Kwa hiyo unasemaje?
Kwamba, wagombea udiwani na ubunge waliondolewa using the same ground wafanyweje?
Ni vyema wakarudishwa, right?
Yes. Kwa sbb kwa maelezo ya NEC na sababu za wasimamizi wa uchaguzi majimboni na katani kuwaengua baadhi ya wagombea ubunge na udiwani, obviously, hazisimami tena....
Mwisho, Tundu Lissu na wengine wote kina sisi huku we knew exactly kuwa, mgombea wa CCM Ndg John Pombe Magufuli hata kama angekuwa amevunja/kiuka sheria na kanuni za uchaguzi kwa kiwango gani, ASINGEWEZA KUHUKUMIWA KINYUME NA ILIVYOFANYIKA...!!
Lakini, kwa upande mwingine TL ame - achieve alichotaka kuki achieve...
Huu ni umahiri wa hali ya juu sana...