Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Sisi hatuhangaiki na elimu dunia, SISI NI ELIMU AHERA . dini ya mwenyaaazi mungu
- Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
- Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
- Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Maswali yakichokozi kweli kweli,kama Hilo la tatu,takwimu iyo umeipata wapi?,nalisikia kughadhabika yaani!!,ngoja nitulize presha tu.
- Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
- Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
- Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Alafu Rais wa nchi yako ni mfuasi wa mwenyaazi munguSisi hatuhangaiki naelimu dunia, SISI NI ELIMU AHERA . dini ya mwenyaaazi mungu
Wewe hauishi hayo maeneo ulijuaje?
- Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
- Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
- Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Sote watanzania, tusipozungumzia tofauti zetu watakuja kuzungumza wageniMaswali yakichokozi kweli kweli,kama Hilo la tatu,takwimu iyo umeipata wapi?,nalisikia kughadhabika yaani!!,ngoja nitulize presha tu.
NimeishiWewe hauishi hayo maeneo ulijuaje?
Shemeji amekubaliana na mtazamo wangu ; na yeye anasubiri jibuUsikute unaandika hii post huku umetoka kugombana na mtoto wa dada ako mkigombea chapati, ugomvi ambao shemeji ndio amesuluhisha.
Shemeji amekubaliana na mtazamo wangu ; na yeye anasubiri jiUsikute unaandika hii post huku umetoka kugombana na mtoto wa dada ako mkigombea chapati, ugomvi ambao shemeji ndio amesuluhisha.
Kuna umaskini wa mtu mmoja mmoja na kuna umaskini wa kimakundiHawa wameshaharibiwa na viongozi wao!
Wanawaza upumbavu!
Kwani nyie mnakaa wapi kusiko na umaskini Tanzania hii?
Mbona hutaji Ilala na Kariakoo ambako wagalatia hawapo?
Kitimoto kula tu, hata kulala nayo lala nayo tu sio lazima uwatie Waislamu kwenye ujinga wako!
Kumbe na makafiri mnaishi hayo maeneo basi itakuwa nyi ndo mnasababisha hizo hali mi nilijua mnaishi masaki mbezi beach mikocheni kumbe hadi mbagala mpo nyie ndo tatizo na ndo maana Arabuni kwa Waislam hakuna masikini kama wa nchi kama India marekani Italy Uingereza na nchi nyingi za makafiri.Nimeishi
Kwahiyo kwanini Uarabuni hamna umaskini lakini Mbagala na Buguruni upo?Kumbe na makafiri mnaishi hayo maeneo basi itakuwa nyi ndo mnasababisha hizo hali mi nilijua mnaishi masaki mbezi beach mikocheni kumbe hadi mbagala mpo nyie ndo tatizo na ndo maana Arabuni kwa Waislam hakuna masikini kama wa nchi kama India marekani Italy Uingereza na nchi nyingi za makafiri.
Ni sababu ni hiyo niliyokupa Tafakari vizuri wAislam wakichanganywA na Makafiri watu kwenye hilo eneo wAtakuwa dhalili tu nimekutajia mifano ebu ifanyie kazi.Kwahiyo kwanini Uarabuni hamna umaskini lakini Mbagala na Buguruni upo?
Mbona Yemen hamna Makafir lakini nchi takataka, Iraq, Syria, Somalia?
- Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
- Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
- Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Unazungumzia kabla ya uvamizi wa Israel (watu wa Mungu) au baada ya uvamizi wa Israel? Tuangalie Historia kabla ya mkataba waliopewa na Yesu kwamba 1945 ile nchi itakuwa yaoMbona Yemen hamna Makafir lakini nchi takataka, Iraq, Syria, Somalia?
Nikutajie nyingine?
Alienda kufanya utafiti.Wewe hauishi hayo maeneo ulijuaje?
Mbona bara huko sijui wasukuma wanaishi maisha mabaya na sio waislamAlienda kufanya utafiti.