Uchaguzi 2020 NEC imecheza ngoma ya Tundu Lissu. Je, Wagombea walioenguliwa Ubunge Tume itawarudisha?

Uchaguzi 2020 NEC imecheza ngoma ya Tundu Lissu. Je, Wagombea walioenguliwa Ubunge Tume itawarudisha?

Mkuu nadhani humjui vizuri Tundu Lissu.Kama unavichukulia vitu juu juu na kwa jinsi anavyopangilia maneno yake, unaweza ukaamini kile anachokiongea ni sahihi. Lissu ni Mwanasheria mbobezi anajua jinsi ya kucheza na maneno na vifungu vya sheria kama ilivyo mahakamani ili kuweza kamshawishi hakimu akubaliane na hoja zake. Mbinu hiyo hiyo ndo anaitumia pia kuwashawishi watu huku nje wasiopenda kutafakari ili waamini anachoongea.

Nimesikiliza hoja za Lissu vizuri sana, kwanza anasema JPM hawakuwasilisha fomu za uteuzi siku iliyotakiwa kisheria. Lakini sote tulimuona JPM siku ile ya tarehe 25 ambayo ni ya uteuzi akiwa na fomu zake, sasa jiulize alienda kufanya nini pale Tume.

Lakini Hoja yake hii anaijenga pia kwenye uhakiki wa wadhamini, kwamba kwann wasimamizi wa uchaguzi ndo wahakiki wadhamini (membe pia wadhamini wake wamehakikiwa na hao wasimamizi wa Jimbo lakini cha ajabu hakumwekea pingamizi). Anarudi tena kusema kwamba tume ndo iliyotoa maelekezo kwa hao wasimamizi kuhakiki wadhamini katika kila jimbo lakini hapo hapo anasema maelekezo hayo yanapingana na sheria. Lakini hafafanui kwamba sheria hiyo ndo inairuhusu Tume kukasimu madaraka yake kwa kadri itakavyoona inafaa kwa wasimamizi wa uchaguzi bila kusema ni madaraka gani. Kwahiyo mpaka hapo utaona tume haikuvunja sheria. Lakini hata kama tume ingekua imevunja sheria kwa kuwapa mamlaka wasimamizi wa uchaguzi, unawezaje kumlaumu/kumuwekea pingamizi mgombea ambae alifuata maelekezo ya Tume.

Infact, Tundu Lissu aliweka mapingamizi siyo kwa maana ya mtego bali kwa kujihami kwasbb toka mwanzo alihisi atakatwa na Tume (Tweet ya mbowe siku moja kabla ya uchaguzi inathibitisha hili) . Baada ya kuona tume haikufanya hivyo, akajua CCM au chama kingine kinaweza kutumiwa kumuwekea pingamizi baada ya uteuzi. Kwsbb anajua zilikuepo sababu nyingi sana za kumuengua isipokua watu waliamua iwe fair play wamuache agombee na ili uchaguzi uende kwa amani.
Hoja ya picha imejibiwa?
 
Yaani umeeleza maelezo marefu ambayo yanajirudia rudia halfu hayana substance yoyote. Kwa mfano, hukuelezea ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Lissu amevitumia kuweka mapingamizi halafu havikujibiwa na Tume au imeenda kinyume chake.

Hujaeleza ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Tume ilikiuka wakati wa kuwaeungua wagombea wengine ambapo sasa kwa hoja za Lissu itabidi iwarejeshe. Andiko lako lipo kama hadithi isiyo na mwanzo wala mwisho.
Hata darasani tunaingia muda sawa, tunatoka muda sawa, tunafundishwa na Mwalimu mmoja. Ila kuna mi-mburula inapata sifuri wakati wengine tunapata 80% au 100%.
Pole kwa kuwa na kilema cha UPUMBAVU, hatuna msaada na wewe
 
