Ndugu zangu waislam nina maswali

Ndugu zangu waislam nina maswali

  1. Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
  2. Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
  3. Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?

Hayo mengine sina muda wa kujibu lakini:
Lakum diinu, kum-walia diin.
 
  1. Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
  2. Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
  3. Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?


Kama unataka maswali yajibiwe na waislam, uliza maswali kwa mujibu wa Uislam na sio kuleta porojo za kijiweni ndio uite ni maswali!
Kwa mtu aliyepita shule kuweza kuleta hoja za kipuuzi kama hizi na kuziita ni Maswali; inathibitisha kuwa tuna changamoto kubwa sana kwenye Elimu yetu!
 
Wakiristo bana ukiwaona kwa nje ni watu wema sana, sasa soma maandiko yao. Ndio utajua sio watu wa kama uwaonavyo.
Halafu wengi akili zao ni duni sana. Ukiachilia mbali kuwanufaisha wachungaji kwa kuuziwa mafuta, ni watu wenye chuki sana kwa uislamu, kuliko hata kuwa na mapenzi na mafundisho yao. Pia wengi wao hawaijui Bibilia.

Tukiangalia mfano wa sasa, kwenye mauaji ya kimbari wanayofanyiwa waPalestina, kwenye bibilia wanaamini nchi ya Palestina ni nchi ambayo wameahidiwa wana wa Israel.
1. Hawatambui kwamba Israel iliyotajwa pale sio Israel ya sasa, kwenye bibilia ni Israel ni kabila la Yakobo, ni watu wa Yakobo, hata kama kuna watu walipewa mikataba kwamba baada ya miaka 2000 nchi ile ni yao, basi sio hawa Mazayuni wanaotoka Ujerumani na Poland

2. Watu wanaojiita Israel, ni watu "anti-christ" ukienda Israel ukileta ukiristo unaweza temewa mate, wakati Police anakuona na hazuiliwi, ukijaribu kumlipizia mzayuni, unapigwa risasi unakufa

3. Wakristo ni watu ambao, wanaamini Yesu aliwapa hii nchi ya ahadi, na wanaamini nchi ile ni mali ya Chama Cha Zionism, na wana haki ya kuua mtu yoyote. Lakini ukimuuliza mtu dini gani inahalalisha mauaji, ukiristo hautatajwa.

Kuna mdau anasema nchi za kiislam kamaa Syria ni nchi zinazoongoza kwa umasikini, inaweza kuwa kweli ila vita vimesababishwa na wale ambao Yesu aliwaahidi nchi ya Ahadi, wao ndio mastermind wa Vita Vyote. Nchi Kama Palestine, kabla ya Yesu hajaigawa kwa watu wa Poland na German, ambao Hitler aliwachoma kama sekela, nchi ile ilikuwa ni nchi yenye maendeleo makubwa. Sasa naamini ingekuwa hakuna ahadi ya kupokonywa nchi watu fulani na kupewa watu fulani haya yote yasingetokea,
Upumbavu mtupu umeandika hapa huna tofauti na mtoa mada hapo juu, unaendeshwa na chuki na mihemko tu mjinga wewe akili matope tu, hivi nyinyi hamna kazi za kufanya sio?!! Kila muda mna kuja na mada za udini tu,hamna kingine cha kutujenga kama watanzania?
 
Kama unataka maswali yajibiwe na waislam, uliza mswali kwa mujibu wa Uislam na sio kuleta porojo za kijiweni ndio uite ni maswali!
Kwa mtu aliyepita shule kuweza kuleta hoja za kipuuzi kama hizi; tuna changamoto kubwa sana kwenye Elimu yetu!
Siufahamu uislamu, nafahamu kwamba kuna waislamu wengi maeneo hayo niliyotaja......comprende,amigo?
 
M

Mwingine huyu. Unaonesha una hasira sana. Naelewa sasa hivi maisha magumu watu wanapitia changamoto nyingi, ukizingatia Rais mpendwa ni dini ya Kiisalm ndio imekufanya uichukie dini nzima. Ila ushauri wangu ni mmoja, vijana tuchakarike, hakuna atakayetukomboa zaidi ya sisi wenyewe. Wengi humu ni mnaishabikia chadema mkiamini ndio mkombozi wenu, mnajidanganya. Tuchakarike
Mbona sikuelewi, aliyekuambia nina hasira na Uislam ni nani? Nimesema tu ukweli kuwa Uislam si dini, kwani kuna pingamizi hapa....unataka kuniambia wewe hujuwi kuwa Uislam ni tawi la shetani? Naomba nikuulize, kwanini Muddy alipomkatalia shetani kumtumikia alipewa ukichaa mpaka watu wakawa wanamcheka na kukimbilia kusikojulikana na alipomkubalia na akapewa Qur'an na kupona ukichaa wake? Naomba uje unifafanulie hili.
 
