Watu wa Kanda ya ziwa Mara,Mwanza, Kagera nk! siyo wakatili ivo, km mleta Mada alivo andika hapo juu!! Ukatili huu uko Duniani kooote!! ila Mauaji ya kanda ya Ziwa yanajulikana sana Duniani!
Sababu kubwa ni Ubora na umaarufu wa kanda hii ya ziwa! ......Mwandishi yeyote akiandika habari kuhusu walikotoka Wanajeshi machachari waliokuwa mstari wa mbele kukomboa Bara la Africa ....
na kuiweka Tanzania kwenye Ramani baada ya kumshinda mwanajeshi nguri aliye fundishwa ujeda na wakoloni yaani Nduri idd amin!, hii tu inawavutia watu wengi Duniani....kma haitoshi pia
viongozi Maarufu na machachari, walio unganisha Bara zima la Africa, kuanzia Zanzibar,EAC, wenye akili mingi, walioshindwa kupinduliwa Kirahisi Duniani, na Tanzania hii, na Africa kwa ujumla wake
km Nyerere, Msekwa, Hashim Mbita, Jiwe, Getrude Mongera nk! wanatoka huko! hii tu inatosha kuvuta usikivu wa Tamaduni, aina ya watu wenye asili ya kanda hii!!.....mwandishi yeyote anae andika haya
Lazima huyu wa kanda ya ziwa atauza sana habari hiyo! kuliko mwandishi anaye uza habari za Mikoa mizembe ya watu wa Lindi/Mtwarank! kwanza hazijulikani Duniani!......
Fikiria tu! mtu anatamani vita ya kulikomboa Bara la Africa! kwa moyo wote kabisa bila kusita!.......chachu ya Nchi zilizo Mstari wa Mbele ni watu wa Kanda hii! na walifanya kweli bila kusita sita
pia kwa sababu Ya ubora huo umevutia watu wengi/waandishi wa Habari wengi kukaa kanda hiyo!.. ili wauze habari kutoka kanda hii!
Popote humu Duniani penye Uchumi Bora wenye nguvu, akili mingi, watu shupavu penye mwelekeo wa mafanikio ya kasi. ndipo habari zake hujulikana sana, na pana ongoza kwa matendo ya kikatili Duniani!
Mfano USA, Israel, Uk, France Ujermani hawa mpaka waligawanywa pande mbili ajili ya ujeuri wao, S/A nk sasa Geece imewahi tawala Dunia kwani leo hii unaiskia???
Mtu Wa kanda ya ziwa popote alipo anamulikwa sana ajili ya Tabia zao za ukakamavu, kutopenda dharau na kupenda jeshi mnoo kuliko ugali, sehemu pekee Afirca ambapo Hakuna mtumwa aliye uzwa tokea hapa!
Zamani zile Misafara ya watumwa ilishambuliwa na wanawake tu na kuwakomboa watumwa wooote!! walipigwa km watoto!! wazungu wanalijua hilo! wamejaza vitabu kuhusu kanda hii kwenye Library zao!
ndo maana walipoanzisha KAR walichukua kanda hii sana, na pia mkoloni alitawala kanda hii kwa tahadhari kubwa mnoo!!.....hata alipo ibuka Nyerere Mkoloni hakuwa na upinzani kiviile km makabila mengine!!
sababu alijua Muziki wake km angeleta upinzani kwa Nyerere yule mwana kanda halisi, hata wale wazungu walio muunga mkono Kambona, walimpa tahadhari kubwa mnoo!
ivo ni sawa kanda ya ziwa kuiwazia ivo! ajili ya Ubora wake kwa rasili Mali, vivutio, akili mingi, na tabia zao za kuto taka ujinga kwa gharama yeyote ile tangu zama! na wake zao wa asili wana nidhamu isiyo ya kawaida!
wanawake wanao uawa kule siyo wa asili ya kule! bali ni wa kuja km vile Wachagga, wamakonde ,Wazaramo nk, sababu wao kwa asili yao kusaliti penzi ni kawaida yao! Mkanda ya ziwa hilo ni marufuku!
Lkn pia Utamu wa tabia/mwili/muonekano/uvumilivu/kujali/akili mingi za wanawake wa Kanda ya ziwa, umewafanya watu wengi sana Duniani wawapende,
pia watu wa aina mbalimabali kung'ang'ania kuishi kanda hii,, Mfano utamu wa wahaya wanaongoza kwa kuuza Nyapu EA,.....LKN akiolewa hauzi! Uongo mleta MADA???
jARIBU KUONJA MSIMBE SIKU MOJA UONE BARAKA NA UTAMU WAKE!...SI UJARIB TU ULETE MREJESHO BANA KM SIYO DOMO ZEGE......onyo ukienda kizembe kwa ke wa kanda hii lazima atakupiga makonde hutaamini!!!...............