Tume iko sahihi katika maamuzi yake dhidi ya mapingamizi za Lissu kwa vile hazikuzingatia facts za matukio, makosa ya kiufundi kuhusu picha( iwapo ni kweli madai yake)- na ukubwa wa athari au madhara ya ukiukwaji ( gravity of the breach ) na kama itaathiri haki za msingi za mpiga kura chini ya sheria ya uchaguzi hadi kupelekea kutengua uteuzi. Aidha hakuzingatia kanuni ya kukasimu madaraka kwenye sheria ya uchaguzi wakati wa kujenga hoja.Jambo lingine kuhusu maamuzi ya mapingamizi au rufaa za majimbo zitaamuriwa kwa msingi wa merits kwa kila shauri na si vinginevyo. Cha msingi wasimamizi waruhusu rufaa kuifikia Tume na si kuzizuia ie Morogoro iwapo ni kweli. Mapingamizi ya Lissu ni ya kisiasa zaidi kutafuta umaarufu na upotoshaji.
 
IMG_0710.png
 
Mkuu nadhani humjui vizuri Tundu Lissu.Kama unavichukulia vitu juu juu na kwa jinsi anavyopangilia maneno yake, unaweza ukaamini kile anachokiongea ni sahihi. Lissu ni Mwanasheria mbobezi anajua jinsi ya kucheza na maneno na vifungu vya sheria kama ilivyo mahakamani ili kuweza kamshawishi hakimu akubaliane na hoja zake. Mbinu hiyo hiyo ndo anaitumia pia kuwashawishi watu huku nje wasiopenda kutafakari ili waamini anachoongea.

Nimesikiliza hoja za Lissu vizuri sana, kwanza anasema JPM hawakuwasilisha fomu za uteuzi siku iliyotakiwa kisheria. Lakini sote tulimuona JPM siku ile ya tarehe 25 ambayo ni ya uteuzi akiwa na fomu zake, sasa jiulize alienda kufanya nini pale Tume.

Lakini Hoja yake hii anaijenga pia kwenye uhakiki wa wadhamini, kwamba kwann wasimamizi wa uchaguzi ndo wahakiki wadhamini (membe pia wadhamini wake wamehakikiwa na hao wasimamizi wa Jimbo lakini cha ajabu hakumwekea pingamizi). Anarudi tena kusema kwamba tume ndo iliyotoa maelekezo kwa hao wasimamizi kuhakiki wadhamini katika kila jimbo lakini hapo hapo anasema maelekezo hayo yanapingana na sheria. Lakini hafafanui kwamba sheria hiyo ndo inairuhusu Tume kukasimu madaraka yake kwa kadri itakavyoona inafaa kwa wasimamizi wa uchaguzi bila kusema ni madaraka gani. Kwahiyo mpaka hapo utaona tume haikuvunja sheria. Lakini hata kama tume ingekua imevunja sheria kwa kuwapa mamlaka wasimamizi wa uchaguzi, unawezaje kumlaumu/kumuwekea pingamizi mgombea ambae alifuata maelekezo ya Tume.

Infact, Tundu Lissu aliweka mapingamizi siyo kwa maana ya mtego bali kwa kujihami kwasbb toka mwanzo alihisi atakatwa na Tume (Tweet ya mbowe siku moja kabla ya uchaguzi inathibitisha hili) . Baada ya kuona tume haikufanya hivyo, akajua CCM au chama kingine kinaweza kutumiwa kumuwekea pingamizi baada ya uteuzi. Kwsbb anajua zilikuepo sababu nyingi sana za kumuengua isipokua watu waliamua iwe fair play wamuache agombee na ili uchaguzi uende kwa amani.

Ni kifungu gani cha sheria tume inaweza kukasimisha madaraka yake kwa watu wengine?

