Patrick Girigo
Member
- May 30, 2020
- 68
- 108
Tundu Lissu anatumia uwezo wake kinyume na matarajio ya wanasheria wengi; Katiba yetu ibara ya 74 inawataja Wakurugenzi wa Halmashauri kama sehemu ya TUME, n ndio maana wanawatangaza wabunge ba unapotakiwa wakusainie fomu za wadhamini,maana yake hao wapiga kura wapo kwenye maeneno yao'
Sheria ya Uchaguzi kifungu cha 35 na 37 kinawataja hao wakurugenzi wa TUME; yeye ashukuru Mungu kuwa NEC ilimstahi kuhakiki fomu zake, alipaswa kuenguliwa katika Ugombea wa Urais;
Sasa issue ya kuweka Picha nayo haina miguu ya kisheria maana sote tumeiona fomu ya Mgombea wa CCM na picha zake zote ni passport size;
Nafikiria Tundu Lissu atafute maeneo mengine ya kutoa elimu yake ya Kisheria na lazima aonekane kama mtu anayetaka kuwa STATEMAN hata kwa maneno na matendo yake; Usoni anaonekana kama mtu ambaye ana shari shari au uanaharakati uliopitiliza tu
Sheria ya Uchaguzi kifungu cha 35 na 37 kinawataja hao wakurugenzi wa TUME; yeye ashukuru Mungu kuwa NEC ilimstahi kuhakiki fomu zake, alipaswa kuenguliwa katika Ugombea wa Urais;
Sasa issue ya kuweka Picha nayo haina miguu ya kisheria maana sote tumeiona fomu ya Mgombea wa CCM na picha zake zote ni passport size;
Nafikiria Tundu Lissu atafute maeneo mengine ya kutoa elimu yake ya Kisheria na lazima aonekane kama mtu anayetaka kuwa STATEMAN hata kwa maneno na matendo yake; Usoni anaonekana kama mtu ambaye ana shari shari au uanaharakati uliopitiliza tu