Mbona sikuelewi, aliyekuambia nina hasira na Uislam ni nani? Nimesema tu ukweli kuwa Uislam si dini, kwani kuna pingamizi hapa....unataka kuniambia wewe hujuwi kuwa Uislam ni tawi la shetani? Naomba nikuulize, kwanini Muddy alipomkatalia shetani kumtumikia alipewa ukichaa mpaka watu wakawa wanamcheka na kukimbilia kusikojulikana na alipomkubalia na akapewa Qur'an na kupona ukichaa wake? Naomba uje unifafanulie hili.
Huwezi elewa kwa sababu sijareply quote yako, jenga hoja yako, huyo niliyereply ameelewa tayari
 
Kumbe na makafiri mnaishi hayo maeneo basi itakuwa nyi ndo mnasababisha hizo hali mi nilijua mnaishi masaki mbezi beach mikocheni kumbe hadi mbagala mpo nyie ndo tatizo na ndo maana Arabuni kwa Waislam hakuna masikini kama wa nchi kama India marekani Italy Uingereza na nchi nyingi za makafiri.
Washukuru sana makafiri unaishi maisha mazuri mpk unajiona wewe ni mwenye haki na wengine ni makafiri😀😀😀
Hapo ukisema usitumie bidhaa au vitu vya makafiri. Utabakiwa na
1. Kanzu
2. Tende
3. Mkojo wa ngamia
4. Maji ya zamzam
5. Kisima cha kujitawazia
6. Msikiti tena jengo tupu. Tiles, mabati, umeme, vipaza sauti vyote wametengeneza makafiri.
Bisha tuone maana hata hiyo simu utaitupa 😀😀😀
Upo kwenye ndege aliyotengeneza makafiri unaenda Macca kumponda shetani mawe. Unajiona wa thamani sana kuliko makafiri😀😀😀
Nilichogundua UIslamu maana yake ni ujinga😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
  1. Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
  2. Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
  3. Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Kwa utafiti wangu baada ya kukaa na waislamu. Muislamu huwa anajali kula na kuvaa tu hayo mingine huwa hashughuliki nayo. Ni bora alale chini ila ale vizuri
Angalia Zanzibar, ikifika ramadhani wanasimamisha ligi ili wachezaji wakale mihogo, viazi, urojo, uji, chai, tende na halua
 
Washukuru sana makafiri unaishi maisha mazuri mpk unajiona wewe ni mwenye haki na wengine ni makafiri😀😀😀
Hapo ukisema usitumie bidhaa au vitu vya makafiri. Utabakiwa na
1. Kanzu
2. Tende
3. Mkojo wa ngamia
4. Maji ya zamzam
5. Kisima cha kujitawazia
6. Msikiti tena jengo tupu. Tiles, mabati, umeme, vipaza sauti vyote wametengeneza makafiri.
Bisha tuone maana hata hiyo simu utaitupa 😀😀😀
Upo kwenye ndege aliyotengeneza makafiri unaenda Macca kumponda shetani mawe. Unajiona wa thamani sana kuliko makafiri😀😀😀
Nilichogundua UIslamu maana yake ni ujinga😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Kafili ni kafili tu hata avae suti na mwisho wa siku hizo ni biashara na ndio maana kwenye Uislam tumeruhusiwa kuingiliana kibiashara na makafiri ila jambo hilo haliwaondolei ukafiri makafiri bali kuna vitu vimezingatiwa kuhusu hilo kunywa maji ulale ndugu Kafiri.
 
