ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Tatizo linaanzia kwenye ulaji wa nyama kwa wingi. Makabila yanayokula nyama wana asili ya ukali sanaKwema Wakuu!
Tangu napata Akili nikiwa sekondari nasikia matukio ya kikatili yanayotokea huko Kwa Ndugu zetu wa Kanda ya ziwa, mpaka nafika chuo na sasa nimekuwa mtu mzima bado nasikia matukio ya kikatili huko kanda ya ziwa.
Kwa sasa Dar es salaam
ndo mlivyo yaani kuuza nyaa'' ndo kustaarabika kwa Nchi za Magahribi! Mmeiga waarabu waliwaharibu sana,, kure Mara kanda ya ziwa walikuwa wanachapwa viboko na ke!...Ndio maana huwa nakubaliana na wanaosema watu wa pwani(licha ya mapungufu yao), wamestaarabika sana.
Huwezi kusikia matukio kama hayo hapo juu, yakifanywa kwa kiwango cha juu na watu wa mikoa ya pwani mwa tz.
Na hata kama ikitokea, basi muhusika atakuwa ni mshamba mmoja toka bara.
Wewe koma kabisaaa!! wario waretea uhuru, KAR ni kina nani???? nyie hapo bongo mlishindwa wana Mara wakaja kwa fujo!!...wamekomboa Bara zima la africa,Jibu ni rahisi tu.Majority hawakwenda shule na ndio maana ushirikina kwao wanaona ndio dini ya pili.Sababu ingine ni washamba sana.
Tena ule ndo uuaji mbaya sana! sababu unatupa mbegu hai, kwenye Mavi ya moto kila siku!..bOra yule anaye tupa chooni mara moja!Lakini ushoga sio mauaji take on me
Mimi kwetu ni MARA. Ila kwasasa Niko Kilimanjaro kikazi.Watu wa Kanda ya ziwa Mara,Mwanza, Kagera nk! siyo wakatili ivo, km mleta Mada alivo andika hapo juu!! Ukatili huu uko Duniani kooote!! ila Mauaji ya kanda ya Ziwa yanajulikana sana Duniani!
Sababu kubwa ni Ubora na umaarufu wa kanda hii ya ziwa! ......Mwandishi yeyote akiandika habari kuhusu walikotoka Wanajeshi machachari waliokuwa mstari wa mbele kukomboa Bara la Africa ....
na kuiweka Tanzania kwenye Ramani baada ya kumshinda mwanajeshi nguri aliye fundishwa ujeda na wakoloni yaani Nduri idd amin!, hii tu inawavutia watu wengi Duniani....kma haitoshi pia
viongozi Maarufu na machachari, walio unganisha Bara zima la Africa, kuanzia Zanzibar,EAC, wenye akili mingi, walioshindwa kupinduliwa Kirahisi Duniani, na Tanzania hii, na Africa kwa ujumla wake
km Nyerere, Msekwa, Hashim Mbita, Jiwe, Getrude Mongera nk! wanatoka huko! hii tu inatosha kuvuta usikivu wa Tamaduni, aina ya watu wenye asili ya kanda hii!!.....mwandishi yeyote anae andika haya
Lazima huyu wa kanda ya ziwa atauza sana habari hiyo! kuliko mwandishi anaye uza habari za Mikoa mizembe ya watu wa Lindi/Mtwarank! kwanza hazijulikani Duniani!......
Fikiria tu! mtu anatamani vita ya kulikomboa Bara la Africa! kwa moyo wote kabisa bila kusita!.......chachu ya Nchi zilizo Mstari wa Mbele ni watu wa Kanda hii! na walifanya kweli bila kusita sita
pia kwa sababu Ya ubora huo umevutia watu wengi/waandishi wa Habari wengi kukaa kanda hiyo!.. ili wauze habari kutoka kanda hii!
Popote humu Duniani penye Uchumi Bora wenye nguvu, akili mingi, watu shupavu penye mwelekeo wa mafanikio ya kasi. ndipo habari zake hujulikana sana, na pana ongoza kwa matendo ya kikatili Duniani!
Mfano USA, Israel, Uk, France Ujermani hawa mpaka waligawanywa pande mbili ajili ya ujeuri wao, S/A nk sasa Geece imewahi tawala Dunia kwani leo hii unaiskia???
Mtu Wa kanda ya ziwa popote alipo anamulikwa sana ajili ya Tabia zao za ukakamavu, kutopenda dharau na kupenda jeshi mnoo kuliko ugali, sehemu pekee Afirca ambapo Hakuna mtumwa aliye uzwa tokea hapa!
Zamani zile Misafara ya watumwa ilishambuliwa na wanawake tu na kuwakomboa watumwa wooote!! walipigwa km watoto!! wazungu wanalijua hilo! wamejaza vitabu kuhusu kanda hii kwenye Library zao!
ndo maana walipoanzisha KAR walichukua kanda hii sana, na pia mkoloni alitawala kanda hii kwa tahadhari kubwa mnoo!!.....hata alipo ibuka Nyerere Mkoloni hakuwa na upinzani kiviile km makabila mengine!!
sababu alijua Muziki wake km angeleta upinzani kwa Nyerere yule mwana kanda halisi, hata wale wazungu walio muunga mkono Kambona, walimpa tahadhari kubwa mnoo!
ivo ni sawa kanda ya ziwa kuiwazia ivo! ajili ya Ubora wake kwa rasili Mali, vivutio, akili mingi, na tabia zao za kuto taka ujinga kwa gharama yeyote ile tangu zama! na wake zao wa asili wana nidhamu isiyo ya kawaida!
wanawake wanao uawa kule siyo wa asili ya kule! bali ni wa kuja km vile Wachagga, wamakonde ,Wazaramo nk, sababu wao kwa asili yao kusaliti penzi ni kawaida yao! Mkanda ya ziwa hilo ni marufuku!
