Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Sheria ya NEC na sheria za TCRA zote ni sheria mbaya. Kama NEC inafanya mambo ya halali kwa nini inaogopa wapiga kura wasikaribie kituo.

Mwaka huu mutuue wote mbaki mnatawala wenyewe NEC, na Polisi, lakini wananchi kamwe hatuendi nyumbani. Tunalinda kura zetu
Uchaguzi uliopita ulikuepo?
Kama ulikuepo uliambiwa ufanyaje baada ya kupiga kura?
 
Tume ya uchaguzi sio huru, haiaminiki. Inatunga kanuni zinazokinzana na Sheria. Kituo kina mipaka, 100m ni umbali tosha. Ni wazi kuna kusubiriana, hoja ya piga kura ondoka ielezwe ni kifungu gani cha Sheria, na kama ipo ni ya kusaidia kuingiza kura za wizi.
Mita 200 Ni Sawa Na Viwanja Viwili Vya Mpira Wa Miguu na Ni mbali na Vituo...

Kwani Kujikusanya Watu Zaidi Ya 500 Huoni Kuwa Ni Mkutano Usio Na Kibali?!!

Ikumbukwe Siku Hiyo Maduka Na Shughuli Nyingine Binafsi Zitakuwa Zinaendelea,Je Huoni Mikusanyiko Mikubwa Mbele Ya Shughuli Hizo Halali Ni Kuleta Sintofahamu Dhidi Yao?!!
 
Tume ya uchaguzi sio huru, haiaminiki. Inatunga kanuni zinazokinzana na Sheria. Kituo kina mipaka, 100m ni umbali tosha. Ni wazi kuna kusubiriana, hoja ya piga kura ondoka ielezwe ni kifungu gani cha Sheria, na kama ipo ni ya kusaidia kuingiza kura za wizi.
Vyovyote vile tutalinda kura
 
Ni sahihi raia kulinda kilicho chao na ndio maana wanasaidiana na polisi katika kuhakikisha ulinzi na usalama, kwanini katika hili tuwatenge raia?
Hakuna askari yeyote kumharass raia mwema anayelinda mali yake!
Polisi wakijitenga, wajiandae kuvunjika kwa ulinzi shirikishi. Ulinzi shirikishi usiwe kwa vibaka wadogo, kibaka demokrasia mkubwa wananchi wakawekwa pembeni.
 
Wana uwezo gani wa kutuzuia?

Wana nini wao Kama Nani ? Tena hatukai mita mia tunakaa nje ya kituo mpaka kieleweke.

Yaani tukiamka tarehe 28 asubuhi haturudi ndani mpaka Lissu atangazwe ..

Sheria inasema watu wanaweza kukaa mita mia halafu wenyewe wanaleta bla bla..

Wajaribu kuzuia nguvu ya umma mwaka huu waone Kama wataweza mwaka huu hatuna mchezo kabisa na uchaguzi..
tutaona sasa si mnasema mpo wengi zaidi ya askari polisi na ikibidi tutatumia jeshi maana mmehamasishwa na kibaraka mabaye yeye ana pasport mbili tayari, anzeni muone kuwa polisi wa Tanzania sio watu wa kuchezewachezewa na kutukanwa na tena tuna wana hasira maana mgombea wenu huwa anawasema vibaya
 
tutaona sasa si mnasema mpo wengi zaidi ya askari polisi na ikibidi tutatumia jeshi maana mmehamasishwa na kibaraka mabaye yeye ana pasport mbili tayari, anzeni muone kuwa polisi wa Tanzania sio watu wa kuchezewachezewa na kutukanwa na tena tuna wana hasira maana mgombea wenu huwa anawasema vibaya
Ahahhha,
 
Hawa jamaa sijui kwann wana wasiwasi kiasi hiki,watuache tulinde kura zetu eboooo
 
Vyovyote vile tutalinda kura
Mkuu..

Mna Haki Hiyo...Swali Ni Je Mnalindaje Kwa Kuwakwaza Wapiga Kura Wengine Ambao Hawajapiga Kura,Huoni Kutakuwa na mazingira ya ukosefu Utulivu kuelekea Vituoni?!!

Hebu Fikiri Watahiniwa Wa Mitihani Ya NECTA Ambao wanamaliza Mitihani haraka na kutoka vyumba Vya Mitihani kabla ya wenzao na kabla ya muda wa kufanya Mitihani kumalizika,waamue kujazana Nje ya vyumba hivyo...


Tafakari.
 
Mkuu..

Mna Haki Hiyo...Swali Ni Je Mnalindaje Kwa Kuwakwaza Wapiga Kura Wengine Ambao Hawajapiga Kura,Huoni Kutakuwa na mazingira ya ukosefu Utulivu kuelekea Vituoni?!!

Hebu Fikiri Watahiniwa Wa Mitihani Ya NECTA Ambao wanamaliza Mitihani haraka na kutoka vyumba Vya Mitihani kabla ya wenzao na kabla ya muda wa kufanya Mitihani kumalizika,waamue kujazana Nje ya vyumba hivyo...


Tafakari.
Ahahhh,tutalinda nenda katusemee kwa Polepole
 
..Nilitegemea NEC wasema hawana mpango wa kudhulumu kura za mgombea yeyote.

..Kwamba wana uhakika na hilo, na hawana wasiwasi na yeyote yule, hata anayetaka kuchungulia ktk madirisha ya kituo cha kura.
Mwaka huu NEC wataumbuka! Salama yao ni kuhamisha vituo. Kila kituo tayari kina miniature CCTV camera.
 
Mimi nitakaa mita 100 kusubiria matokeo. Ni haki yangu.
Hicho kiwanja utakachokaa ni cha baba yako au mama yako? ni eneo lenu mnamiliki mna hati miliki yake?

Eti haki yako? Haki yako kwenda kukaa eneo la mtu lisilo la baba yako wala mama yako

Mita 100 Maana yake ni kwenye maeneo ya watu

Vinginevyo huo ni uvamizi wa viwanja au maeneo ya watu .Wamiliki mkiwaona pigeni simu poolisi zije defender na mabomu wawaopndoe watu waliovamia maeneo yenu na kuyakalia kwa mabavu

Kukaa eneo la mtu kunahitaji vibali viwili cha kwanza cha mwenye eneo cha pili kibali cha kukusanyika kutoka polisi vinginevyo huo unakuwa mkusanyiko usio halali kwa kufanya uvamizi na pili kukusanyika bila kibali
 
Hawa jamaa sijui kwann wana wasiwasi kiasi hiki,watuache tulinde kura zetu eboooo
Unaumaliza mtihani wako wa necta na kutojazana nje ya chumba Cha Mitihani kuzilinda karatasi zako,sembuse tuna wakala Wetu waaminifu wakizilinda Kura zetu humo ndani...

Tunajitia wasiwasi tu!!
 
Na uwe na vipimo kabisa vya hizo meter 101 mkononi😁
Halafu anapima mita mia inaangukia kwenye kiwanja cha nyumba yangu anasema hapa nitakaa kwa nguvu kitakachomkuta awe kaaga kabisa kwao kurudi miguu hana au makalio hana

Hizo mita 100 ukipima kila upande lazima atakutana na wenye eneo lao wanaolimiliki

Huwezi tu kwenda kujikalisha eneo la mtu bila ridhaa yake
 
Back
Top Bottom