K Kitumaki JF-Expert Member Joined Jun 26, 2019 Posts 388 Reaction score 313 Sep 29, 2020 #61 mng'ato said: Kwa unyenyekevu huu huyu jamaa anaweza kumuita Magu kwny kikao?View attachment 1583750 Click to expand... Mkurugenzi NEC yupo kwenye mazingira magumu sana ya utendaji kazi
mng'ato said: Kwa unyenyekevu huu huyu jamaa anaweza kumuita Magu kwny kikao?View attachment 1583750 Click to expand... Mkurugenzi NEC yupo kwenye mazingira magumu sana ya utendaji kazi
Chief Kabikula JF-Expert Member Joined Jan 1, 2019 Posts 7,567 Reaction score 9,037 Sep 29, 2020 #62 Mgombea was CCM ana mengi ya kujibu ikiwemo kutumia lugha ya kikabila kisukuma , kutumia nyenzo za serikali Kama magari , kutisha na kufokea wapiga kura , kufanya kampeni za kibaguzi , kikabila yote haya aitwe ajibu ndio tuone haki inatendeka .
Mgombea was CCM ana mengi ya kujibu ikiwemo kutumia lugha ya kikabila kisukuma , kutumia nyenzo za serikali Kama magari , kutisha na kufokea wapiga kura , kufanya kampeni za kibaguzi , kikabila yote haya aitwe ajibu ndio tuone haki inatendeka .