Uchaguzi 2020 NEC imecheza ngoma ya Tundu Lissu. Je, Wagombea walioenguliwa Ubunge Tume itawarudisha?

Uchaguzi 2020 NEC imecheza ngoma ya Tundu Lissu. Je, Wagombea walioenguliwa Ubunge Tume itawarudisha?

Mkuu nadhani humjui vizuri Tundu Lissu.Kama unavichukulia vitu juu juu na kwa jinsi anavyopangilia maneno yake, unaweza ukaamini kile anachokiongea ni sahihi. Lissu ni Mwanasheria mbobezi anajua jinsi ya kucheza na maneno na vifungu vya sheria kama ilivyo mahakamani ili kuweza kamshawishi hakimu akubaliane na hoja zake. Mbinu hiyo hiyo ndo anaitumia pia kuwashawishi watu huku nje wasiopenda kutafakari ili waamini anachoongea.

Nimesikiliza hoja za Lissu vizuri sana, kwanza anasema JPM hawakuwasilisha fomu za uteuzi siku iliyotakiwa kisheria. Lakini sote tulimuona JPM siku ile ya tarehe 25 ambayo ni ya uteuzi akiwa na fomu zake, sasa jiulize alienda kufanya nini pale Tume.

Lakini Hoja yake hii anaijenga pia kwenye uhakiki wa wadhamini, kwamba kwann wasimamizi wa uchaguzi ndo wahakiki wadhamini (membe pia wadhamini wake wamehakikiwa na hao wasimamizi wa Jimbo lakini cha ajabu hakumwekea pingamizi). Anarudi tena kusema kwamba tume ndo iliyotoa maelekezo kwa hao wasimamizi kuhakiki wadhamini katika kila jimbo lakini hapo hapo anasema maelekezo hayo yanapingana na sheria. Lakini hafafanui kwamba sheria hiyo ndo inairuhusu Tume kukasimu madaraka yake kwa kadri itakavyoona inafaa kwa wasimamizi wa uchaguzi bila kusema ni madaraka gani. Kwahiyo mpaka hapo utaona tume haikuvunja sheria. Lakini hata kama tume ingekua imevunja sheria kwa kuwapa mamlaka wasimamizi wa uchaguzi, unawezaje kumlaumu/kumuwekea pingamizi mgombea ambae alifuata maelekezo ya Tume.

Infact, Tundu Lissu aliweka mapingamizi siyo kwa maana ya mtego bali kwa kujihami kwasbb toka mwanzo alihisi atakatwa na Tume (Tweet ya mbowe siku moja kabla ya uchaguzi inathibitisha hili) . Baada ya kuona tume haikufanya hivyo, akajua CCM au chama kingine kinaweza kutumiwa kumuwekea pingamizi baada ya uteuzi. Kwsbb anajua zilikuepo sababu nyingi sana za kumuengua isipokua watu waliamua iwe fair play wamuache agombee na ili uchaguzi uende kwa amani.

Ww mtoto huwa unaniachaga hoi sana, hiki kinachokuliza na kutetea hapa, ndio kiliwafanya ccm wajitangazwe washindi kwa 90%+ uchaguzi wa SM. Mpaka sasa ccm imepita bila kupingwa kwa mbinu hizi hizi chafu, leo unaandika masentesi marefu bila kujiuliza mwanzo wa hizi drama ni nini. Mnatambia sheria za kipuuzi zenye nia ovu, zikigeuzwa kutumika dhidi yenu mnajifanya kutoa maelezo marefu yanayowafanya muonekane majuha.
 
Ww mtoto huwa unaniachaga hoi sana, hiki kinachokuliza na kutetea hapa, ndio kiliwafanya ccm wajitangazwe washindi kwa 90%+ uchaguzi wa SM. Mpaka sasa ccm imepita bila kupingwa kwa mbinu hizi hizi chafu, leo unaandika masentesi marefu bila kujiuliza mwanzo wa hizi drama ni nini. Mnatambia sheria za kipuuzi zenye nia ovu, zikigeuzwa kutumika dhidi yenu mnajifanya kutoa maelezo marefu yanayowafanya muonekane majuha.
Mwambie huyu kilaza wa Lumumba. Lissu kawaweka uchi mchana kweupe, badala wajisitiri wao wanadhidi kuharibu zaidi 😀
 
NEC wamewekwa kwenye mtego mgumu sana. Kule Morogoro na maeneo mengine hawana budi kufanya kama walivyofanya kwa Magufuli. Otherwise Kuna mabaya sana yatatokea kutoka kwa wananchi kwa kuamini CCM wanabebwa makusudi na wapinzani wanaonewa kwa makusudi

Pia Jumuiya ya Kimataifa nayo. Na hawa ndo wabaya zaidi maana mwaka huu hawana masikhara!!
 