Kuhusu Membe, siyo lazima Lissu aweke mapingamizi kwa wote, na ana haki ya kuweka pingamzi kwa yeyote

Siyo kweli eti kulikuwa na sababu za kumuengua, ukweli ni kwamba hazikuwepo kwa sababu yeye alifuata sheria, wengine walifuata maelekezo ya tume yaliyokinyume cha sheria. Na Tume haiwezi kutoa maelekezo yaliyokinyume cha sheria ikawa sahihi, ikifanya hivyo haiwi kinga ya kuvunja sheria

Unadai eti kaachiwa tu ili iwe fair play, fair play ipo kwenye kifungu namba ngapi cha sheria?.
Mbona wagombea wengine wa udiwani na ubunge wanafanyiwa uhuni lakini Tume haijawaachia wagombee ili iwe fair play? , yeye Lissu ana nini hadi aachwe kugombea kama amevunja sheria?

Anayeweza kuachiwa agombee kwa kuvunja sheria ni Magufuli maana tunajua tume siyo huru na inagwaya watawala
 
Mkuu nadhani humjui vizuri Tundu Lissu.Kama unavichukulia vitu juu juu na kwa jinsi anavyopangilia maneno yake, unaweza ukaamini kile anachokiongea ni sahihi. Lissu ni Mwanasheria mbobezi anajua jinsi ya kucheza na maneno na vifungu vya sheria kama ilivyo mahakamani ili kuweza kamshawishi hakimu akubaliane na hoja zake. Mbinu hiyo hiyo ndo anaitumia pia kuwashawishi watu huku nje wasiopenda kutafakari ili waamini anachoongea.

Nimesikiliza hoja za Lissu vizuri sana, kwanza anasema JPM hawakuwasilisha fomu za uteuzi siku iliyotakiwa kisheria. Lakini sote tulimuona JPM siku ile ya tarehe 25 ambayo ni ya uteuzi akiwa na fomu zake, sasa jiulize alienda kufanya nini pale Tume.

Lakini Hoja yake hii anaijenga pia kwenye uhakiki wa wadhamini, kwamba kwann wasimamizi wa uchaguzi ndo wahakiki wadhamini (membe pia wadhamini wake wamehakikiwa na hao wasimamizi wa Jimbo lakini cha ajabu hakumwekea pingamizi). Anarudi tena kusema kwamba tume ndo iliyotoa maelekezo kwa hao wasimamizi kuhakiki wadhamini katika kila jimbo lakini hapo hapo anasema maelekezo hayo yanapingana na sheria. Lakini hafafanui kwamba sheria hiyo ndo inairuhusu Tume kukasimu madaraka yake kwa kadri itakavyoona inafaa kwa wasimamizi wa uchaguzi bila kusema ni madaraka gani. Kwahiyo mpaka hapo utaona tume haikuvunja sheria. Lakini hata kama tume ingekua imevunja sheria kwa kuwapa mamlaka wasimamizi wa uchaguzi, unawezaje kumlaumu/kumuwekea pingamizi mgombea ambae alifuata maelekezo ya Tume.

Infact, Tundu Lissu aliweka mapingamizi siyo kwa maana ya mtego bali kwa kujihami kwasbb toka mwanzo alihisi atakatwa na Tume (Tweet ya mbowe siku moja kabla ya uchaguzi inathibitisha hili) . Baada ya kuona tume haikufanya hivyo, akajua CCM au chama kingine kinaweza kutumiwa kumuwekea pingamizi baada ya uteuzi. Kwsbb anajua zilikuepo sababu nyingi sana za kumuengua isipokua watu waliamua iwe fair play wamuache agombee na ili uchaguzi uende kwa amani.
Mkuu naona kama vile unatumia nguvu nyiiingi kwa jambo usilolijua. Kunywa maji utulie haya yamekuzidi kimo
 
Shida ya Bawacha ni kusaidiwa kufikiri hebu wasikilizeni NEC walivyo wajibu! Lissu ni muongo wa kutupwa
 
Tume haijatoa kifungu chochote cha sheria wala kanuni kukataa mapingamizi ya Lissu yaliyosheheni hoja nzito za kisheria na kikanuni zaidi ya maelezo ya jumla jumla tu!
 
