Uchaguzi 2020 NEC imecheza ngoma ya Tundu Lissu. Je, Wagombea walioenguliwa Ubunge Tume itawarudisha?

Tundu Lissu anatumia uwezo wake kinyume na matarajio ya wanasheria wengi; Katiba yetu ibara ya 74 inawataja Wakurugenzi wa Halmashauri kama sehemu ya TUME, n ndio maana wanawatangaza wabunge ba unapotakiwa wakusainie fomu za wadhamini,maana yake hao wapiga kura wapo kwenye maeneno yao'
Sheria ya Uchaguzi kifungu cha 35 na 37 kinawataja hao wakurugenzi wa TUME; yeye ashukuru Mungu kuwa NEC ilimstahi kuhakiki fomu zake, alipaswa kuenguliwa katika Ugombea wa Urais;
Sasa issue ya kuweka Picha nayo haina miguu ya kisheria maana sote tumeiona fomu ya Mgombea wa CCM na picha zake zote ni passport size;
Nafikiria Tundu Lissu atafute maeneo mengine ya kutoa elimu yake ya Kisheria na lazima aonekane kama mtu anayetaka kuwa STATEMAN hata kwa maneno na matendo yake; Usoni anaonekana kama mtu ambaye ana shari shari au uanaharakati uliopitiliza tu
 
Lisu ni muongo na mzushi
Mashabiki wake mnaplekwa kama wajingaView attachment 1549327View attachment 1549328
Trust me ndugu mahaba kwa mtu yanaweza kukufanya ukawa fala mkubwa sana....
Hawa wenzetu sahv akili zao hazifikiri kabisa nikama wameunganishwa kwenye ubongo wa lisu bongo zao hawazitumii kabisa
Swala ni kwamba form za jp zilikuwa na picha na tumeona form hizo
Pili fikii tu kwa akili ya ubinadamu verification ya wadhamini ingefanyika siku ya kurudisha form ile shughuli ingeisha ndo maana tume inawapa wakurugenz mikoani kufanya hilo jambo na sikwamba magu aliamua kama yy bali ni maelekezo ya tume kwa hyo yy angeihoji tume kwamba imekosea yenyewe si magu maana alikuwa anatekeleza maelekezo aliyopewa na tume
Wagombea wengine wote pia wadhamini walihakikiwa na wakurugenz mikoani kasoro yy na ndiyo sababu ya yy form yake kuchelewa kupokelewa...
Huyu jamaa anahulka ya kujiona he nows everything ndugu kuna vijana down here wanaijua sheria zaid ya anavyofikiria ila wako kimya maana hawajapata hiyo nafasi ya kuonekana na kujisifia na kusifiwa kizwazwa
 
....hata picha halioni
 
Mmm kumbe ndo maana JK alisema bora agombee Slaaa kuliko Tundu! Wakati ule
 
Hawa wakupita bila kupingwa wanamatatizo sana wanatuwekea picha za mtu anakula mahindi kwenye form za kugombea uraisi wanata tusifie duh
Hata Kassim Majaliwa na Babu Tale wamepita bila kupingwa
 

Rudi shule ukajifunze matumizi ya herufi h maana naona unatia aibu tu.
 
Hahaha !! Umenifurahisha tu kumbuka taasisi zote zipo chini ya serikali na serikal ni CCM ivo lazima lawama wapewe CCM maana ndio serikal mtu km polepole eti nae anatumia magal ya serikal kwel CCM ni serikal
 
Nandio maana nimeona tume jana waliwaonya waliojitangaza kupita bila kupingwa
 
Rudi shule ukajifunze matumizi ya herufi h maana naona unatia aibu tu.
Ukishindwa hoja mnaamia kwenye mambo madogo madogo au kuja na lugha zisizo na staha; we unadhani kwanini software zote za kuandikia zina spelling check ilhali watumiaji wake ni watu waliobobea kwenye lugha zao.
 
Kwa tunaofuatilia suala zima la uchaguzi tumemuelewa. Ameeleza vyema mno. Uko sahihi mtoa mada.
 

Zero brain. Kilangila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…