Ndugu zangu wakatoliki, mliwafanyaje wasabato? Malizeni tofauti zenu.

Ndugu zangu wakatoliki, mliwafanyaje wasabato? Malizeni tofauti zenu.

Uzuri wa sisi wakatoliki;
1. Ukituponda tunakusikiliza, ukimaliza tunaenda kwenye kitimoto na bia halafu nyumbani
2. Dominika tunakwenda kanisani kwenye misa kisha tunapitia baa na kwa ajili ya kitimoto na bia
3. Hatulazimishi mtu kuamini tunachokiamini. Ukiona unataka kujiunga nasi, wewe mwenyewe tafuta kanisa lilipo, uende ukasadiki basii..!!!
Kipindi fulani hivi around 2012, kuna jamaa ali join haya makanisa ya kutafuta followers, akaukana ukatoliki. Hoja zake za kuukimbia ukatoliki ni kama hizo nilizozibainisha hapo juu. Lakini mambo yalipo fall apart( lilikuwa ni kanisa la wa siloamu )akarudisha mpira kwa kipa. Akarudi ndani ya ukatoliki kwa adabu zote. Kwa sasa hawezi kukosa misa ya kwanza na ibada ya jumuiya kila alfajir😄😄
 
Sioni sababu ya wasabato kuwaponda wakatoliki ikiwa biblia wanayotumia ilimilikiwa na mapapa wakiroma miaka kibao.Ikumbukwe pia biblia hiyohiyo ipo translated kutoka katika lugha zilizokwisha kufa.
 
Wasabato ni washamba sana.

Wao wapo chini ya sheria.
Sisi tupo chini ya Neema.

Wamekaa tu kutusema mno watu wa Jumapili
 
Mtu mzima na akili yake anaomba toba mbele ya mifuko miwili wa cement iliyochanganywa na kokoto ikapigwa rangi
ExkA1i4XMAArsgm.png
 
Back
Top Bottom