Uchaguzi 2020 NEC imepokea rufaa 557 za mapingamizi, na imeanza kuzifanyia kazi

Tengeneza tatizo Kisha litatue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alikuwa anahutubia lkn watu wanamchunia tu haoni vigeregere wala makofi
Kwa hiyo Yale Mambo ya kumpa kazi Lissu alikuwa anajisemesha mwenyewe? Na je ni nani alimsimamisha? Police au wananchi wa Ikungi?
 
Sindano za Kamanda Mbowe zimeanza kuwaingia.
 
Tuipe nafasi tume ifanya maamuzi ya hizo rufaa. NEC pigeni kazi pasipo hofu.
 
Nadhani Tume yetu itakua inashikilia Guinness World Records kwakuwa na maamuzi mabovu yaliyokatiwa rufani kwa wakati mmoja. Rufani 557 si kiashiria kizuri kwa taasisi inayotegemewa kufanya maamuzi yatakayotupatia viongozi wa nchi. Kwa rufani hizo, maamuzi ya hii tume ni yakutilia shaka sana kuliko jambo lingine lolote.
 
Kuna factor ya muda pia, tume inatakiwa kulitambuwa hilo.
 
Hii Tume ya Uchaguzi isijaribu kutuharibia uchaguzi asilani. Upendeleo wowote ule utasababisha tuingie barabarani ili dunia ifahamu UFEDHULI wao.
Waingiaji barabarani huwa awasemi,wanatenda tu.
kwanza barabara ipi mtakayoingia,ya mwendo kasi ama?
 
Kwa Mfano mlalamikaji.akishinda anaanza kupiga kampeni,ilhali.mwenzake,aliyetangazwa kupita bila.kupingwa akiendelea au inakuwa vipi?
 

Kuna kipya gani ukichokiandika? Kwani huu Uzi unahusu nini? Tunahitaji comments, siyo kuurudia Uzi wa mwenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…