Ndugu zetu CHADEMA kukosa Ubunge sio sababu ya kuichukia nchi yenu

Ndugu zetu CHADEMA kukosa Ubunge sio sababu ya kuichukia nchi yenu

Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?

Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.

Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.

Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Na kitu kibaya zaidi na wenyewe wanaishi humu humu
 
Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?

Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.

Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.

Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Wahenga walisema wafa maji hawaishi kutapa tapa, Chama cha mbowe wajitafakari sana, na watusaidie watanzania jambo moja tu, kama hawaipendi Tanzania watafute nchi zao na waende huko wakazipende.
 
Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?

Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.

Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.

Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
ushauri mzuri,lakni sidhani kama wataufanyia kazi😗🤔
 
Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?

Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.

Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.

Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Wana CDM wote ni wakazi wa Hai au una chuki na Mbowe?
Tupeane muda tu tutakuwa na lugha 1.Saruji ni mwendo mdundo kwa wote. Bado mengi yanakuja!
 
Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?

Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.

Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.

Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Watanzania wa wapi wameridhika na ccm? Watanzania gani unawasemea? Kwa uchaguzi upi na wapi? Maana Tanzania hakukuwa na uchaguzi zaidi ya maigizo tu
 
Wahenga walisema wafa maji hawaishi kutapa tapa, Chama cha mbowe wajitafakari sana, na watusaidie watanzania jambo moja tu, kama hawaipendi Tanzania watafute nchi zao na waende huko wakazipende.
Tatizo hata wakitaka kuondoka mnawabania! Wakifanikiwa kutoka mnawaomba warudi eti mtawalinda! Akili za Ziro hatari.
 
Wana CDM wote ni wakazi wa Hai au una chuki na Mbowe?
Tupeane muda tu tutakuwa na lugha 1.Saruji ni mwendo mdundo kwa wote. Bado mengi yanakuja!
Laana kwa ccm ipo nyingi sana itakuja mpaka itajaa tu ndipo ccm watajutia uonevu wao kwa wapinzani
 
ccm imejichonganisha yenyewe kwa kuwapora ushindi wapinzani kihuni huni, sasa mabeberu yamegoma kuleta pesa ccm wameanza kuchachawa
Serikali ya Ccm ilishaweka wazi haitaki misaada ya yenye mashariti ya kibeberu. Kwa hiyo haina shida na misaada ya kishogashoga.Mabeberu wawasaidie Chadema waliokosa ruzuku,pia wanasapoti ushoga.
 
Yeye alitaka aje kuwekeza na aondoke na faida 100%? Hii ni hatari, aende akawekeze kwao. Yaani waTz tusipate hata kiduchu!
Huo ni uzushi ni maneno ya mkosaji, ccm wakijua wamekosea wamefanya uzembe ama usumbufu kwa wawekezaji kisha wakakimbia kwenda kuwekeza sehemu zingine, huwaundia zengwe huwatengenezea uzushi uongo wa kila aina ili mradi ccm ionekane ipo sawasawa, lakini sasa kila mmoja anajua Serikali huwasumbua wawekezaji sana na ni mojawapo ya Serikali sumbufu kwa wawekezaji kuliko Serikali zote Ulimwenguni
 
Huo ni uzushi ni maneno ya mkosaji, ccm wakijua wamekosea wamefanya uzembe ama usumbufu kwa wawekezaji kisha wakakimbia kwenda kuwekeza sehemu zingine, huwaundia zengwe huwatengenezea uzushi uongo wa kila aina ili mradi ccm ionekane ipo sawasawa, lakini sasa kila mmoja anajua Serikali huwasumbua wawekezaji sana na ni mojawapo ya Serikali sumbufu kwa wawekezaji kuliko Serikali zote Ulimwenguni
Kwani Dangote anasumbuliwa? Anaondoka? Acha upuuzi wako.
 
Nzi wa kijani wanateseka wawezezaji wanazidi kusepa kutwa mnawaita mabeberu nyie si dona katri wekezeni wenyew Sasa
 
Back
Top Bottom