Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Kakojoe ulale
 
Hongera kwa kiingereza chako cha kutongozea mademu wa chuo.
 
Unadhani kuwa hawajui ni wanajitoa tu akili wehu awa.
 
Kwakweli mgombea urais wachama cha magu anacheza rafu nyingi sana mfano

Mkichagua mpinzani hampati maendeleo wakati tanzania ni 1 vyama visituondolee umoja wetu
Hii kauli imenikera sana na imebadili sana mtizamo wangu
 
Hii kauli imenikera sana na imebadili sana mtizamo wangu
Tunataka rais atauendeleza umoja wetu vyama vipo tanzania nimali yawatanzania kama yalivyo madini mareli mabwawa hatahayo mandendege tunavitu vingi vinaingiza hasara kama vile timu ya taifa na vilabu kimatafa lakini bado nivyetu
Tumkatae kwanguvu zote ambae ameshindwa kutugawa kwa dini ukabila hata anaejaribu kutugawa kwa kutumia vyama
 
 
Nimuhimu pia kujua wanakoishi na wanaposoma watoto wao
 
Kwa jinsi nionavyo uchaguzi Wa bongo ni maigizo tu na kukamilisha ratiba tu hakuna chochote
 
Ingekuwa vyema usome kwanza hicho ulichoambatisha kabla ya kulalamika. Wapi Rais na Waziri Mkuu wametajwa hapo. Ni sheria ipi unayoizungumza?
Ivi Mwalimu akisema viranja wote piteni mbele, kiranja mkuu atabaki nyuma? Mafisiem kuweni na akili walau kidogo basi kumsifu kiranja wa malaika muda wote hadi uwezo wa kufikiri unadumaa. Ukishakuwa waziri mkuu wewe ni waziri, ndo maana kwenye baraza la mawaziri waziri mkuu yumo. Katika uchaguzi huu wagombea wako kwenye ngazi tatu tu, udiwani, ubunge na urais. Wote wanaowania nafasi kwenye ngazi hizi ni wagombea na sheria inawataja kwa makatazo hayo.
 

Majaliwa anadhani ni Waziri Mkuu anayeendelea.

Kitaaluma yeye ni kocha wa kabumbu huyo ndiye PM anayeendelea.

Hivi ni Tz peke yake.
 
Ingekuwa vyema usome kwanza hicho ulichoambatisha kabla ya kulalamika. Wapi Rais na Waziri Mkuu wametajwa hapo. Ni sheria ipi unayoizungumza?
in short "watendaji wa serekali " nikwa ujumla hajatajwa moja moja.
Pia" mawaziri ...etc". Sasa wazir mkuu sio waziri[emoji849]
 
Nakiri ,umasikini wa akili ni tatizo kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…