Uchaguzi 2020 NEC imepokea rufaa 557 za mapingamizi, na imeanza kuzifanyia kazi

Wamefeli sana, uwezo wao wa kuongoza hiyo tume ni mdogo
Akili za kuongoza wanazo ila sema wana kazi mbili ambazo zinakinzana. Ni sawa na daktari hospitalini ambaye amepewa kazi ya kutibu watu, lakini pia kapewa kazi na shetani ya kuua wagonjwa. Sasa kutibu na kuuwa ni shughuli ambazo zinakinzana.
 
Hio tume iache kupokea maelekezo kutoka juu ifiuate sheria na kanuni za chaguzi bila kuaegemea upande mwingine.Haki itendeke.
 
Hahahahahaa natamani wote warudishwe halafu uchaguzi ufanyike na Kabudi Mzee wa jalalani aangukie pua .Atakuwa katika kumbukumbu kuwa aliwahi kutangazwa na tume mshindi lakina baada ya siku chache kabla ya kuapishwa anatenguliwatena na tume HIyo hiyo ,Hiii itaonesha kweli jamaa ni kutoka jalalani
 
CCM wanafanya kampeni bila shida wenzao wanahaingaika na rufaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…