Uchaguzi 2020 NEC imepokea rufaa 557 za mapingamizi, na imeanza kuzifanyia kazi

Uchaguzi 2020 NEC imepokea rufaa 557 za mapingamizi, na imeanza kuzifanyia kazi

Mzee, hakuna asiyejua kujaza form za ubunge na udiwani...tunaomba ujitoe kwenye hizi lawama za kisheria...tunakupenda..hatutaki baada ya uchaguzi tukuone badala ya kukaa wa wajukuu kuanze kupiga safari za ze hegi..

JK alishasema " Changanya na za kwako"

CCM hawabebeki, watakuponzamo!!
 
Haiwezekani walioenguliwa wote wawe ni wapinzani pekee, huyo jaji anatakiwa kuwarudisha wagombea wote bila masharti kama anataka kuheshimika, uliofanyika ni uhuni tu.
 
Maalim Seif Mungu aendelee kukuweka hai.
HATUKUBALI...HATUKUBALI...HATUKUBALIIIII!
 
😂😂😂😂😂 mwezi wa tisa huu rufaa nyingi uchaguzi mwezi wa kumi yaani hawa miTUME wanachekesha sana 😂😂😂😂😂
 
Uwezo wao tutaanza kuuona la watatuingiza katika machafuko
 
Ningependa kuwauliza Tume ya Uchaguzi, je fomu za wagombea zilizotumika 2015 zina tofauti kubwa sana na zilizotumika mwaka huu? Iweje mwaka huu tu ndio wapinzani wakosee kujaza fomu kwa kiwango kikubwa kiasi hicho na CCM wawezee?

Narudia, kosa kubwa lililofanyika ni kuwapa immigrants jukumu la kuongoza nchi hii!
Sahihi kabisa kwa 100%
 
Naona Kama wamechelewa,au walihitaji kuona upepo unaendaje Kwanza au wamekuwa na majukumu mengi
Mkuu hujui kuwa jana kulikuwa na kikao cha kamati kuu kule kwa matonya?
 
Katika Uteuzi wa wabunge na madiwani uliokamilika Agosti 26, 2020 wabunge kadhaa waliwekewa mapingamizi hali iliyofanya baadhi ya majimbo kuwa na wagombea wa chama kimoja tu

Agosti 28, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza majimbo 18 ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa kutokana na sababu mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ya Taifa ya Uchaguzi

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema hadi sasa tume hiyo imepokea rufaa 557 za mapingamizi katika upande wa udiwani na ubunge

Rufaa hizo zimeanza kufanyiwa kazi kuanzia Septemba 01, 2020 kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo

#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
Tunatarajia kuona haki ikitendeka kwa wote bila ubaguzi.
 
Mzee, hakuna asiyejua kujaza form za ubunge na udiwani...tunaomba ujitoe kwenye hizi lawama za kisheria...tunakupenda..hatutaki baada ya uchaguzi tukuone badala ya kukaa wa wajukuu kuanze kupiga safari za ze hegi..

JK alishasema " Changanya na za kwako"

CCM hawabebeki, watakuponzamo!!
Alafu yule mama Fatou Bensouda wa icc hanaga huruma kabisa
 
Haiwezekani walioenguliwa wote wawe ni wapinzani pekee, huyo jaji anatakiwa kuwarudisha wagombea wote bila masharti kama anataka kuheshimika, uliofanyika ni uhuni tu.
Hao hawaonagi haya, mfano Jecha bila aibu alitaka kugombea urais kule zenji
 
Mzee, hakuna asiyejua kujaza form za ubunge na udiwani...tunaomba ujitoe kwenye hizi lawama za kisheria...tunakupenda..hatutaki baada ya uchaguzi tukuone badala ya kukaa wa wajukuu kuanze kupiga safari za ze hegi..

JK alishasema " Changanya na za kwako"

CCM hawabebeki, watakuponzamo!!
Makosa yatakuemo ila ya kutengenezewa, mfano Kilimanjaro wapinzan wanapewa form tofauti na waliyopewa ccm.
Ni wazi lazima ujazaji uwe tofauti na mwisho zikienda tuma itaonesha kweli wamekosea kumbe ni janja janja ya baadhi ya mashetan.
 
Back
Top Bottom