Uchaguzi 2020 NEC, msiopowaita hawa raia hatutakubali huu uonevu

Mgombea was CCM ana mengi ya kujibu ikiwemo kutumia lugha ya kikabila kisukuma , kutumia nyenzo za serikali Kama magari , kutisha na kufokea wapiga kura , kufanya kampeni za kibaguzi , kikabila yote haya aitwe ajibu ndio tuone haki inatendeka .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…