Ndugu zetu waislamu ifike muda mpunguze malalamiko na mjitafakari

Wakristo wa nchi hii ukipita mitandaoni unaweza dhani labda wanaishi maisha ya kiwango cha juu wakati nao wanaishi kwa kuunga unga kama watz wengine.
ndio muache udini
 
Unaandika Vyema.

Lakini Vita vya Israel na Palestine vina Viashiria vya Dini na Race.

Israel ana uadui wa kihistoria na wapelestina na Anatafuta Namna ya kuwaua na kuwadhoofisha kwa ajiri ya usalama wake kama ambavyo wapalestina watalipiza kisasi kadri watakapo pata nafasi.

Marekani lazima waisaidie Israel kwa sababu ya manufaa anayopata kutoka Israel sio kutokana na vita bali kutokana na ushirikiano uliopo na utegemezi wa marekani kwa Israel hasa katika masuala ya technologia.

Iran anatumia mgongo wa Kuwasaidia wapalestina kwanza ili apate attention from muslims around the world kwamba yeye amesimama na wapelestina (japo sio kweli ana malengo yake mengine kabisa).

Pili iran inataka kushika udhibiti wa maeneo matukufu ya kiislamu ya kihistoria hiyo itakuwa hatua muhimu katika kukuza itikadi zao za Kishia zinazokwenda kinyume na zile za kisunni(zenye waislamu wengi)
 
Acheni wivu wakristo, nyinyi pia mna taasisi zenu mnawaajiri waislamu huko?
Kumbe roho inwauma muislamu kumuajiri muislamu, kwanza wengi wenu sio waaminifu nani atawaajiri. Waislamu pamoja na mapungufu yao ila ni waaminifu zaidi kuliko nyinyi

Unachanganya uvumilivu katika dhulma na uaminifu, utaendeleaje bila kujiongeza ikiwa bosi anakulipa mshahara wa laki na nusu kwa mwezi na una familia yenye watoto watatu? Na ikumbukwe upo kwa huyo muajiri wako Jumatatu mpaka ijumaa
 
Hao waislamu gani unaowazungumzia? Mimi swala tano na pia ni msomi pesa kwangu si haba usipende kugenelize we jamaa hivi pambana na ukoo wenu
 
Hao waislamu gani unaowazungumzia? Mimi swala tano na pia ni msomi pesa kwangu si haba usipende kugenelize we jamaa hivi pambana na ukoo wenu
Hiyo ni wewe binafsi , mimi naongelea kwa muktadha ya jumuiya ya kiislamu na Kikristo pana
 
Umeandika vizuri sana
 
Hii paragraph imenikumbusha aya tukufu ya Qur'aan;

ayat 120 from Surah Al-Baqarah
﴿وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ﴾
[ البقرة: 120]

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Reactions: Tui
Labda tukuulize mtoa mada... Waislamu wakiwa duni katika maendeleo wee inakuathiri wapi!?.

Kama ilikuwa ni kutoa mada kwa lengo la kujenga ungeshikilia hapo hapo badala ya kukashifu.

Umoja wa kitaifa haujengwi kwa kashfa ulizotoa.
 
Ukiona mtu ni mtu wa kulalamika lalamika sana ujue kichwani ni empty set....

An uwezi kuta mtu kichwani yupo smart alafu analalamika lalamika hovyo..

Pia udini sometimes ni umavi mavi tuu..
Mi kuna mwanangu tupo form four alikua analeta habari sijui mara huko necta wanafrlisha waislam mara sijui kazini mpaka hv mara vile...

Nikaona kabisa huyu jamaa ana akili za kujibu mtihani tuu ila ukitoa hizo akili anabaki na nyaa au mavi...
Wee mtu badala upambane et anawaza kupendelewa ndo nini sasa
 
Labda tukuulize mtoa mada... Waislamu wakiwa duni katika maendeleo wee inakuathiri wapi!?.

Kama ilikuwa ni kutoa mada kwa lengo la kujenga ungeshikilia hapo hapo badala ya kukashifu.

Umoja wa kitaifa haujengwi kwa kashfa ulizotoa.

Sijatoa kashfa, nimetoa observation kwa kile ambacho nimekiona na kwa bahati mbaya baadhi ya watu katika uzi huu wametafsiri kile nilichokiona kama kashfa

Upendo haujengwi kwa kufumbia macho mambo ambayo mtu anaona yanachochea umaskini (ni adui yako pekee ndio utamuombea na kuridhika ukiona anaoga umaskini)

Ningekua nakashifu nisingetoa mapendekezo nini kifanyike
 
Sijaona mapendekezo Yako yoyote hpo zaidi ya kuona waislamu Hawana maendeleo kwasababu ya kulalamika.
Kwakua ni mtizamo wako ndo umefikia hpo , ngoja nami niishie hapa.
 
Sijaona mapendekezo Yako yoyote hpo zaidi ya kuona waislamu Hawana maendeleo kwasababu ya kulalamika.
Kwakua ni mtizamo wako ndo umefikia hpo , ngoja nami niishie hapa.
Sijaongelea kuhusu kuboresha taasisi kweli? Hujaona hilo?
 
Sijaongelea kuhusu kuboresha taasisi kweli? Hujaona hilo?
Yaani kwanini uweke kashfa Kisha ndipo uweke mapendekezo!? , Japo hata hayo mapendekezo ya umoja wa kitaifa ulioulenga sijayaona.

Kama wakristo ndo wenye elimu nzuri, hawaombi ombi basi wao wajenge huo umoja wa kitaifa peke Yao, Kuna ulazima gani kujumuisha wengine.

Ukiweka mada sio vyema kuweka ulinganishi ( comparison).
 
Hauazungumzia ubaguz wa kua wanaajiri waisilamu tuu?
 
Mkichafuana huko kwenye màtaifa ya kiislam kwanini mnakimbilia kwa hao wanaowachukia? Wakimbizi wa Syria ulishawahi kusikia wanakimbilia Afghanistan? Uarabuni?
Tafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…