Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Mgombea was CCM ana mengi ya kujibu ikiwemo kutumia lugha ya kikabila kisukuma , kutumia nyenzo za serikali Kama magari , kutisha na kufokea wapiga kura , kufanya kampeni za kibaguzi , kikabila yote haya aitwe ajibu ndio tuone haki inatendeka .
IMG_20200928_220255.jpg
IMG_20200929_104722.jpg
 
Back
Top Bottom