Ndugu zangu waislam tunahitaji kubadilika na tubadilike kwelikweli ili tuweze kushinda tunayokutana nayo

Ndugu zangu waislam tunahitaji kubadilika na tubadilike kwelikweli ili tuweze kushinda tunayokutana nayo

Feld Marshal Tantawi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2014
Posts
655
Reaction score
1,069
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;

1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi

Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.

Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;

1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali

2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali

Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.

Sikiliza,

Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?

Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.

Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.

Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
 
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;

1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi

Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.

Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;

1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali

2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali

Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.

Sikiliza,

Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?

Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.

Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.

Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
👍
 
Shida kubwa sisi waislamu hatuna ELIMU ya kisekula,yaani ukimeza masafu tuu basi wewe unaweza teuliwa kuwa kiongozi.Wenzetu dini nyingine wao wanasema hadi ngazi za udaktari Sasa kimsingi akili ndogo haiwezi kuona mbali.Ushauri ni kwamba vyeo kama mufti na masheikhe wa Mkoa na WILAYA wawe na ELIMU isiyopungua degree,na mufti awe na phd
 
Shida kubwa sisi waislamu hatuna ELIMU ya kisekula,yaani ukimeza masafu tuu basi wewe unaweza teuliwa kuwa kiongozi.Wenzetu dini nyingine wao wanasema hadi ngazi za udaktari Sasa kimsingi akili ndogo haiwezi kuona mbali.Ushauri ni kwamba vyeo kama mufti na masheikhe wa Mkoa na WILAYA wawe na ELIMU isiyopungua degree,na mufti awe na phd
Hili nalo ni tatizo sugu la "kujambeerjaambeeer" mbele za watu ....

Ukikikosoa kitu hebu uwe umekisoma vizuri ...kuisoma historia yake vizuri....

Ni mpumbavu gani aliyekulisha maneno kuwa ili uwe msomi wa kiislam ni "kumeza" tu na kuujua msahafu(Furqan) pekee ?!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Yaani hujui JURISPRUDENCE (Fiqh) uwe shaykh ?!! [emoji15]

Na Fiqh haibobewi kwa miaka 5 kama kusoma udaktari wa binadamu....

Yaani hujui LUGHAT UL ARABIYA ili ujue (tafsir il quraan) uwe shaykh ?!!!

Yaani hujui SHARH (sherehe) ya wanazuoni (maprofesa) wa kutumainiwa juu ya kuifasiri hiyo Quraan kwa maana ya NDANI na NJE....kwa kuvisoma vitabu vyao lukuki halafu uwe shaykh ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Yaani hujui SIRAT UN NABAWIYA (history) ya uislam toka mazazi ya mtume SAW mpaka "khilafa" zote halafu uwe shaykh ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Yaani hujui HADEETH....na kuzama katika bahari yake halafu uwe shaykh ?!!!

Yaani hujui "Ijma wal Qiyaas" halafu uwe shaykh ?!!!

Yaani hujui "Rhetoric- grammar ,persuasion ,logic"- balagha halafu uwe shaykh ?!!!

Yaani huijui HISTORIA ya dunia....mawanda yake....tawala zake halafu uwe shaykh ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Tuondolee ujuha na usakala wako hapa

Hivi shule ulikwenda kusomea "kupakwa mafuta" ili "matuuunduuurrr" ya mwili wako yawe "ng'wenyu"?!!! [emoji1787][emoji1787]
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
Kwa hiyo waislamu ndio wanaounga mkono uwekezaji wa DP WORLD ?!!![emoji15][emoji15]

Huu nao ni udini wa BAYANA kabisa......

Ninyi wafia dini mnataka mtutoe kwenye reli ya MAENDELEO ya taifa letu ?!!!

Haya basi "uzae ujiishie" tuleteeni hao wataliano ambao watatupa trilioni 80 kila "fiscal year" ili tusione umuhimu wa zile trilioni 26 za hao "wavaa kanzu" hapo TPA.....
 
Naunga mkono hoja
Bitter truth,ukweli mchungu na ukweli unaumwa...
 
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;

1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi

Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.

Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;

1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali

2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali

Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.

Sikiliza,

Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?

Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.

Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.

Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
Huwezi kuwa "GRADUATE" wa Madrasa ukwa na akili ya kubadilika
 
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;

1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi

Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.

Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;

1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali

2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali

Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.

Sikiliza,

Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?

Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.

Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.

Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.


Nakuambia, wasivyo na akili, watakuja kukupinga.
 
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;

1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi

Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.

Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;

1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali

2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali

Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.

Sikiliza,

Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?

Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.

Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.

Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
Ungeweka hata ushahid wa video tu waislamu wakiomba wapunguziwe ushuru wa tende.

Otherwise kila mtu anaweza kutunga story yake akaweka maneno yake na kusema ni fulani ameyatamka.
 
Shida kubwa sisi waislamu hatuna ELIMU ya kisekula,yaani ukimeza masafu tuu basi wewe unaweza teuliwa kuwa kiongozi.Wenzetu dini nyingine wao wanasema hadi ngazi za udaktari Sasa kimsingi akili ndogo haiwezi kuona mbali.Ushauri ni kwamba vyeo kama mufti na masheikhe wa Mkoa na WILAYA wawe na ELIMU isiyopungua degree,na mufti awe na phd
Hiyo PhD ya upande unaosema wamesoma ni PhD ya theolojia sio ya elimu ya kawaida.
 