Kafili ni kafili tu hata avae suti na mwisho wa siku hizo ni biashara na ndio maana kwenye Uislam tumeruhusiwa kuingiliana kibiashara na makafiri ila jambo hilo haliwaondolei ukafiri makafiri bali kuna vitu vimezingatiwa kuhusu hilo kunywa maji ulale ndugu Kafiri.
Unachekesha sana😀😀😀 Umeruhusiwa kuchangamana na makafiri😀😀😀😀 Kumbe dini yenu ya ovyo sana. Karibu nakula nguruwe
Uislamu ni ujinga na Allah ni miungu ya kiarabu. Huu muda wa kuwaita wenzio makafiri jifunze kiarabu ili Allah asipate shida kuongea na wewe utakapokabidhiwa mabikira 72 (hivi na mama yako naye atakabidhiwa mabikira 72 wanaume au naye atakuwa ni miongoni mwa hao mabikira 72?) na unapopewa mito ya pombe akhera.
Hizo ndizo ahadi za mtu asiyejua kusoma na kuandika. Amewaokota wajinga wenye kupenda pombe na ngono
 
Unachekesha sana😀😀😀 Umeruhusiwa kuchangamana na makafiri😀😀😀😀 Kumbe dini yenu ya ovyo sana. Karibu nakula nguruwe
Uislamu ni ujinga na Allah ni miungu ya kiarabu. Huu muda wa kuwaita wenzio makafiri jifunze kiarabu ili Allah asipate shida kuongea na wewe utakapokabidhiwa mabikira 72 (hivi na mama yako naye atakabidhiwa mabikira 72 wanaume au naye atakuwa ni miongoni mwa hao mabikira 72?) na unapopewa mito ya pombe akhera.
Hizo ndizo ahadi za mtu asiyejua kusoma na kuandika. Amewaokota wajinga wenye kupenda pombe na ngono
Hivi kuna Ahadi Bora kabisa kwa Binadam kuliko Hizo Waislam Wote Duniani wameumbwa kiume Wasio Waislam wameumbika kwa jinsia ke Hakuna Mwanaume lijari asiye kuwa Shoga ataziona hizo Ahadi ni kitu Cha kijinga na ndio maana Ukichukua Watu Mia ukawauliza wapewe Hela alafu wasidinde wengi kati ya hao watakataa Alafu kuhusu Wanawake peponi hawa wa kibinadam watakuwa na thamani kuliko hao mabikira 72 kwa hiyo kama Mwanamke hapa duniani alikuwa mwema na Ameolewa atakuwa na mumewe huko peponi wanakula Raha.
 
Unachekesha sana😀😀😀 Umeruhusiwa kuchangamana na makafiri😀😀😀😀 Kumbe dini yenu ya ovyo sana. Karibu nakula nguruwe
Uislamu ni ujinga na Allah ni miungu ya kiarabu. Huu muda wa kuwaita wenzio makafiri jifunze kiarabu ili Allah asipate shida kuongea na wewe utakapokabidhiwa mabikira 72 (hivi na mama yako naye atakabidhiwa mabikira 72 wanaume au naye atakuwa ni miongoni mwa hao mabikira 72?) na unapopewa mito ya pombe akhera.
Hizo ndizo ahadi za mtu asiyejua kusoma na kuandika. Amewaokota wajinga wenye kupenda pombe na ngono
We fwala huko hakuna ugunduzi wala uuguzi pepo ni sehemu ya starehe ni kuinjoi mwa mwii kuna sehemu ya starehe hakuna pombe na wanawake?eti unawaza Ngono huko hakuna kutafuta hela wala Ada za Shule Pumba za vu.
 
Mbona bara huko sijui wasukuma wanaishi maisha mabaya na sio waislam
Maisha wanayoishi Wasukuma unaweza kuyafanisha na ya Wazaramo, Wandengereko,Wamatumbi ama Wangindo ? tembea uone !
 
  1. Kwanini maeneo ambayo mmejaa nyinyi kuliko Wakristo Dar es salaam kuna uduni wa kiasi fulani katika maendeleo mf. Nenda Chamazi - Mbagala, nenda temeke na maeneo mengine ambapo mpo wengi kuliko wakristo
  2. Kwanini watoto zenu wanasoma vizuri tu kwenye shule za Kikristo (mission) ila watoto zetu kusoma zenu ni changamoto
  3. Mbona mnakula sana kitimoto ndugu zangu? Mmejiruhusu au mmeruhusiwa?
Hili linaitwa fundo kereketa kooni!😀
 
