NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ahaa kumbe ni Lindi,huko amnaga tabia ya kuandamana,nyinyi ni wepesi sana.Aacha uzuzu, hapa Lindi kuna mwendo kasi? au unadhani tz ni Dar tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa kumbe ni Lindi,huko amnaga tabia ya kuandamana,nyinyi ni wepesi sana.Aacha uzuzu, hapa Lindi kuna mwendo kasi? au unadhani tz ni Dar tu
kwani vigelegele via umuhimu wowote wa maana! Mbona watu hushangilia vijembe tuAlikuwa anahutubia lakini watu wanamchunia tu haoni vigeregere wala makofi
Akili za kuongoza wanazo ila sema wana kazi mbili ambazo zinakinzana. Ni sawa na daktari hospitalini ambaye amepewa kazi ya kutibu watu, lakini pia kapewa kazi na shetani ya kuua wagonjwa. Sasa kutibu na kuuwa ni shughuli ambazo zinakinzana.Wamefeli sana, uwezo wao wa kuongoza hiyo tume ni mdogo
Vigeregere ni moja ya itikadi za ccmkwani vigelegele via umuhimu wowote wa maana! Mbona watu hushangilia vijembe tu
CCM wanafanya kampeni bila shida wenzao wanahaingaika na rufaaKatika Uteuzi wa wabunge na madiwani uliokamilika Agosti 26, 2020 wabunge kadhaa waliwekewa mapingamizi hali iliyofanya baadhi ya majimbo kuwa na wagombea wa chama kimoja tu
Agosti 28, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza majimbo 18 ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa kutokana na sababu mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ya Taifa ya Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema hadi sasa tume hiyo imepokea rufaa 557 za mapingamizi katika upande wa udiwani na ubunge
Rufaa hizo zimeanza kufanyiwa kazi kuanzia Septemba 01, 2020 kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020