ROOM 47
JF-Expert Member
- May 23, 2022
- 2,301
- 7,460
Changia tu bila kujaji na Mungu atakubaliki kwa Imani,
Kodi zetu zinaliwa kila siku na matapeli ya kisiasa wapo radhi wasifanye kazi za B.O.T na Banker ili wawe wanasiasa ili watupangie matumizi ya kod zetu.
Kuna family moja na siasa ni mapacha wa kufanana
Kuna bibi mmoja kaonja siasa sasa amekuwa balaaa umwambii kitu siku alivyopewa fungua za pepo ya uongoo akaambiwa kila kitu kioo chini yako hakuamini akatest kama anajirushia muamala ngoma ikatiki akauliza wamsonga tunafaje akaambiwa rudi nyumbani kamnywe dam mzazi wako ndo utapaweza hapo kifo ni kifo sasa jini linataka limnywe na abdubanda analifosi kulipekea radha tofauti alitak yaani yupo radhi amtoe mtu kafara mchana mchana.
PDidy lubricant oils products....
Kodi zetu zinaliwa kila siku na matapeli ya kisiasa wapo radhi wasifanye kazi za B.O.T na Banker ili wawe wanasiasa ili watupangie matumizi ya kod zetu.
Kuna family moja na siasa ni mapacha wa kufanana
Kuna bibi mmoja kaonja siasa sasa amekuwa balaaa umwambii kitu siku alivyopewa fungua za pepo ya uongoo akaambiwa kila kitu kioo chini yako hakuamini akatest kama anajirushia muamala ngoma ikatiki akauliza wamsonga tunafaje akaambiwa rudi nyumbani kamnywe dam mzazi wako ndo utapaweza hapo kifo ni kifo sasa jini linataka limnywe na abdubanda analifosi kulipekea radha tofauti alitak yaani yupo radhi amtoe mtu kafara mchana mchana.
PDidy lubricant oils products....