Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Ikiwa mrejesho ukiwepo nijulishengoja tusubirie maagizo ya kikao cha juzi kamati kuu ccm...maana NEC ni sawa tu na jumuia zingine za chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa mrejesho ukiwepo nijulishengoja tusubirie maagizo ya kikao cha juzi kamati kuu ccm...maana NEC ni sawa tu na jumuia zingine za chama.
Kama hamna imani nao kwa nini mlipeleka rufaaWamefeli sana, uwezo wao wa kuongoza hiyo tume ni mdogo
Sheria ina matakwa yake, siyo kama kuagiza ugali gengeniTunachotaka warudishe majina yote yaliyokatwa kihuni
Kweli ccm ni majini wa kunyonya damuWagombea wenu wamekula Advance wakosee ujazaji fomu
Sahihi kabisa kwa 100%Ningependa kuwauliza Tume ya Uchaguzi, je fomu za wagombea zilizotumika 2015 zina tofauti kubwa sana na zilizotumika mwaka huu? Iweje mwaka huu tu ndio wapinzani wakosee kujaza fomu kwa kiwango kikubwa kiasi hicho na CCM wawezee?
Narudia, kosa kubwa lililofanyika ni kuwapa immigrants jukumu la kuongoza nchi hii!
Tatizo ni maagizo wanayo pewa na mteuzi waoHawana hata haya wafute zote watu waingie ulingoni kama ni kushinda washinde kwa kura za wananchi Haki huinua Taifa
Mkuu hujui kuwa jana kulikuwa na kikao cha kamati kuu kule kwa matonya?Naona Kama wamechelewa,au walihitaji kuona upepo unaendaje Kwanza au wamekuwa na majukumu mengi
Tunatarajia kuona haki ikitendeka kwa wote bila ubaguzi.Katika Uteuzi wa wabunge na madiwani uliokamilika Agosti 26, 2020 wabunge kadhaa waliwekewa mapingamizi hali iliyofanya baadhi ya majimbo kuwa na wagombea wa chama kimoja tu
Agosti 28, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza majimbo 18 ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa kutokana na sababu mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ya Taifa ya Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema hadi sasa tume hiyo imepokea rufaa 557 za mapingamizi katika upande wa udiwani na ubunge
Rufaa hizo zimeanza kufanyiwa kazi kuanzia Septemba 01, 2020 kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
Yote ya yote taifa Kwanza,maslahi binafsi baadae.Mkuu hujui kuwa jana kulikuwa na kikao cha kamati kuu kule kwa matonya?
Alafu yule mama Fatou Bensouda wa icc hanaga huruma kabisaMzee, hakuna asiyejua kujaza form za ubunge na udiwani...tunaomba ujitoe kwenye hizi lawama za kisheria...tunakupenda..hatutaki baada ya uchaguzi tukuone badala ya kukaa wa wajukuu kuanze kupiga safari za ze hegi..
JK alishasema " Changanya na za kwako"
CCM hawabebeki, watakuponzamo!!
Hao hawaonagi haya, mfano Jecha bila aibu alitaka kugombea urais kule zenjiHaiwezekani walioenguliwa wote wawe ni wapinzani pekee, huyo jaji anatakiwa kuwarudisha wagombea wote bila masharti kama anataka kuheshimika, uliofanyika ni uhuni tu.
Makosa yatakuemo ila ya kutengenezewa, mfano Kilimanjaro wapinzan wanapewa form tofauti na waliyopewa ccm.Mzee, hakuna asiyejua kujaza form za ubunge na udiwani...tunaomba ujitoe kwenye hizi lawama za kisheria...tunakupenda..hatutaki baada ya uchaguzi tukuone badala ya kukaa wa wajukuu kuanze kupiga safari za ze hegi..
JK alishasema " Changanya na za kwako"
CCM hawabebeki, watakuponzamo!!
Yule ndiyo anamaanisha kweli kweliMaalim Seif Mungu aendelee kukuweka hai.
HATUKUBALI...HATUKUBALI...HATUKUBALIIIII!
Majizi safari hii lazima mkanyee debe kule ICC the HagueKama hamna imani nao kwa nini mlipeleka rufaa