Nani kakwambia ?????? Unahamisha goli eeeh???? Picha alipeleka ila msimamizi akasema hazikubandikwa
You see ...SASA kama hazijabandikwa INA maana hazijagongwa na stamp ya chama kinachomdhamini ktk form husika ili kudhibitisha uhalali wa anayerejesha form Kwa jina na sura
 
Yaani umeeleza maelezo marefu ambayo yanajirudia rudia halfu hayana substance yoyote. Kwa mfano, hukuelezea ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Lissu amevitumia kuweka mapingamizi halafu havikujibiwa na Tume au imeenda kinyume chake.

Hujaeleza ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Tume ilikiuka wakati wa kuwaeungua wagombea wengine ambapo sasa kwa hoja za Lissu itabidi iwarejeshe. Andiko lako lipo kama hadithi isiyo na mwanzo wala mwisho.
Sio lazima. Muhimu hoja yake imeeleweka.
 
You see ...SASA kama hazijabandikwa INA maana hazijagongwa na stamp ya chama kinachomdhamini ktk form husika ili kudhibitisha uhalali wa anayerejesha form Kwa jina na sura
Nani kakwambia usipobandika inamaanisha haijagongwa muhuri???? Wewe jamaa unafikiri kwa kutumia nini???
 
Tume haijatoa kifungu chochote cha sheria wala kanuni kukataa mapingamizi ya Lissu yaliyosheheni hoja nzito za kisheria na kikanuni zaidi ya maelezo ya jumla jumla tu!
Tume ya Taifa ya uchaguzi Tanzania ime idhiirishia dunia kuwa inaendeshwa kwa Mihemko na sio kwa Sheria na Kanuni.
 
Nilishasema watendaji wa serikali ndio wanaosababisha matatizo kwa wananchi bali sio chama cha mapinduzi

Kwa style hii,Tume ilibidi watulie kwanza kabla ya kumjibu mtu huyo,Sasa wanaleta utata mpya kabisa kwenye uchaguzi huu

Sio kila jambo inabidi kulijibu,kuna mambo unachutama kwanza

Hawa watendaji wanakiharibia chama cha mapinduzi sana kwani wao hawako mstari wa mbele kwenye kutafuta kura

Kanuni za uchaguzi haziruhusiwi kwenda kinyume na Sheria mama ya uchaguzi haya si wanayajua Tume ya uchaguzi

Kitendo cha kumuweka Tundu lisu siku ile masaa zaidi ya saba nilitegemea haya yatajitokeza tu

Hivi Tume mngepokea fomu za jamaa haraka na kumuacha aondoke si mngekiweka chama chetu salama

Nina hakika huyu mtu hakuwaza kuja na mapingamizi bali kitendo cha kumuweka pale masaa kibao ndio madhara yake hayo

Mengi tunashauri hapa,Mfano tulishauri akija toka nje aachwe si aliachwa airport na hajatupunguzia kura na heshma kwa wananchi au nje

Mfano angesumbuliwa siku ile airport wangesema ni ccm imefanya na sio watendaji

Kwanini tunaharibu image ya chama?
Kuna mambo yanafanyika sio kwa maslahi ya chama hasa kwa watendaji
Hahahaha umeandika kwa uchungu sana sana
 
Nani kakwambia usipobandika inamaanisha haijagongwa muhuri???? Wewe jamaa unafikiri kwa kutumia nini???
Huo muhuri inabidi uguse/ overlap kwenye fomu husika.

Naona unaanza kuhoji natumia nini kufikiri?... hopefully hutanitukana kama hujapenda maoni yangu.
 
Ninachojiuliza hivi ni kwanini kila wakati tunasikia wameenguliwa wangombea wa upinzani tu?? Na au wapita bila kupingwa wagombea wa CCM tuu???
 
Back
Top Bottom