Ndugu zangu waislam nina maswali

Ndugu zangu waislam nina maswali

Wakiristo bana ukiwaona kwa nje ni watu wema sana, sasa soma maandiko yao. Ndio utajua sio watu wa kama uwaonavyo.
Halafu wengi akili zao ni duni sana. Ukiachilia mbali kuwanufaisha wachungaji kwa kuuziwa mafuta, ni watu wenye chuki sana kwa uislamu, kuliko hata kuwa na mapenzi na mafundisho yao. Pia wengi wao hawaijui Bibilia.

Tukiangalia mfano wa sasa, kwenye mauaji ya kimbari wanayofanyiwa waPalestina, kwenye bibilia wanaamini nchi ya Palestina ni nchi ambayo wameahidiwa wana wa Israel.
1. Hawatambui kwamba Israel iliyotajwa pale sio Israel ya sasa, kwenye bibilia ni Israel ni kabila la Yakobo, ni watu wa Yakobo, hata kama kuna watu walipewa mikataba kwamba baada ya miaka 2000 nchi ile ni yao, basi sio hawa Mazayuni wanaotoka Ujerumani na Poland

2. Watu wanaojiita Israel, ni watu "anti-christ" ukienda Israel ukileta ukiristo unaweza temewa mate, wakati Police anakuona na hazuiliwi, ukijaribu kumlipizia mzayuni, unapigwa risasi unakufa

3. Wakristo ni watu ambao, wanaamini Yesu aliwapa hii nchi ya ahadi, na wanaamini nchi ile ni mali ya Chama Cha Zionism, na wana haki ya kuua mtu yoyote. Lakini ukimuuliza mtu dini gani inahalalisha mauaji, ukiristo hautatajwa.

Kuna mdau anasema nchi za kiislam kamaa Syria ni nchi zinazoongoza kwa umasikini, inaweza kuwa kweli ila vita vimesababishwa na wale ambao Yesu aliwaahidi nchi ya Ahadi, wao ndio mastermind wa Vita Vyote. Nchi Kama Palestine, kabla ya Yesu hajaigawa kwa watu wa Poland na German, ambao Hitler aliwachoma kama sekela, nchi ile ilikuwa ni nchi yenye maendeleo makubwa. Sasa naamini ingekuwa hakuna ahadi ya kupokonywa nchi watu fulani na kupewa watu fulani haya yote yasingetokea,
Basi mwenyewe unajiona umemwaga pointiiiii!
 
وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾

120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. Sema: Hakika Mwongozo wa Allaah ndio Mwongozo (pekee). Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yamekujia katika ilimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah rafiki mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.
Suuratl Baqara

Ndugu sylver5 wewe hata sio wa mwanzo kuuchukia uislam walitangulia kabla Yako wengi tu na wamekufa bado uislam upo na utaendelea kuwepo mpka atapotaka Allah nikuombee tu kwa Allah akupe akili ya kujua njia ya haqq
ALLAH ATUONGOZE MIMI NA WEWE NA WANAJAMII FORUMS WOTE.
 
وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾

120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. Sema: Hakika Mwongozo wa Allaah ndio Mwongozo (pekee). Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yamekujia katika ilimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah rafiki mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.
Suuratl Baqara

Ndugu sylver5 wewe hata sio wa mwanzo kuuchukia uislam walitangulia kabla Yako wengi tu na wamekufa bado uislam upo na utaendelea kuwepo mpka atapotaka Allah nikuombee tu kwa Allah akupe akili ya kujua njia ya haqq
ALLAH ATUONGOZE MIMI NA WEWE NA WANAJAMII FORUMS WOTE.
Ndugu yangu..... Mimi ni zao lenu; Mama yangu Muislamu na Baba yangu Mkristo
Yaani kisa tu nimetoa observation ya kitu nilichokiona nimeanza kuonekana nachukia Uislamu?
 
Ndugu yangu..... Mimi ni zao lenu; Mama yangu Muislamu na Baba yangu Mkristo
Yaani kisa tu nimetoa observation ya kitu nilichokiona nimeanza kuonekana nachukia Uislamu?
Kama sio chuki unalolisema ni kweli vip kuhusu miji ya pwan (ambako waislam ni weng) na miji ya nyanda za juu kusin iringa mbeya (ambako wakristo wengi) unazungumziaje upande wa maendeleo? kama wewe ni mkweli?

Ninavyofahamu mim swala la uvivu ni la mtu binafs sio dini na uislam uko mbali na uvivu na wavivu ndio maan mtume Muhammad صلي الله عليه و سلم katufundisha Kila Dua za kuomba asubuh na jion Kila siku miongon mwanzo ni kumuomba Allah atuepushe na uvivu na uzee mbaya وأعوذبك من الكسل والسوئ الكبر
 
Kama sio chuki unalolisema ni kweli vip kuhusu miji ya pwan (ambako waislam ni weng) na miji ya nyanda za juu kusin iringa mbeya (ambako wakristo wengi) unazungumziaje upande wa maendeleo? kama wewe ni mkweli?

Ninavyofahamu mim swala la uvivu ni la mtu binafs sio dini na uislam uko mbali na uvivu na wavivu ndio maan mtume Muhammad صلي الله عليه و سلم katufundisha Kila Dua za kuomba asubuh na jion Kila siku miongon mwanzo ni kumuomba Allah atuepushe na uvivu na uzee mbaya وأعوذبك من الكسل والسوئ الكبر
Mimi nimeongelea kwa muktadha wa Dar es salaam
 
  1. Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
  2. Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
  3. Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Kerib kerib
 
Sema dar nzima ila usiiguse mbagala au chamazi...

Mkuu unachotafuta utakipata 🙌🙌🙌
 
Na huku je ?
Wamejaa wa dini gani ?

1731839007157.png
 
Mbagala na Temeke wamejazana Wamatumbi, Wamatumbi, Wangindo na Wandegereko .. ukiangalia hayo ndio makabila yanayoongoza kwa umasikini Tanzania achilia mbali dini yao..
 
Tatizo mnatoka vijijini kwenye nyumba za matope halafu mnakuja mjini kulinganisha ya maeneo ya mijini badala ya kulinganisha na ya huko mlikotoka
 
Mi ni mwislam-mkristo naishia,kusoma comments na kucheka tu
 
Back
Top Bottom