mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,072
- 12,119
Kuna sehemu niliwahi kukaa jirani na kanisa la wasabato. Almost 80 % ya mahubiri niliyokuwa nayasikia ni kuwaponda wakatoliki. Kwamba wao ndio yule joka kuu, mara mwanamke yule kahaba mkuu aliyezini na wafalme wa dunia. Mara papa ni king wa freemason . Wakawa wanadai kwamba wakatoliki wanaabudu sanamu na mizimu (saints) . Yaani kila jambo baya kwenye hii dunia ,reference ni roman Catholic 🤔🤔
Huyu pasta wa kisabato alikuwa Anatoa references kwenye kitabu cha ufunuo wa yohana na baadhi ya vifungu fulani fulani ndani ya bible ili ku justify kile anachokisema dhidi ya wakatoliki. Na hii sio mara moja au mara mbili. Yaani ni kila siku ya ibada. Dear wasabato swali langu kwenu je, ibada haiwezi kukamilika pasipo kuwataja wakatoliki?
😊😊😊
Hata sisi walutheri tulijifanya tunajaribu ku temper na mamlaka ya pope enzi za kina Martin luther ,lakini tulichemka.🤣🤣🤣
NB: Tupendane na tuchukuliane kwa kila hali . Tusijivike koti la chuki za kidini.
Huyu pasta wa kisabato alikuwa Anatoa references kwenye kitabu cha ufunuo wa yohana na baadhi ya vifungu fulani fulani ndani ya bible ili ku justify kile anachokisema dhidi ya wakatoliki. Na hii sio mara moja au mara mbili. Yaani ni kila siku ya ibada. Dear wasabato swali langu kwenu je, ibada haiwezi kukamilika pasipo kuwataja wakatoliki?
😊😊😊
Hata sisi walutheri tulijifanya tunajaribu ku temper na mamlaka ya pope enzi za kina Martin luther ,lakini tulichemka.🤣🤣🤣
NB: Tupendane na tuchukuliane kwa kila hali . Tusijivike koti la chuki za kidini.