Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Waziri mkuu ni waziri kama mawaziri wengine waliotoka bungeni ni mbuge pia hicho cheo alichonacho kinatokana na ubunge wake.
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
Sijaona Rais ametajwa hapo kwenye sheria uliyoambatanisha pia Waziri Mkuu mkuu!!?
 
Huyu mhutu kishavuruga uchaguzi kwa kufuata maelekezo ya KICHAA ili kupambana na Lissu.



Huyo anatelekeza ilani ya ccm.
ilani_2378-20200824094528-397130.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
Hawawezi kuacha Hawa

Sahau,
 
Nimetafuta mantiki yeyote kwenye huu uzi nimeambulia patupu.
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
Hakuna wazir aliyetangaza kazi wala lolote isipokuwa rais na sheria hapo haijamkataza rais


Kinachofanyika wale wanapokea maagizo ambayo kisheria hayajakatazwa


Muwe mnaelewa
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
Umesahau jambo jingine "kutumia lugha ya kikabila ktk kuomba kura kwa wanainchi".
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
FB_IMG_1601294345040.jpg
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.

Babymama cariha , pls join me
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749
Mzembe sana wa Kufikiri wewe bwana, kuna sehemu amewahi kujitambulisha kama waziri?
Anapiga kampeni na ANARUHUSIWA KISHERIA KUFANYA HIVYO kwasababu
1. Yupo kwenye Orodha ya Watu 50 ambao wana jukumu la kumnadi Mgombea URais, Na sheria iko wazi kwamba Mgombea URais atakuwa na Timu ya watu wasiozidi 50 kumsaidia kupiga kampeni kokote nchini.
2. Mnapopigwa mweleka ni hapa, Hatumii cheo mnachomuita. Yeye ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM.

Mambo mepesi tu, mnahangaikaaa kama kuku anaetaka kutaga. Wacheni porojo
 
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni?

1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye.

Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria, Kwanini Rais Magufuli anatoa ahadi na kutekeleza miradi ya serikali wakati akiwa kwenye kampeni na amevalia nguo za CCM? Kuna tofauti gani kati ya kampeni na ziara?

2. Mwiteni na kumuonya Waziri mkuu.

Waziri mkuu anafanya kampeni nchi nzima na kutoa ahadi kama nani na anatumia sheria ya nchi gani?

Mnataka kulipeleka wapi taifa hili? Kwanini mnaanzisha uonevu wa wazi wazi ninyi?

Sasa tunasubiri na hawa muwaandikie barua. Mkikaa kimya tutajua kua mnatumika na Rais hatutakubaliana na hii double standard.

View attachment 1583749

Hii ni NEC ya kipumbavu sana .
 
Back
Top Bottom