Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kitanzi kinawasubiri the HagueSheria ina matakwa yake, siyo kama kuagiza ugali gengeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitanzi kinawasubiri the HagueSheria ina matakwa yake, siyo kama kuagiza ugali gengeni
Mkuu ilikuwaje hapo Ikungi?Na leo alivyo surubishwa pale kwa mh Lissu,
Alikuwa anahutubia lakini watu wanamchunia tu haoni vigeregere wala makofiMkuu ilikuwaje hapo Ikungi?
The Hague wanasimamia chaguzi za nchi huru?Kitanzi kinawasubiri the Hague
Aisee.Majizi safari hii lazima mkanyee debe kule ICC the Hague
Kwa hiyo Yale Mambo ya kumpa kazi Lissu alikuwa anajisemesha mwenyewe? Na je ni nani alimsimamisha? Police au wananchi wa Ikungi?Alikuwa anahutubia lkn watu wanamchunia tu haoni vigeregere wala makofi
Sindano za Kamanda Mbowe zimeanza kuwaingia.Katika Uteuzi wa wabunge na madiwani uliokamilika Agosti 26, 2020 wabunge kadhaa waliwekewa mapingamizi hali iliyofanya baadhi ya majimbo kuwa na wagombea wa chama kimoja tu
Agosti 28, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza majimbo 18 ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa kutokana na sababu mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ya Taifa ya Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema hadi sasa tume hiyo imepokea rufaa 557 za mapingamizi katika upande wa udiwani na ubunge
Rufaa hizo zimeanza kufanyiwa kazi kuanzia Septemba 01, 2020 kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
Tuipe nafasi tume ifanya maamuzi ya hizo rufaa. NEC pigeni kazi pasipo hofu.Katika Uteuzi wa wabunge na madiwani uliokamilika Agosti 26, 2020 wabunge kadhaa waliwekewa mapingamizi hali iliyofanya baadhi ya majimbo kuwa na wagombea wa chama kimoja tu
Agosti 28, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza majimbo 18 ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa kutokana na sababu mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ya Taifa ya Uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema hadi sasa tume hiyo imepokea rufaa 557 za mapingamizi katika upande wa udiwani na ubunge
Rufaa hizo zimeanza kufanyiwa kazi kuanzia Septemba 01, 2020 kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizopo
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
Ukiona wapi NECTA ikiwapa maksi wanafunzi wakiofeli.Tunachotaka warudishe majina yote yaliyokatwa kihuni
AlijipendekezaKwa hiyo Yale Mambo ya kumpa kazi Lissu alikuwa anajisemesha mwenyewe? Na je ni nani alimsimamisha? Police au wananchi wa Ikungi?
Mbona tayariHii Tume ya Uchaguzi isijaribu kutuharibia uchaguzi asilani. Upendeleo wowote ule utasababisha tuingie barabarani ili dunia ifahamu UFEDHULI wao.
Waingiaji barabarani huwa awasemi,wanatenda tu.Hii Tume ya Uchaguzi isijaribu kutuharibia uchaguzi asilani. Upendeleo wowote ule utasababisha tuingie barabarani ili dunia ifahamu UFEDHULI wao.
🛑BREAKING NEWS:
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC ) Jaji Semistocles Kaijage, amesema Tume imepokea Rufaa (mapingamizi) katika ngazi ya Ubunge na Udiwani 557 hadi sasa , nakusema kuwa Tume inaanza kusikiliza na kuzishughulikia Rufaa hizo mara moja kuanzia leo hii https://t.co/AtjrVGdDG9
Aacha uzuzu, hapa Lindi kuna mwendo kasi? au unadhani tz ni Dar tuWaingiaji barabarani huwa awasemi,wanatenda tu.
kwanza barabara ipi mtakayoingia,ya mwendo kasi ama?