Hivi kuna Ahadi Bora kabisa kwa Binadam kuliko Hizo Waislam Wote Duniani wameumbwa kiume Wasio Waislam wameumbika kwa jinsia ke Hakuna Mwanaume lijari asiye kuwa Shoga ataziona hizo Ahadi ni kitu Cha kijinga na ndio maana Ukichukua Watu Mia ukawauliza wapewe Hela alafu wasidinde wengi kati ya hao watakataa Alafu kuhusu Wanawake peponi hawa wa kibinadam watakuwa na thamani kuliko hao mabikira 72 kwa hiyo kama Mwanamke hapa duniani alikuwa mwema na Ameolewa atakuwa na mumewe huko peponi wanakula Raha.
1. Pombe huku duniani imekatazwa ila huko akhera kwa Allah siyo dhambi😀😀😀😀
2. Huku duniani ngono imekatazwa ila peponi Allah anakupa mabikira 72😀😀😀😀.
3. Kwahiyo na mama yako atakuwa ni miongoni mwa mabikira 72 au na yeye atapewa wanaume 72 na Allah?😀😀😀
*Kama huko peponi kunywa pombe na kufanya ngono na wanawake 72, mimi huko sipataki. Huko Akhera itakuwa inasikika sauti za watu wakifanya ngono😀😀😀
 
Hiyo namba tatu nina ushahidi kabisa kuna kipindi fulani katika harakat za maisha niliuza hiyo nyama wateja wengi walikuwa wakupiga simu na wengine nilikuwa siwajui mana kuna mtu special wa delivery alikuwepo wengine nikabahatika kuwafaham aisee wengine ni mashekh kabisa tena swala tano na wakawa wananiomba niwafichie siri namm tu ndio niwe nawapelekea hata kipindi cha mfungo baada ya futari wanaagiza. Nusu ya wateja walikuwa waislam wengine walikuwa hawajivungi wanakula hadharan na wengine wanajificha wanasifia kabisa nyama tamu ukiacha hiyo kuna rafiki yangu wa karibu sna uyu jamaa ni tangu miaka hiyo tulisoma wote o'level kwao pia ni swala tano ila jamaa siku hiyo alinisurprise vibaya alinipeleka chimbo la ndani ndani uko akaagiza kg 1½ na ndizi tukabonda nilishindwa kujizuia nilicheka sna nikaja gundua jamaa ni mdau wa mda mrefu mana mpakaa muuzaji anamjua na jamaa akienda hapo uwa achukui nusu ni kuanzia kilo.
 
1. Pombe huku duniani imekatazwa ila huko akhera kwa Allah siyo dhambi😀😀😀😀
2. Huku duniani ngono imekatazwa ila peponi Allah anakupa mabikira 72😀😀😀😀.
3. Kwahiyo na mama yako atakuwa ni miongoni mwa mabikira 72 au na yeye atapewa wanaume 72 na Allah?😀😀😀
*Kama huko peponi kunywa pombe na kufanya ngono na wanawake 72, mimi huko sipataki. Huko Akhera itakuwa inasikika sauti za watu wakifanya ngono😀😀😀
Najua hakuna Mkristo huwa anatumia Akili zake kashfa na kejeri kuhusu Uislam ni vitu mnapandikizwa huko makanisani na ndio maana huwA hamna Logic na mnaposhindwa hoja mnaanza mara mud mara kobazi sasa ngoja nikujibu.Pombe Hii ya duniani ina madhara mengi na faida kidogo ndo chAnzo cha kukatazwa ila pombe ya peponi muandaaji ni Mungu mwenyewe ambaye ndo amemuumba huyo mwanaadam hiyo haina hangover na haitoi Akili.kuhusu ngono duniani kukatazwa ni uongo ukioa hiyo ngono mbona fresh tu na kuhusu mabikira 72 Nadhani kuna watu hapa duniani mpaka kufika sasa wamepita na wanawake zaidi ya hao mfano ni BwanA Baltazar Engonga amepiga 400 Ebu tumia Akili hizo fanya utafiti.Kuhusu Mama Angu AtakuwA na Mume Wake huko peponi kwani kwa mujibu wa Allah binadam ni kiumbe bora kuliko kiumbe chochote kwa hiyo bikira 72 hawawezi kuwA sawA Mama angu kwa Hadhi alafu yeye amepitia mitihani mingi hapa Duniani kuliko hao 72 walioumbwa tu special kwa Starehe na kuhusu wewe kusikia kelele za watu kufanya ngono hutokuwA na Bahati hiyo we utakuwa kwenye mashimo ya moto unakula kisago.
 
Back
Top Bottom