Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

IMG-20200928-WA0165.jpg
 
Sheria iko wazi, lakini kwa hali ilivyo, Mahera na wenzake hawataweza kuwachukulia hatua viongozi wake waliomteua.

Itakuwa rahisi kwa mahera kujiuzulu kuliko kumwita Rais na waziri mkuu kwenye kamati ya maadili.
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
Bila kuingia mtaani ndugu hakuna haki tutaona.
 
Back
Top Bottom