Mkuu hilii.la.posn limetutesa sana tukikamata nafasi tunanza kuwa na viburi visivyo na msingi kabisa wenzetu wanapenda kuongozwa na hekima ya Mungu na nahisi zile dua za kila mara zinasaidia sana sio ssisi mpaka jpili yaan na ukiwa unasali jmosi usiku unaamkia asbh lodge jpili shidaUko sahihi
Phd ya mabibo ina shida gani mkuu, mbona hivyo tena. Phd niPhd hata ya Open.Msudani unasimangwa huku na PhD ya mabibo
Code language, pole kwa kushindwa ku uncodePhd ya mabibo ina shida gani mkuu, mbona hivyo tena. Phd niPhd hata ya Open.
Hawezi kufungua hiyo Mkuu hata iweje PhD bongo za ukweli zipo chache sana...Code language, pole kwa kushindwa ku uncode