Acheni kuropoka wekeni hapa majina ya walio ondolewa kijanja janja
Wagombea wa Chadema na ACT kwenye majimbo ambayo wasimamizi wamesema CCM wamepita bila kupingwa. Fuatilia utaona tu kwenye uzi mmoja wa mwana Lumumba mwenzako
 
Mkuu nadhani humjui vizuri Tundu Lissu.Kama unavichukulia vitu juu juu na kwa jinsi anavyopangilia maneno yake, unaweza ukaamini kile anachokiongea ni sahihi. Lissu ni Mwanasheria mbobezi anajua jinsi ya kucheza na maneno na vifungu vya sheria kama ilivyo mahakamani ili kuweza kamshawishi hakimu akubaliane na hoja zake. Mbinu hiyo hiyo ndo anaitumia pia kuwashawishi watu huku nje wasiopenda kutafakari ili waamini anachoongea.

Nimesikiliza hoja za Lissu vizuri sana, kwanza anasema JPM hawakuwasilisha fomu za uteuzi siku iliyotakiwa kisheria. Lakini sote tulimuona JPM siku ile ya tarehe 25 ambayo ni ya uteuzi akiwa na fomu zake, sasa jiulize alienda kufanya nini pale Tume.

Lakini Hoja yake hii anaijenga pia kwenye uhakiki wa wadhamini, kwamba kwann wasimamizi wa uchaguzi ndo wahakiki wadhamini (membe pia wadhamini wake wamehakikiwa na hao wasimamizi wa Jimbo lakini cha ajabu hakumwekea pingamizi). Anarudi tena kusema kwamba tume ndo iliyotoa maelekezo kwa hao wasimamizi kuhakiki wadhamini katika kila jimbo lakini hapo hapo anasema maelekezo hayo yanapingana na sheria. Lakini hafafanui kwamba sheria hiyo ndo inairuhusu Tume kukasimu madaraka yake kwa kadri itakavyoona inafaa kwa wasimamizi wa uchaguzi bila kusema ni madaraka gani. Kwahiyo mpaka hapo utaona tume haikuvunja sheria. Lakini hata kama tume ingekua imevunja sheria kwa kuwapa mamlaka wasimamizi wa uchaguzi, unawezaje kumlaumu/kumuwekea pingamizi mgombea ambae alifuata maelekezo ya Tume.

Infact, Tundu Lissu aliweka mapingamizi siyo kwa maana ya mtego bali kwa kujihami kwasbb toka mwanzo alihisi atakatwa na Tume (Tweet ya mbowe siku moja kabla ya uchaguzi inathibitisha hili) . Baada ya kuona tume haikufanya hivyo, akajua CCM au chama kingine kinaweza kutumiwa kumuwekea pingamizi baada ya uteuzi. Kwsbb anajua zilikuepo sababu nyingi sana za kumuengua isipokua watu waliamua iwe fair play wamuache agombee na ili uchaguzi uende kwa amani.
Hizi ni story za vijiweni

Fomu ya pingamizi ina sababu 17 tu
Hizo za kwako ni ndoto na maluweluwe kichwani

Mkuu punguza presha kunywa maji mengi asubuhi
 
Mkuu umechukua akili yangu yote, nimeandaa uzi kama wako na sasa naufuta
Imedhihirika Magu hatumii akili bali matope! Hii no aibu kwa NEC wapitie upya majina ya wagombea wa upinzani waliokatwa ili wawarudishe na watudanganye kwamba ilikuwa lazima kuyapitia!
 
Yaani umeeleza maelezo marefu ambayo yanajirudia rudia halfu hayana substance yoyote. Kwa mfano, hukuelezea ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Lissu amevitumia kuweka mapingamizi halafu havikujibiwa na Tume au imeenda kinyume chake.

Hujaeleza ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Tume ilikiuka wakati wa kuwaeungua wagombea wengine ambapo sasa kwa hoja za Lissu itabidi iwarejeshe. Andiko lako lipo kama hadithi isiyo na mwanzo wala mwisho.
Yaani kama thamthilia ya isidingo.
 
Wagombea wa Chadema na ACT kwenye majimbo ambayo wasimamizi wamesema CCM wamepita bila kupingwa. Fuatilia utaona tu kwenye uzi mmoja wa mwana Lumumba mwenzako
Yale majimbo nyie si hamkurudisha fomu mlitaka tume ifuate fomu magetoni mwenu?
 
