
Kwa hiyo kwa Tanzania mtu yeyote akigawa maziwa yaliyo expire kwa shule mbili tatu anapewa ubunge.
Watu wanatumiwa kuhujumu nchi yao Kwa manufaa ya wageni .

Watu hawajui TU kuwa sharia mbovu na kandamizi zinatumgwa na watu wasiojali maslahi ya wananchi waliowengi.

Kwa mfano mpaka Leo Sijaelewa ni Kwa Nini Gongo inapigwa vita na Inaonekana kama madawa ya kulevya wakati huo huo Kuna VIWANDA vinatengeneza pombe kama hiyo. Kwa Nini wananchi maskini wanaoteotengeneza pombe hiyo wasielekezwe namna Bora ya kutengeneza na hata wakatafutiwa mitambo safi kutoka china Kwa Bei nafuu wakatengeneza na wakawauzia wateja wao ambao ni watu wa kawaidi sana ambao hawana uwezo wa Kununua K- vant au Konyagi . Kwa nini biashara huria inabaki Kwa wafanyabiashara wakubwa Tena wageni lakini Wenyeji wanawekewa vikwazo mpaka wafikisike au kufungwa kabisa .
Hakuna pombe isiyo haramu Kama itatumiwa vibaya au kunywewa kupita Kiasi au kunywewa bila kula vizuri. Suala ni Gongo kunywewa na maskini wasioweza kula vizuri lakini sio kuwa ni mbaya . Ukifika kwenye nchi za kidini pombe zote ni haramu. Kwa wazungu pombe za kiwandani za machemical ni halali lakini pombe inayotengenezwa na Mahindi ,mabibo ya Korosho n.k. ni haramu.
Pumbavu sana wahuni! Na Viongozi wa dini wanatumiwa Kupiga vita Gongo bila kutambua kuwa wanakuwa mawakala wa pombe haramu za Kizungu. Pombe ni pombe TU ikitengenezwa na kuthibitishwa na kunywewa Kwa kiasi. Hata ukampa maskini kila siku Konyagi atalelewa na kudhoofika kutokana na kukosa chakula.

Hivi Gongo ingekuwa mbaya Wakurya wangekua na nguvu waliyonayo au Wamasai .
Tatizo ni kuwa na wabunge wanaolinda maslahi ya wageni na kudidimiza Teknolojia na Mila za mwafrika kutokana na rushwa na misaada ya wageni.

Tumbaku na sigara ya mzungu ni halali lakini Mirungi inayotafunwa ikiwa na rangi ya kijani ikiwa inatoka shambani ni haramu.
Wazungu walikuja na Tumbaku zao wakagundua kuwa Wenyeji wanavilevi vyao vizuri visivyo na madhara makubwa( kama Mirungi, Gongo, bangi[emoji23][emoji23]) wakaamua kutunga SHERIA za kuviharamisha ili wauze matumbaku yao na masigara yao na mapombe yao makali.

Pumbavu sana chuki za baadhi ya wanasiasa na Wazungu (wageni Toka nje ya bara la Afrika )
 
Kwani akiwa Mbunge ndio atapata mtaji zaidi wa kugawa hivyo vyakula bure? aendelee tu. Akili ya hovyo kabsaa hii.
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Bungeni akafanye nini? Muache I afanye biashara zake atoe ajira kwa wanyalukolo!!
Yote hiyo ni kutaka hela za Asas kwani ccm wamezoea vya bure!
 
Bungeni akafanye nini? Muache I afanye biashara zake atoe ajira kwa wanyalukolo!!
Yote hiyo ni kutaka hela za Asas kwani ccm wamezoea vya bure!
Nyie chadema kwani hela za join the chain zilikuwa zenu zile si mmekula hela zetu na mpo kimya matapeli nyie
 
Kwani akiwa Mbunge ndio atapata mtaji zaidi wa kugawa hivyo vyakula bure? aendelee tu. Akili ya hovyo kabsaa hii.
Kwani alikwambia Hana mtaji? Nyie chadema hopeless kabisa, kila mahali mlipowahi kuwa wabunge mlipadumaza pamekuwa Kama magofu kisa kuongoza kihunikihuni nyny mnaangalia kula hela tu hakuna la maana mnalolifanya
 
Watu wanatumiwa kuhujumu nchi yao Kwa manufaa ya wageni .

Watu hawajui TU kuwa sharia mbovu na kandamizi zinatumgwa na watu wasiojali maslahi ya wananchi waliowengi.

Kwa mfano mpaka Leo Sijaelewa ni Kwa Nini Gongo inapigwa vita na Inaonekana kama madawa ya kulevya wakati huo huo Kuna VIWANDA vinatengeneza pombe kama hiyo. Kwa Nini wananchi maskini wanaoteotengeneza pombe hiyo wasielekezwe namna Bora ya kutengeneza na hata wakatafutiwa mitambo safi kutoka china Kwa Bei nafuu wakatengeneza na wakawauzia wateja wao ambao ni watu wa kawaidi sana ambao hawana uwezo wa Kununua K- vant au Konyagi . Kwa nini biashara huria inabaki Kwa wafanyabiashara wakubwa Tena wageni lakini Wenyeji wanawekewa vikwazo mpaka wafikisike au kufungwa kabisa .
Hakuna pombe isiyo haramu Kama itatumiwa vibaya au kunywewa kupita Kiasi au kunywewa bila kula vizuri. Suala ni Gongo kunywewa na maskini wasioweza kula vizuri lakini sio kuwa ni mbaya . Ukifika kwenye nchi za kidini pombe zote ni haramu. Kwa wazungu pombe za kiwandani za machemical ni halali lakini pombe inayotengenezwa na Mahindi ,mabibo ya Korosho n.k. ni haramu.
Pumbavu sana wahuni! Na Viongozi wa dini wanatumiwa Kupiga vita Gongo bila kutambua kuwa wanakuwa mawakala wa pombe haramu za Kizungu. Pombe ni pombe TU ikitengenezwa na kuthibitishwa na kunywewa Kwa kiasi. Hata ukampa maskini kila siku Konyagi atalelewa na kudhoofika kutokana na kukosa chakula.

Hivi Gongo ingekuwa mbaya Wakurya wangekua na nguvu waliyonayo au Wamasai .
Tatizo ni kuwa na wabunge wanaolinda maslahi ya wageni na kudidimiza Teknolojia na Mila za mwafrika kutokana na rushwa na misaada ya wageni.

Tumbaku na sigara ya mzungu ni halali lakini Mirungi inayotafunwa ikiwa na rangi ya kijani ikiwa inatoka shambani ni haramu.
Wazungu walikuja na Tumbaku zao wakagundua kuwa Wenyeji wanavilevi vyao vizuri visivyo na madhara makubwa( kama Mirungi, Gongo, bangi[emoji23][emoji23]) wakaamua kutunga SHERIA za kuviharamisha ili wauze matumbaku yao na masigara yao na mapombe yao makali.

Pumbavu sana chuki za baadhi ya wanasiasa na Wazungu (wageni Toka nje ya bara la Afrika )
Tumejaa chuki na wivu kwa wawekezaji lakini ukiuliza tumefanya nini kimya...
 
Back
Top Bottom