Umtama Mula
Senior Member
- Jan 11, 2021
- 171
- 496
πππππ daa mkuu ujue mara ya mwisho kutumia vocha hata sikumbuki ni liniWewe nani amekupa bando? Au bado zinatolewa kwa siri na kina Bantu Lady ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ daa mkuu ujue mara ya mwisho kutumia vocha hata sikumbuki ni liniWewe nani amekupa bando? Au bado zinatolewa kwa siri na kina Bantu Lady ?
Wewe kama mimi Kiongozi. Nimesahau hata namna ya kukwangua na kuingiza kwa simu. Dah Maisha yanaenda kasi sana.πππππ daa mkuu ujue mara ya mwisho kutumia vocha hata sikumbuki ni lini
πhutumii vocha?πππππ daa mkuu ujue mara ya mwisho kutumia vocha hata sikumbuki ni lini
Kwahiyo Simba ni yakujifunza kwa namungoMshukuruni Kalia na Kidau kwa kuwapangia timu ambazo usajiri wao ulikuwa bado kuzungumkuti. kawaulize Namungo Leo wamekutana na Tabora akiwa na wachezaji wake wote
Magalasa matupu.Chukueni Fernandez
Chukueni Abdulrazak Hamza
Chukueni Camara
Chukueni Kagoma aliyewatoroka
Chukueni Mukwala
Chukueni Awesu
Chukueni Okajepha
Chukueni Ateba
Kazi mnayo sasa hivi
Wanatuhusu nini sisi kama wananchi?Chukueni Fernandez
Chukueni Abdulrazak Hamza
Chukueni Camara
Chukueni Kagoma aliyewatoroka
Chukueni Mukwala
Chukueni Awesu
Chukueni Okajepha
Chukueni Ateba
Kazi mnayo sasa hivi
Soka la Simba la Sasa hivi halimuhitaji mtu Kama chama namaanisha clatous. Ni swala la muda tu Simba itakuwa hatari sana afrika.hao wachezaji utopolo...
Kipimo sahihi Cha simba Ni mechi za kimataifa, tuanze na Tripoli kwanza hasa mechi ya ugenini.Soka la Simba la Sasa hivi halimuhitaji mtu Kama chama namaanisha clatous. Ni swala la muda tu Simba itakuwa hatari sana afrika.
Simba ya robo fainali Mara tano haviwezi kujitafuta sawasawa na timu ambayo haikuwahi kufanya hovyo, tatizo mnawaamini sana wachambuzi wa wasafi fm, hakili zenu Pekee hazitoshi.
Tuta mfuata Debora awe Sabu ya Aucho ao wengine waendelee kubaki apo Academy mpaka waive tutakuja kuwa beba.Chukueni Fernandez
Chukueni Abdulrazak Hamza
Chukueni Camara
Chukueni Kagoma aliyewatoroka
Chukueni Mukwala
Chukueni Awesu
Chukueni Okajepha
Chukueni Ateba
Kazi mnayo sasa hivi
Hakuna wachezaji hapo, muda ni rafiki mzuri. Endeleeni kucheka cheka na hizo goli. Simba imekutana na timu dhaifu, na hao Singida fountain watashuka daraja. Timu zinakabia macho.Chukueni Fernandez
Chukueni Abdulrazak Hamza
Chukueni Camara
Chukueni Kagoma aliyewatoroka
Chukueni Mukwala
Chukueni Awesu
Chukueni Okajepha
Chukueni Ateba
Kazi mnayo sasa hivi
Kagere,mugaluhemovk
Yaani mechi 2???Chukueni Fernandez
Chukueni Abdulrazak Hamza
Chukueni Camara
Chukueni Kagoma aliyewatoroka
Chukueni Mukwala
Chukueni Awesu
Chukueni Okajepha
Chukueni Ateba
Kazi mnayo sasa hivi