Kaijage asipokuwa mwangalifu, miezi michache huko baadaye anaweza kujikuta ni chakula halali cha ICC endapo litatokea la kutokea.

ICC wakitinga timu, unaowabeba sasa watakuwa ndiyo wa kwanza kukutenga as if hawakujui.

Kaijage, Kaijage, Kaijage - bado unayo nafasi ya kuikwepa dhahma hii. play not only the correct cards but play them correctly!
 
Pengine ulikua na hoja nzito tatizo lako umeiwasilisha kibla blah tu.....rudi shule waachie wachambuzi wa amambo ya siasa na sheria hapa...
Ufipa bhana
 
Mkuu nadhani humjui vizuri Tundu Lissu.Kama unavichukulia vitu juu juu na kwa jinsi anavyopangilia maneno yake, unaweza ukaamini kile anachokiongea ni sahihi. Lissu ni Mwanasheria mbobezi anajua jinsi ya kucheza na maneno na vifungu vya sheria kama ilivyo mahakamani ili kuweza kamshawishi hakimu akubaliane na hoja zake. Mbinu hiyo hiyo ndo anaitumia pia kuwashawishi watu huku nje wasiopenda kutafakari ili waamini anachoongea.

Nimesikiliza hoja za Lissu vizuri sana, kwanza anasema JPM hawakuwasilisha fomu za uteuzi siku iliyotakiwa kisheria. Lakini sote tulimuona JPM siku ile ya tarehe 25 ambayo ni ya uteuzi akiwa na fomu zake, sasa jiulize alienda kufanya nini pale Tume.

Lakini Hoja yake hii anaijenga pia kwenye uhakiki wa wadhamini, kwamba kwann wasimamizi wa uchaguzi ndo wahakiki wadhamini (membe pia wadhamini wake wamehakikiwa na hao wasimamizi wa Jimbo lakini cha ajabu hakumwekea pingamizi). Anarudi tena kusema kwamba tume ndo iliyotoa maelekezo kwa hao wasimamizi kuhakiki wadhamini katika kila jimbo lakini hapo hapo anasema maelekezo hayo yanapingana na sheria. Lakini hafafanui kwamba sheria hiyo ndo inairuhusu Tume kukasimu madaraka yake kwa kadri itakavyoona inafaa kwa wasimamizi wa uchaguzi bila kusema ni madaraka gani. Kwahiyo mpaka hapo utaona tume haikuvunja sheria. Lakini hata kama tume ingekua imevunja sheria kwa kuwapa mamlaka wasimamizi wa uchaguzi, unawezaje kumlaumu/kumuwekea pingamizi mgombea ambae alifuata maelekezo ya Tume.

Infact, Tundu Lissu aliweka mapingamizi siyo kwa maana ya mtego bali kwa kujihami kwasbb toka mwanzo alihisi atakatwa na Tume (Tweet ya mbowe siku moja kabla ya uchaguzi inathibitisha hili) . Baada ya kuona tume haikufanya hivyo, akajua CCM au chama kingine kinaweza kutumiwa kumuwekea pingamizi baada ya uteuzi. Kwsbb anajua zilikuepo sababu nyingi sana za kumuengua isipokua watu waliamua iwe fair play wamuache agombee na ili uchaguzi uende kwa amani.
Kwahiyo unachotuambia hapa ni kwamba tume haikufuata sheria kwasababu imemuacha Lissu aliyeikeuka sheria ya uchaguzi? Kwanini tume ifanye makosa hayo?
 
Mkuu nadhani humjui vizuri Tundu Lissu.Kama unavichukulia vitu juu juu na kwa jinsi anavyopangilia maneno yake, unaweza ukaamini kile anachokiongea ni sahihi. Lissu ni Mwanasheria mbobezi anajua jinsi ya kucheza na maneno na vifungu vya sheria kama ilivyo mahakamani ili kuweza kamshawishi hakimu akubaliane na hoja zake. Mbinu hiyo hiyo ndo anaitumia pia kuwashawishi watu huku nje wasiopenda kutafakari ili waamini anachoongea.

Nimesikiliza hoja za Lissu vizuri sana, kwanza anasema JPM hawakuwasilisha fomu za uteuzi siku iliyotakiwa kisheria. Lakini sote tulimuona JPM siku ile ya tarehe 25 ambayo ni ya uteuzi akiwa na fomu zake, sasa jiulize alienda kufanya nini pale Tume.

