Ndugu zangu waislam nina maswali

Basi mwenyewe unajiona umemwaga pointiiiii!
 
ΩˆΩŽΩ„ΩŽΩ† ΨͺΩŽΨ±Ω’ΨΆΩŽΩ‰Ω° ΨΉΩŽΩ†ΩƒΩŽ Ψ§Ω„Ω’ΩŠΩŽΩ‡ΩΩˆΨ―Ω ΩˆΩŽΩ„ΩŽΨ§ Ψ§Ω„Ω†Ω‘ΩŽΨ΅ΩŽΨ§Ψ±ΩŽΩ‰Ω° حَΨͺΩ‘ΩŽΩ‰Ω° ΨͺَΨͺΩ‘ΩŽΨ¨ΩΨΉΩŽ Ω…ΩΩ„Ω‘ΩŽΨͺΩŽΩ‡ΩΩ…Ω’ Ϋ— قُلْ Ψ₯ΩΩ†Ω‘ΩŽ Ω‡ΩΨ―ΩŽΩ‰ Ψ§Ω„Ω„Ω‘ΩŽΩ€Ω‡Ω Ω‡ΩΩˆΩŽ Ψ§Ω„Ω’Ω‡ΩΨ―ΩŽΩ‰Ω° Ϋ— ΩˆΩŽΩ„ΩŽΨ¦ΩΩ†Ω Ψ§ΨͺΩ‘ΩŽΨ¨ΩŽΨΉΩ’Ψͺَ Ψ£ΩŽΩ‡Ω’ΩˆΩŽΨ§Ψ‘ΩŽΩ‡ΩΩ… Ψ¨ΩŽΨΉΩ’Ψ―ΩŽ Ψ§Ω„Ω‘ΩŽΨ°ΩΩŠ Ψ¬ΩŽΨ§Ψ‘ΩŽΩƒΩŽ Ω…ΩΩ†ΩŽ الْعِلْمِ Ϋ™ Ω…ΩŽΨ§ Ω„ΩŽΩƒΩŽ Ω…ΩΩ†ΩŽ Ψ§Ω„Ω„Ω‘ΩŽΩ€Ω‡Ω مِن ΩˆΩŽΩ„ΩΩŠΩΩ‘ ΩˆΩŽΩ„ΩŽΨ§ Ω†ΩŽΨ΅ΩΩŠΨ±Ω ο΄ΏΩ‘Ω’Ω ο΄Ύ

120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara mpaka ufuate mila zao. Sema: Hakika Mwongozo wa Allaah ndio Mwongozo (pekee). Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yamekujia katika ilimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah rafiki mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.
Suuratl Baqara

Ndugu sylver5 wewe hata sio wa mwanzo kuuchukia uislam walitangulia kabla Yako wengi tu na wamekufa bado uislam upo na utaendelea kuwepo mpka atapotaka Allah nikuombee tu kwa Allah akupe akili ya kujua njia ya haqq
ALLAH ATUONGOZE MIMI NA WEWE NA WANAJAMII FORUMS WOTE.
 
Ndugu yangu..... Mimi ni zao lenu; Mama yangu Muislamu na Baba yangu Mkristo
Yaani kisa tu nimetoa observation ya kitu nilichokiona nimeanza kuonekana nachukia Uislamu?
 
Ndugu yangu..... Mimi ni zao lenu; Mama yangu Muislamu na Baba yangu Mkristo
Yaani kisa tu nimetoa observation ya kitu nilichokiona nimeanza kuonekana nachukia Uislamu?
Kama sio chuki unalolisema ni kweli vip kuhusu miji ya pwan (ambako waislam ni weng) na miji ya nyanda za juu kusin iringa mbeya (ambako wakristo wengi) unazungumziaje upande wa maendeleo? kama wewe ni mkweli?

Ninavyofahamu mim swala la uvivu ni la mtu binafs sio dini na uislam uko mbali na uvivu na wavivu ndio maan mtume Muhammad Ψ΅Ω„ΩŠ Ψ§Ω„Ω„Ω‡ ΨΉΩ„ΩŠΩ‡ و Ψ³Ω„Ω… katufundisha Kila Dua za kuomba asubuh na jion Kila siku miongon mwanzo ni kumuomba Allah atuepushe na uvivu na uzee mbaya ΩˆΨ£ΨΉΩˆΨ°Ψ¨Ωƒ Ω…Ω† Ψ§Ω„ΩƒΨ³Ω„ ΩˆΨ§Ω„Ψ³ΩˆΨ¦ Ψ§Ω„ΩƒΨ¨Ψ±
 
Mimi nimeongelea kwa muktadha wa Dar es salaam
 
Kerib kerib
 
Sema dar nzima ila usiiguse mbagala au chamazi...

Mkuu unachotafuta utakipata πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Mbagala na Temeke wamejazana Wamatumbi, Wamatumbi, Wangindo na Wandegereko .. ukiangalia hayo ndio makabila yanayoongoza kwa umasikini Tanzania achilia mbali dini yao..
 
Tatizo mnatoka vijijini kwenye nyumba za matope halafu mnakuja mjini kulinganisha ya maeneo ya mijini badala ya kulinganisha na ya huko mlikotoka
 
Mi ni mwislam-mkristo naishia,kusoma comments na kucheka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…