Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TwavisubiriMkipigwa virungu, msimwitwe yule wakili Shoga Amsterdam
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye atakuwa tayari kuharibu amani ya nchi yake kwa masirahi ya kibaraka wa wazungu lissuSisi waTz tuliyopiga kura.
Bora kuwa kibaraka wa wazungu kuliko kuwa mlamba matako ya meko kama wewe na wenzako wote watiifu wa CCM.Hakuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye atakuwa tayari kuharibu amani ya nchi yake kwa masirahi ya kibaraka wa wazungu lissu
Mwenzio niko hai Nasubiri 5 tena za John Pombe Joseph Magufuli. Mimi sio mfu kama wewe uliyekiri kwa kinywa chako kwamba ni mfuHata wewe ni mfu tu kwa maisha haya ya awamu ya 5. Hata uhuru ambao Nyerere aliudai mwaka 1961 hauna maana. Tunaishi nchini kwetu kama watumwa?? WHY ?? Magufuli must go
Kam utampigia Pombe basi wewe na wenzio ni misukuleMwenzio niko hai Nasubiri 5 tena za John Pombe Joseph Magufuli. Mimi sio mfu kama wewe uliyekiri kwa kinywa chako kwamba ni mfu
Nyuma ya keyboard hadi Mayweather hafui dafu kwa wengi wenuHakuna kurudi nyuma mkuu mimi nimeenda kujipiga msasa kidogo kuanzia kwenye kon fu, na mbinu zingine za kukabiliana na hawa mbwa koko hata wakitumia mabomu ya machozi lazima nilale mbele na mmoja
Nyumbani kumenogaaaKam utampigia Pombe basi wewe na wenzio ni misukule
Hawa wanatafuta nafasi ya kupenyeza kura feki na masanduku ya kura fekiTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema hakuna mtu yeyote atakayeruhusiwa kukaa mita 100, kusubiri matokeo ya uchaguzi.
Badala yake NEC imeelekeza kuwa kila mpiga kura anayekwenda kupiga kura kituoni, baada ya kukamilisha shughuli hiyo arudi nyumbani.
Unavimba ukiwa kwenye keyboard.Wana uwezo gani wa kutuzuia?
Wana nini wao Kama Nani ? Tena hatukai mita mia tunakaa nje ya kituo mpaka kieleweke.
Yaani tukiamka tarehe 28 asubuhi haturudi ndani mpaka Lissu atangazwe ..
Sheria inasema watu wanaweza kukaa mita mia halafu wenyewe wanaleta bla bla..
Wajaribu kuzuia nguvu ya umma mwaka huu waone Kama wataweza mwaka huu hatuna mchezo kabisa na uchaguzi..
Mie ntapima siku 3 kabla afu niweke alama. Ntakaa mita 125 toka kituoni. Sitaki ugomvi na mtuNa uwe na vipimo kabisa vya hizo meter 101 mkononi😁
Mita 125 utakua nyumbani kwa mjumbe😁😁😁😁Mie ntapima siku 3 kabla afu niweke alama. Ntakaa mita 125 toka kituoni. Sitaki ugomvi na mtu
NEC na CCM ndiyo kitakuwa chanzo cha vurugu wametunga sheria fikirishi huu ni uchaguzi siri ya niniMkuu kitakacho leta fujo Wala sio kukaa mita Mia ,kitakacholeta fujo ni wasimami kwa kutotii kanuni na sheria za uchaguzi,na kubwa zaidi kushindwa mtangaza mshindi halali fuul stop,ila mfano kura zimepigwa zimeesabiwa kwa uwazi,hakuna figisu za mawakala kuanzia kuhapishwa,kutozuiliwa kuingia vituon, fujo itatoka wapi ,Kuna kushindwa na kushinda Kama ni kwa njia halali shida ipo wapi?