The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
.
Tena kama huna ndo sio kataa tu bali laanIf you have money
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kama huna ndo sio kataa tu bali laanIf you have money
Kama huna oa tu maana huna cha kupoteza.
Tena kama huna ndo sio kataa tu bali laan
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli
Ndoa Ni Wizi
Kataa Ndoa
Ukiwa mhuni bora usioe,hata kama huna hela,ndoa inahitaji nidhamu tofauti ,na kuna Uhuru fulani itabidi uupotezeWizi mtupu. Ukiwa na hela bora usioe tu.
Sasa mtu asiye na hela anafanyaje uhuni?Ukiwa mhuni bora usioe,hata kama huna hela,ndoa inahitaji nidhamu tofauti ,na kuna Uhuru fulani itabidi uupoteze
Hawa wa kwetu sio wanawake ni maroboti tu,mwanamke gani anazaa watoto kumi,analima kwa jembe akitoka shambani mtoto mgongoni kuni kichwani jembe begani kidumu cha maji mkononiWapi ambako kuna waliooa halafu hawapigi wanawake nje?
Huku kwetu wanawake zenu wangekua strict hivyo,nidhamu ingekuwepo,sema sasa sisi maskini,hata vya kugawana ni vichache.
Uhuni ni tabia,haihusiani na helaSasa mtu asiye na hela anafanyaje uhuni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile dhana ya kataa ndoa ni wizi,utapeli inapojitokeza wadau wa kataa ndoa wapo mbele kwa bao moja mpaka sasa hali ni ngumu sana hapa shamba la bibi dakika zinayoyoma..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaahHawa wa kwetu sio wanawake ni maroboti tu,mwanamke gani anazaa watoto kumi,analima kwa jembe akitoka shambani mtoto mgongoni kuni kichwani jembe begani kidumu cha maji mkononi
Mbna Beyonce ana vumilia kwa Hoova, yaan yule baba ni zoa zoa mnooo khaaaaah.Huyu dada amesema ukweli Ne-yo ni malaya sana tena anachukua wale strippers wa club mwanamke kila siku anaona mipicha picha,kufumania. chakufia ukimwi nini hata kama ni mimi nakuacha mchana kweupe ukimwi wako ufe nao mwenyew shwain.