Huu ni ukweli mtupu japo watu watasema ni udini
Anagalia hata hoja za masheikh kwenye swala la bandari ni nyepesi mno kwanza wengi hata hawaelewi mkataba unahusu nini hasa ni kama wanapinga tu ili mradi kuleta upinzani
 
Hili nalo ni tatizo sugu la "kujambeerjaambeeer" mbele za watu ....

Ukikikosoa kitu hebu uwe umekisoma vizuri ...kuisoma historia yake vizuri....

Ni mpumbavu gani aliyekulisha maneno kuwa ili uwe msomi wa kiislam ni "kumeza" tu na kuujua msahafu(Furqan) pekee ?!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Yaani hujui JURISPRUDENCE (Fiqh) uwe shaykh ?!! [emoji15]

Na Fiqh haibobewi kwa miaka 5 kama kusoma udaktari wa binadamu....

Yaani hujui LUGHAT UL ARABIYA ili ujue (tafsir il quraan) uwe shaykh ?!!!

Yaani hujui SHARH (sherehe) ya wanazuoni (maprofesa) wa kutumainiwa juu ya kuifasiri hiyo Quraan kwa maana ya NDANI na NJE....kwa kuvisoma vitabu vyao lukuki halafu uwe shaykh ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Yaani hujui SIRAT UN NABAWIYA (history) ya uislam toka mazazi ya mtume SAW mpaka "khilafa" zote halafu uwe shaykh ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Yaani hujui HADEETH....na kuzama katika bahari yake halafu uwe shaykh ?!!!

Yaani hujui "Ijma wal Qiyaas" halafu uwe shaykh ?!!!

Yaani hujui "Rhetoric- grammar ,persuasion ,logic"- balagha halafu uwe shaykh ?!!!

Yaani huijui HISTORIA ya dunia....mawanda yake....tawala zake halafu uwe shaykh ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Tuondolee ujuha na usakala wako hapa

Hivi shule ulikwenda kusomea "kupakwa mafuta" ili "matuuunduuurrr" ya mwili wako yawe "ng'wenyu"?!!! [emoji1787][emoji1787]
Nimemshangaa sana huyo jamaa eti masheikh hawana elimu.

Kuna sheikh wa mkoa fulani nafahamu vema ana elimu ya secular level ya masters halafu hapo bado ana elimu ya quran.

Aise usione mtu kachaguliwa kuwa sheikh wa mkoa usimchukulie poa elimu zote mbili zimelala vizuri.
 
Nimefuatilia sana tunapokutana na wakuu wa nchi, mambo ambayo daima mnayaomba kwao ni dhaifu sana, ambayo ni;

1) Tupunguzieni ushuru wa Tende
2) Tupeni vifaa vya kuona muandamo wa mwezi

Bilashaka wakuu wanastajabu lakini wanapiga kimya, watafanyaje sasa maana ndio akili zilipoishia kwenye kuta za Quran.

Kwa upande wa Wakristo wanapokutana na wakuu wa nchi. Mambo wanayoyaomba;

1) Kupunguziwa ushuru wa vifaa vya huduma za shule, vyuo na hospitali

2) Kuomba maeneo ya kujenga shule, vyuo na hospitali

Sasa tunategemea tunaweza kushindana na akili hii? Na tukitoka hapo kwa upande wetu tukiwa kwenye bao na vijiwe vya kahawa tunaanza kulalamika mfumo kristo unatuhujumu, wanapendelewa na ndio maana wapo mbele kielimu. Tunajihujumu wenyewe kwa kutaka kula Tende halua chini ya miswala badala ya kuwaza kujenga shule na vyuo ili vijana wetu wasome. Ubize wetu wa kutaka kupunguziwa ushuru wa Tende na kutaka ofa za kwenda kuhiji Maka ndio msiba wetu. Na tukitoka huko kuhiji kwa ofa, na kujiita ma Alhaj, tunaanza kuuza maeneo ya waislamu yaliyotupu au kugombania kodi za maduka ya msikiti. Huku wenzenu kila siku wananunua hekali za kutosha za ardhi kwajili ya kujenga shule na vyuo.

Sikiliza,

Waislamu mashekhe wetu wengi ni darasa la 7 au form 4, ukuta wao wa mwisho ni aya za Quran na suna. Kazi yao kuu ni kuwapa ofa ya kuwatolea vijana mahari na kugombana na hoja za bidaa na si namna ya kuendeleza waumini wetu kisasa. Sasa kweli tutakuwa na hoja zenye tija juu ya bandari dhidi ya wasomi wenye PHD?

Hivyo chuki ipo kwetu na si kwa Wakristo. Daima watu wasio na elimu hoja za elimu kwao inakuwa kama chuki wanapokutana na kigingi cha mtu mwenye elimu.

Tuondoeni vile vizee vya albadir, tuwekeni vijana wasomi kwenye maeneo ya ofisi zetuu kamwe hatutaona lawama hizi.

Lawama na makasiriko si mtaji zaidi ya kuharibu amani ya nchi. Inauma lakini tuimeze hivyo hivyo shekhe.
We **** sikiliza nani aliyekuwa anailalamikia nssf? Haya tuambie ni lini waislam waliomba ushuru wa tende upungue?
 
Back
Top Bottom