Lakini Hoja yake hii anaijenga pia kwenye uhakiki wa wadhamini, kwamba kwann wasimamizi wa uchaguzi ndo wahakiki wadhamini (membe pia wadhamini wake wamehakikiwa na hao wasimamizi wa Jimbo lakini cha ajabu hakumwekea pingamizi). Anarudi tena kusema kwamba tume ndo iliyotoa maelekezo kwa hao wasimamizi kuhakiki wadhamini katika kila jimbo lakini hapo hapo anasema maelekezo hayo yanapingana na sheria. Lakini hafafanui kwamba sheria hiyo ndo inairuhusu Tume kukasimu madaraka yake kwa kadri itakavyoona inafaa kwa wasimamizi wa uchaguzi bila kusema ni madaraka gani. Kwahiyo mpaka hapo utaona tume haikuvunja sheria. Lakini hata kama tume ingekua imevunja sheria kwa kuwapa mamlaka wasimamizi wa uchaguzi, unawezaje kumlaumu/kumuwekea pingamizi mgombea ambae alifuata maelekezo ya Tume.

Infact, Tundu Lissu aliweka mapingamizi siyo kwa maana ya mtego bali kwa kujihami kwasbb toka mwanzo alihisi atakatwa na Tume (Tweet ya mbowe siku moja kabla ya uchaguzi inathibitisha hili) . Baada ya kuona tume haikufanya hivyo, akajua CCM au chama kingine kinaweza kutumiwa kumuwekea pingamizi baada ya uteuzi. Kwsbb anajua zilikuepo sababu nyingi sana za kumuengua isipokua watu waliamua iwe fair play wamuache agombee na ili uchaguzi uende kwa amani.
Aiseeee
 
Yaani umeeleza maelezo marefu ambayo yanajirudia rudia halfu hayana substance yoyote. Kwa mfano, hukuelezea ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Lissu amevitumia kuweka mapingamizi halafu havikujibiwa na Tume au imeenda kinyume chake.

Hujaeleza ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Tume ilikiuka wakati wa kuwaeungua wagombea wengine ambapo sasa kwa hoja za Lissu itabidi iwarejeshe. Andiko lako lipo kama hadithi isiyo na mwanzo wala mwisho.
Mimi nilihisi usingz umenizidi na ninarudia kusoma paragraph mara mbili mbili, kumbe ni mtoa mada kaamua kujaza pages Kwa kufanya repeatition...Yaani kalisokota bandiko lake mpaka limekua kama puzzle. Ukisoma unaona tuu LISSU,TUME, WAGOMBEA.
 
Yaani umeeleza maelezo marefu ambayo yanajirudia rudia halfu hayana substance yoyote. Kwa mfano, hukuelezea ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Lissu amevitumia kuweka mapingamizi halafu havikujibiwa na Tume au imeenda kinyume chake.

Hujaeleza ni vifungu vipi vya sheria ambavyo Tume ilikiuka wakati wa kuwaeungua wagombea wengine ambapo sasa kwa hoja za Lissu itabidi iwarejeshe. Andiko lako lipo kama hadithi isiyo na mwanzo wala mwisho.
Mimi nilihisi usingz umenizidi na ninarudia kusoma paragraph mara mbili mbili, kumbe ni mtoa mada kaamua kujaza pages Kwa kufanya repeatition...Yaani kalisokota bandiko lake mpaka limekua kama puzzle. Ukisoma unaona tuu LISSU,TUME, WAGOMBEA.
NEC wamewekwa kwenye mtego mgumu sana. Kule Morogoro na maeneo mengine hawana budi kufanya kama walivyofanya kwa Magufuli. Otherwise Kuna mabaya sana yatatokea kutoka kwa wananchi kwa kuamini CCM wanabebwa makusudi na wapinzani wanaonewa kwa makusudi!!

Pia Jumuiya ya Kimataifa nayo. Na hawa ndo wabaya zaidi maana mwaka huu hawana masikhara!!
Kwani huko morogoro kuna watu walienguliwa kutokana na mapingamizi?!
 
Mimi nilihisi usingz umenizidi na ninarudia kusoma paragraph mara mbili mbili, kumbe ni mtoa mada kaamua kujaza pages Kwa kufanya repeatition...Yaani kalisokota bandiko lake mpaka limekua kama puzzle. Ukisoma unaona tuu LISSU,TUME, WAGOMBEA.

Kwani huko morogoro kuna watu walienguliwa kutokana na mapingamizi?!
Labda nikuulize unajua sababu ya Devota Minja kuenguliwa???!
 
Back
Top Bottom