Lkn pia Utamu wa tabia/mwili/muonekano/uvumilivu/kujali/akili mingi za wanawake wa Kanda ya ziwa, umewafanya watu wengi sana Duniani wawapende,
pia watu wa aina mbalimabali kung'ang'ania kuishi kanda hii,, Mfano utamu wa wahaya wanaongoza kwa kuuza Nyapu EA,.....LKN akiolewa hauzi! Uongo mleta MADA???
jARIBU KUONJA MSIMBE SIKU MOJA UONE BARAKA NA UTAMU WAKE!...SI UJARIB TU ULETE MREJESHO BANA KM SIYO DOMO ZEGE......onyo ukienda kizembe kwa ke wa kanda hii lazima atakupiga makonde hutaamini!!!...............
Tatizo linaanzia kwenye ulaji wa nyama kwa wingi. Makabila yanayokula nyama wana asili ya ukali sana
Mara/kanda ya ziwa in general ni sababu ya Umaarufu wake! utajiri, maisha rahisi matamu/future nzuri! hali ya hewa ile ni nadra sana inavutia watu wengi kuishi huko km waandishi ili wauze habari!Mimi kwetu ni MARA. Ila kwasasa Niko Kilimanjaro kikazi.
Kiukweli hakuna sehemu ya UKATILI wa KUTISHA kama Kilimanjaro lakini huwezi kusikia TAARIFA zake Mara kwa Mara kwasababu MATUKIO mengi ya UKATILI yakijulikana huku huwa yanaishia kwenye MISAMAHA ya ISALE na POMBE za UKOO na NDAFU/Nyama.
In short, Mara matukio huwa yanawika sana na matukio kama hao sehemu nyingine huchukuliwa kawaida tu.
Mm nimtu wahuko tena mara,kuna ukweli ktk haya yaliyoandikwa hapa,nimezaa namtu WA pwani huku nasasa naishi huku kusini,kiukweli mikoa ya Lindi namtwara huku licha ya madhaifu Yao ,lkn,kumestaarabika Sana hasa katika maswala yanayohusu maamuzi yaeither wizi au mahusiano,huku MTU akiiba hapigwi Hadi kufa Bali wataitana wazee wayasuluhusishe kwetu Kule anapigwa mawe au kuchomwa Moto,huku kusini mwanamke akikamatwa ugoni namwanaume mwingine hutozwa faini mwanaume aliyechukua mke WA MTU,napengine hupewa talaka nammewe au hapewi itategemea ,huku ninadra Sana kukuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 25-40akiwa nandoa moja Bali huenda akawa ashaachika nakuolewa zaidi ya mara mbili au tatu,huku kusini ndoa sio kifungo cha maisha Bali nnaweza kuachana kwamda (Halftime),,nabaadae mkarudiana tena kwakupeana talaka moja,au mbili,au tatu mazima.Tatizo ni malezi yao yanawataka wanaume wawe wababe kwa Kila jambo Yani hakuna kushindwa kwa Kila jambo .
Wewe siyo Mara original ni wakuchovya tu!!Mm nimtu wahuko tena mara,kuna ukweli ktk haya yaliyoandikwa hapa,nimezaa namtu WA pwani huku nasasa naishi huku kusini,kiukweli mikoa ya Lindi namtwara huku licha ya madhaifu Yao ,lkn,kumestaarabika Sana hasa katika maswala yanayohusu maamuzi yaeither wizi au mahusiano,huku MTU akiiba hapigwi Hadi kufa Bali wataitana wazee wayasuluhusishe kwetu Kule anapigwa mawe au kuchomwa Moto,huku kusini mwanamke akikamatwa ugoni namwanaume mwingine hutozwa faini mwanaume aliyechukua mke WA MTU,napengine hupewa talaka nammewe au hapewi itategemea ,huku ninadra Sana kukuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 25-40akiwa nandoa moja Bali huenda akawa ashaachika nakuolewa zaidi ya mara mbili au tatu,huku kusini ndoa sio kifungo cha maisha Bali nnaweza kuachana kwamda (Halftime),,nabaadae mkarudiana tena kwakupeana talaka moja,au mbili,au tatu mazima.
Hatupendi Dharau, Unafiki na Upumbavu.
Una akili ndogo sana.Matatizo yenu ni haya
1. Mnaimani za kijinga za ushirikina na uchawi
2. Wengi mnajiona Duni hivyo mnapenda kujitutumua. Hii inazaa hoja ha tatu
3. Mnapenda ushindani usio na kichwa wala miguu.
4. Mnaubabe wa kijinga, yaani mnatumia nguvu nyingi hata Kwa mambo yasiyohitaji nguvu. Hii ni kutokana na upeo kuwa mdogo wa kufikiri. Sip ajabu ukasikia MTU anaua Make au mtoto kisa kaambiwa wewe sip mwanaume.
5. Hamna Diplomacy kwani mnatabia ya kutaka kile msemacho ndio kikubaliwe na wengine.
SahihiMtu mkatili mara nyingi huwa na magonjwa ya Akili, au madhara ya kisaikolojia wakati WA utoto.
Tabia ya kupigapiga au hasira zisizo na maana ni tatizo la kiakili,
YepSahihi