Uchaguzi 2020 NEC imemteua Dkt. John Pombe Magufuli kugombea Urais na Mama Samia Suluhu Umakamu wa Rais kupitia CCM

Uchaguzi 2020 NEC imemteua Dkt. John Pombe Magufuli kugombea Urais na Mama Samia Suluhu Umakamu wa Rais kupitia CCM

Mwenyekiti wa tume kachaguliwa na rais, hivyo anatekeleza anachotaka rais. Na hata idadi ya wapiga kura 29m+ rais ndio kamuagiza mwenyekiti wa tume aitaje, kwa lengo la kupika matokeo.
 
TBC walipaswa kuwa live kwa wagombea wrote, kitendo cha kubagua sio saws.rai yangu time wawateue wagombea wrote wenye sifa.Umma utaamua kwenye sanduku LA kura.
CCM wamelipia hayo matangazo halafu channel ten ni ya CCM, na CDM wangekuwa na ya kwao wangemwonesha Lissu akiwa na Salum Mwalimu.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Rais wa JMTZ anabakia kuwa Rais wa JMTZ mpaka pale Rais mpya atakapoapishwa, hivyo Magufuli ni Rais wa nchi na huwezi kumlinganisha na wagombea wengine, hiyo ni Katiba yetu, ...
Hata anapoenda kwa wake za watu?
 
Acha uwongo.. munapenda kulalamika tu.

Upinzani wao banapenda Twitter.. baendelee.. ruzuku wamekula viongozi.. ofisi za kudumu za Chadema na wengine hawana.. hao sio watulivu.. ni wafanya fujo tu kushiba matumbo yao..

sera hawana.. hawavutii hata watu wa media.. wakitaka kusema ngonjera na mipasho.. ndiwo wanaita media na kuwaomba wafike.. walipo..

Tulia.. demokrasia.. sio kusingizia pande moja.. uwongo.. huku upinzani futi sita.. ni wao walivyo.. tena babaya sana.. matumbo mbele..
Utakuwa muhamiaji haramu ndio maana unaipenda CCM.
 
Hivi TBC ni Tv ya CCM au ya umma?

Hivi inakuwaje pesa za walipa kodi zinafanya mambo ya chama tawala tu inashindwa kufanya mambo ya vyama vingine...

Huu ndio uhuni anaousema Tundu Lissu Kila siku.

Pesa za umma kutumika pasipo ridhaa ya Wananchi.
Acha kulia lia, nenda kaombe price list ya live coverage ili TBC warushe live pindi unapokuwa unaandika ujinga. Nani kakuambia kuwa CCM hawana haki ya kutumia TBC? Ningekuona una hoja kama ungeuliza TBC wamelipwa bei gani ili kurusha hayo matangazo.
 
Utakuwa muhamiaji haramu ndio maana unaipenda CCM.
Mwenyekiti wa CHADEMA Morogoro, dereva wa mgombea Ubunge wa Morogoro mjini Bi Devotha Minja wamekamatwa na Polisi muda huu huku mgombea huyo akisakwa.

Inadaiwa gari yake pia imekamatwa na ilikuwa ni katika harakati za kumteka ili asirejeshe fomu ya ugombea leo.

Maelezo haya ni kwa mujibu wa yeye Devotha Minja ambaye yupo mafichoni.
 
Wakati mwingine ni ngumu kutenganisha, ...
Ugumu unatoka wapi, ukienda chooni nishuguli binafsi ukiingia ofisini ni kazini. Hivyo hivyo shughuli za chama vs shughuli za serikali zinafahamika. Anachopaswa kupatiwa muda wote ni ulinzi Kama mkuu wa nchi hata Kama yupo kwenye shughuli za chama
 
Utakuwa muhamiaji haramu ndio maana unaipenda CCM.

Wananchi wa vijiji viwili vya nyamikoma na kamwanga vilivyopo Mkoa wa Geita wilaya ya Geita vina zaidi ya kata 4400 havijawahi kupata barabara ya gari ,hawana maji ya bomba hawana nishati ya umeme hawana shule ya msingi Wala ya sekondari. Wametishia kutokupiga Kura uchaguzi Mkuu wa mwezi October 28,Kama hawatakuwa wamepatiwa nishati ya umeme. Viongozi wa vijiji hivyo viwili wamefuatilia kupata huduma hiyo kwa meneja wa tanesco mkoa wa Geita takribani miaka 2 Bila mafanikio. Vijiji vyote hivyo viwili vinapakana na mgodi makubwa wa uzalishaji dhahabu duniani geita gold mine, Ila mgodi huo hauwasaidii chochote bado wao ni maskini na hawajui hatima ya maisha yao. Ombinlao wanaomba kupatiwa umeme wa REA ili wawe na maisha Bora Kama wanageita wengine. Tunakuomba Mh magufuli Rais wetu afikishiwe kulio hiki.
 
Ugumu unatoka wapi, ukienda chooni nishuguli binafsi ukiingia ofisini ni kazini. Hivyo hivyo shughuli za chama vs shughuli za serikali zinafahamika. Anachopaswa kupatiwa muda wote ni ulinzi Kama mkuu wa nchi hata Kama yupo kwenye shughuli za chama


Kwa hiyo unacholalamikia hapo ni kipi sasa? Ni kipi unafikiri hakupaswa kufanyiwa kama mkuu wa nchi?
 
Inategemea usawa gani unaoungelea, raisi Magufuli ana uwezo sasa hivi kusimamisha zoezi zima la uchaguzi na kulifuta au hata kusogeza mbele, Hashimu Runge au sijui Tundu lisu hawana huo uwezo, hivyo jaribu kuwa mwangalifu unavyojaribu kulinganisha mambo, ...
Uchaguzi wa Rais upo kwa mujibu wa katiba na si kwa mujibu wa matakwa ya Rais.

Rais aliye madarakani anaweza kupoteza sifa za kuwa mgombea wa kiti cha Urais kama tu vile ambavyo mgombea mwingine yeyote anavyoweza kupoteza sifa.
 
TBC walipaswa kuwa live kwa wagombea wrote, kitendo cha kubagua sio saws.rai yangu time wawateue wagombea wrote wenye sifa.Umma utaamua kwenye sanduku LA kura.
December 2020- February 2021 kutakuwa na kesi yenye mvuto sana kwa wananchi ikihusu watendaji wa umma.
Kesi hiyo Mshtakiwa atakuwa Dr Ayub Rioba ya "Matumizi mabaya ya Ofisi ya Umma"
Huo utakuwa mwanzo tuu, zitakuwepo na zingine zitakazo wahusisha Sirro, Mambosasa, baadhi ya maDC, watumishi wa Tume wakiongozwa na jaji Kaijage nk.
Watu wakae chonjo
 
Uchaguzi wa Rais upo kwa mujibu wa katiba na si kwa mujibu wa matakwa ya Rais.

Rais aliye madarakani anaweza kupoteza sifa za kuwa mgombea wa kiti cha Urais kama tu vile ambavyo mgombea mwingine yeyote anavyoweza kupoteza sifa.


Halafu akipoteza hizo sifa kipi kinafanyika?
 
Back
Top Bottom