Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa JMTZ anabakia kuwa Rais wa JMTZ mpaka pale Rais mpya atakapoapishwa, hivyo Magufuli ni Rais wa nchi na huwezi kumlinganisha na wagombea wengine, hiyo ni Katiba yetu, ...
Wagombea wote ni sawa kwa mujibu wa sheria za Uchaguzi zilizopo kikatiba.Rais wa JMTZ anabakia kuwa Rais wa JMTZ mpaka pale Rais mpya atakapoapishwa, hivyo Magufuli ni Rais wa nchi na huwezi kumlinganisha na wagombea wengine, hiyo ni Katiba yetu, ...
Rais wa JMTZ anabakia kuwa Rais wa JMTZ mpaka pale Rais mpya atakapoapishwa, hivyo Magufuli ni Rais wa nchi na huwezi kumlinganisha na wagombea wengine, hiyo ni Katiba yetu, ...
Hongera mtukufu Rais piga kazi wananchi tupo na wewe
Ni vyema na wagombea wengine wakipitishwa fasta.Kapitishwa fasta
Hakuna kitu kama hicho, kwani Lissu anaenda huko sangapiHiyo live coverage inaendelea hadi kwa Lissu?
Acha uwongo.. munapenda kulalamika tu.
Upinzani wao banapenda Twitter.. baendelee.. ruzuku wamekula viongozi.. ofisi za kudumu za Chadema na wengine hawana.. hao sio watulivu.. ni wafanya fujo tu kushiba matumbo yao..
sera hawana.. hawavutii hata watu wa media.. wakitaka kusema ngonjera na mipasho.. ndiwo wanaita media na kuwaomba wafike.. walipo..
Tulia.. demokrasia.. sio kusingizia pande moja.. uwongo.. huku upinzani futi sita.. ni wao walivyo.. tena babaya sana.. matumbo mbele..
Watz kuweni wazalendo huyu ndio rais wawanyonge
Wewe ni tumbo nyuma?
Bwashee kwani siku imeisha?!TBC walipaswa kuwa live kwa wagombea wrote, kitendo cha kubagua sio saws.rai yangu time wawateue wagombea wrote wenye sifa.Umma utaamua kwenye sanduku LA kura.
Magufuli ajitoe tu Kwenye Uchaguzi wa mwaka huu sababu hatashinda Uchaguzi na akilazimisha Nchi itaingia katika machafuko ya kisiasa na hatimae waburuzwe mahakamani kwa uhalifu dhidi ya binadam.Hongera mtukufu Rais piga kazi wananchi tupo na wewe
Wagombea urais wako 17 kwa taarifa yako, hata Lissu akijitoa wanabaki 16 akiwemo mgombea wenu Membe, kwa hiyo hawezi pita bila kupingwa.wamkamate Lissu asirudishe fomu, ili jamaa apite bila kupingwa./
Wagombea wote ni sawa kwa mujibu wa sheria za Uchaguzi zilizopo kikatiba.
Kwa hiyo hapo anafanya majukumu ya chama au ya serikali?