Ndugu zetu CHADEMA kukosa Ubunge sio sababu ya kuichukia nchi yenu

Ndugu zetu CHADEMA kukosa Ubunge sio sababu ya kuichukia nchi yenu

Serikali ya Ccm ilishaweka wazi haitaki misaada ya yenye mashariti ya kibeberu. Kwa hiyo haina shida na misaada ya kishogashoga.Mabeberu wawasaidie Chadema waliokosa ruzuku,pia wanasapoti ushoga.
ccm wana njaa sana hata sherehe za uhuru wamezifuta kisa njaa kubwa ushoga upo huko kwenu na mabeberu yameacha kuleta pesa ndipo njaa imezidi, acha kujimwambafy kizushi, ccm wanahitaji misaada kuliko ulivyokariri wewe
 
Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?

Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.

Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.

Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Hata baba asipowatendea watoto haki ndani ya nyumba, watoto watakwenda kwa mjomba au shangazi kueleza namna baba anavyowatendea ili wapate suluhu
 
Kwani Dangote anasumbuliwa? Anaondoka? Acha upuuzi wako.
Wewe ndiyo mpuuzi hujui kuwa Dangote aliandamwa na wingi wa kodi na usumbufu mwingi fitna za viwanda vingine vyenu vya cement, inaelekea wewe hujui kitu
 
Mnaipaka matope nchi yenu mnasema eti ni nchi isiyothamini wawekezaji je hii ni kweli?

Mmechukia kutopata Ubunge je kwani Ubunge ni ajira? Hapana.

Kwa muktadha huu ni kuwa watanzania wameridhika na CCM.

Sasa mnataka nini? Mnaeneza uongo hapa Jf kuwa wawekezaji wanadhulumiwa bil of Tsh, jambo ambalo sio. Mlishapoteza kuweni wapole na mjipange kwenda kulima ndizi huko Hai.
Kwani ndugu yangu walioshindwa uchaguzi ni CHADEMA pekee? Mbona vipo vyama kadhaa.

Ambao hatujawa na chaguo la chama chochote mnatuvunja moyo.
 
Haramu iliyogeuzwa halali imeharamishwa tena

Waliozowea kula haramu iliyohalalishwa ndio wanaipaka matope Tanzania
Nyie ni dona kantree mna wasiwasi gani hata mkitangazwa vibaya kwa mabeberu wakati hamtegemei misaada kutoka kwao na mnajitosheleza kwa pesa zenu za ndani na utalii wa ndani[emoji41], si unaona hata Ngurdoto hotel kwa sasa imeingia kwenye utalii wa ndani yaani imekua hostel ya wanafunzi
 
Na huyu mchina (kutoka nchi rafiki) anapaka matope, au Ni kweli?!
_____________________
_____________________________________________________
From: "XMIAU WANG-JU @xiau.cn" <Xwang-ju@ xiau.cn >
Date: Thursday, 3 December 2020 at 21:55
To: Barbaros Dutoglu < bdutoglu@lenercoenerjLcom
CC: <skiwavi@yahoo.com>,
Subject: Re: Re: TANZANIA OPPORTUNITY
My good friend Barbaros!
How are you?
Are you okay? No, no, non, no, How did you come up with Tanzania as an investment country'?
Tanzania is moofa. Not good. Don't My friend, you need to think hard. not good idea. You are going
to be 10 time better by investing in Somalia or Syria than invest in Tanzania. their taxes are very
high, very high, before you start your business you will get tax before start business
Every three month, they are called tra. they will be harassing you for taxes, you make this mistake,
you make that mistake, fine is $1million because you don’t pay taxes. Very sad in tanzania: many
government companies, osha. fire, many many agency will be coming at your door for penalties, fees
and bribe and come back every month for more money, every time they are finding fake mistakes.
They are so many, very many and threats you to joil or kill you, and for business if you cant bribe, no
business, and the bribes, every time telJingyou 10% to get business, many people come to want
bribe if you refuse, they don't pay you. It is dangerous to do business on Tanzania. When you bring
goods into Tanzania, you declare value based on the purchase price, they will uplift price 3 times,
and sometime you leave it because they want a big bribe. It is a big gamble.
I invest S3,500,000, by time I leave Tanzania, last year 2019 October, I lost $1,375,000. Nothing is
good, everywhere, even on road, police will charge you a lot of money with fake road mistakes. Even
if they know you. every day they come with new mistake on your delivery vehicle, Look for Rwanda.
government is supportive or Zambia or Namibia if you don't want to come to Madagascar, but not
Tanzania. We talk on Wednesday, Call me please
Sincerely,
Wang.
_________________________________________________________________________________
From: Barbaros Outoglu < bdutoglu@enercoenerjLcom >
Date: 2020-12-03 21:51
To: XIMlAU WANG-JU <ximiau.wang-ju@xiau.co.cn>
CC: <skiwavi@yahoo.com>,
Subject: TANZANIA OPPORTUNITY
Hello Mr. Wang,
I do believe you are well in Madagascar. Things are okay here in Istanbul. Just finished the.
discussion with the finance company will follow up in the next two weeks before we make the
decision to move forward or not. What are your thoughts, any ide a for Tanzania or Madagascar?
Because these were top in our list, let us know so we can start. The plan is to start home.
distribution of natural gas in tanzania. My good friend Mr. Kiwavi will help get all permits and
registration paperwork although people are scare me not to go
Thank you,
Barbaros
Mtu mwenye akili unaweza kupost huu upuuzi?
 
