Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Kuhusu wawekezaji kuthaminiwa umesshawahi kuona interview aliyonena muwekezaji Dangote kuhusu Tz na uwekezaji?
Yeye alitaka aje kuwekeza na aondoke na faida 100%? Hii ni hatari, aende akawekeze kwao. Yaani waTz tusipate hata kiduchu!Kuhusu wawekezaji kuthaminiwa umesshawahi kuona interview aliyonena muwekezaji Dangote kuhusu Tz na uwekezaji?
Na kitu kibaya zaidi na wenyewe wanaishi humu humuMnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?
Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.
Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.
Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Kumbe bado hatupendwi tu?! Au siyo sisi tuliomchagua Saashisha kwa kishindooo?!Jinsi mnavyiwachukia watu wa Hai ni bora waachwe wawe nchi huru
Wahenga walisema wafa maji hawaishi kutapa tapa, Chama cha mbowe wajitafakari sana, na watusaidie watanzania jambo moja tu, kama hawaipendi Tanzania watafute nchi zao na waende huko wakazipende.Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?
Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.
Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.
Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Huyo alichaguliwa na OCD.Kumbe bado hatupendwi tu?! Au siyo sisi tuliomchagua Saashisha kwa kishindooo?!
ushauri mzuri,lakni sidhani kama wataufanyia kazi😗🤔Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?
Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.
Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.
Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
ndiyo umejazwa hivyo hapo Lumumba?Yeye alitaka aje kuwekeza na aondoke na faida 100%? Hii ni hatari, aende akawekeze kwao. Yaani waTz tusipate hata kiduchu!
Si ni hao unaowatuhumu kuisema nchi vibaya . Au kwako wana Cdm siyo wananchi ?!Nani anamamanug'uniko?
Wana CDM wote ni wakazi wa Hai au una chuki na Mbowe?Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?
Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.
Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.
Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Watanzania wa wapi wameridhika na ccm? Watanzania gani unawasemea? Kwa uchaguzi upi na wapi? Maana Tanzania hakukuwa na uchaguzi zaidi ya maigizo tuMnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?
Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.
Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.
Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
ccm imejichonganisha yenyewe kwa kuwapora ushindi wapinzani kihuni huni, sasa mabeberu yamegoma kuleta pesa ccm wameanza kuchachawaSi ni hao unaowatuhumu kuisema nchi vibaya . Au kwako wana Cdm siyo wananchi ?!
Tatizo hata wakitaka kuondoka mnawabania! Wakifanikiwa kutoka mnawaomba warudi eti mtawalinda! Akili za Ziro hatari.Wahenga walisema wafa maji hawaishi kutapa tapa, Chama cha mbowe wajitafakari sana, na watusaidie watanzania jambo moja tu, kama hawaipendi Tanzania watafute nchi zao na waende huko wakazipende.
Laana kwa ccm ipo nyingi sana itakuja mpaka itajaa tu ndipo ccm watajutia uonevu wao kwa wapinzaniWana CDM wote ni wakazi wa Hai au una chuki na Mbowe?
Tupeane muda tu tutakuwa na lugha 1.Saruji ni mwendo mdundo kwa wote. Bado mengi yanakuja!
Serikali ya Ccm ilishaweka wazi haitaki misaada ya yenye mashariti ya kibeberu. Kwa hiyo haina shida na misaada ya kishogashoga.Mabeberu wawasaidie Chadema waliokosa ruzuku,pia wanasapoti ushoga.ccm imejichonganisha yenyewe kwa kuwapora ushindi wapinzani kihuni huni, sasa mabeberu yamegoma kuleta pesa ccm wameanza kuchachawa
Huo ni uzushi ni maneno ya mkosaji, ccm wakijua wamekosea wamefanya uzembe ama usumbufu kwa wawekezaji kisha wakakimbia kwenda kuwekeza sehemu zingine, huwaundia zengwe huwatengenezea uzushi uongo wa kila aina ili mradi ccm ionekane ipo sawasawa, lakini sasa kila mmoja anajua Serikali huwasumbua wawekezaji sana na ni mojawapo ya Serikali sumbufu kwa wawekezaji kuliko Serikali zote UlimwenguniYeye alitaka aje kuwekeza na aondoke na faida 100%? Hii ni hatari, aende akawekeze kwao. Yaani waTz tusipate hata kiduchu!
Kwani Dangote anasumbuliwa? Anaondoka? Acha upuuzi wako.Huo ni uzushi ni maneno ya mkosaji, ccm wakijua wamekosea wamefanya uzembe ama usumbufu kwa wawekezaji kisha wakakimbia kwenda kuwekeza sehemu zingine, huwaundia zengwe huwatengenezea uzushi uongo wa kila aina ili mradi ccm ionekane ipo sawasawa, lakini sasa kila mmoja anajua Serikali huwasumbua wawekezaji sana na ni mojawapo ya Serikali sumbufu kwa wawekezaji kuliko Serikali zote Ulimwenguni