Kwani ndugu yangu walioshindwa uchaguzi ni CHADEMA pekee? Mbona vipo vyama kadhaa.

Ambao hatujawa na chaguo la chama chochote mnatuvunja moyo.
Wengine wamekubali kushindwa. Na halichafui kwa uongo taifa lao
 
Wengine wamekubali kushindwa. Na halichafui kwa uongo taifa lao
Taifa lipi linachafuliwa? Kwani mabalozi wa Nchi zote si wapo Tanzania wameona ccm walichowafanyia wapiga, ccm inafanya mambo ya hovyo yenyewe alafu haitaki jumuia za kimataifa kuiadhibu kwa visingizio vya kihuni kuwa Taifa linachafuliwa, anayechafua Taifa ni ccm mwenyewe siyo vinginevyo
 
Taifa lipi linachafuliwa? Kwani mabalozi wa Nchi zote si wapo Tanzania wameona ccm walichowafanyia wapiga, ccm inafanya mambo ya hovyo yenyewe alafu haitaki jumuia za kimataifa kuiadhibu kwa visingizio vya kihuni kuwa Taifa linachafuliwa, anayechafua Taifa ni ccm mwenyewe siyo vinginevyo
Jamaa walivyo na akili fupi kama pua ya mwenyekiti wao wana mawazo na tabia za kichawi.Vioja wafanye wao wakisemwa wanadai wanaonewa/wanasingiziwa.Si uchawi huo????? Kuroga wao na kulia zaidi wao!
 
Taifa lipi linachafuliwa? Kwani mabalozi wa Nchi zote si wapo Tanzania wameona ccm walichowafanyia wapiga, ccm inafanya mambo ya hovyo yenyewe alafu haitaki jumuia za kimataifa kuiadhibu kwa visingizio vya kihuni kuwa Taifa linachafuliwa, anayechafua Taifa ni ccm mwenyewe siyo vinginevyo
Sijaona balozi anayelalamika hata mmoja.
 
Kama umeridhika na CCM ni wewe usitusemee sisi wengine. Kama wameshindwa kufata Katiba waliyoiweka wenyewe ulitegemea wapinzani nao waimbe nyimbo za kumsifu na kumuabudu jiwe hata kama haki haitendeki.
Umeona eennhhh??
 
Nyie ni dona kantree mna wasiwasi gani hata mkitangazwa vibaya kwa mabeberu wakati hamtegemei misaada kutoka kwao na mnajitosheleza kwa pesa zenu za ndani na utalii wa ndani[emoji41], si unaona hata Ngurdoto hotel kwa sasa imeingia kwenye utalii wa ndani yaani imekua hostel ya wanafunzi
Habari ya ngurdoto alaumiwe mmiliki marehemu mrema
Hayo mengine furahieni ila mabaya mnayotamani yatokee mkumbuke tuu njaa hayachagui itikadi
 
Back
Top Bottom