Uchaguzi 2020 NEC: Tulifanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum baada ya orodha ya majina hayo kuwasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA 19 Novemba 2020

Uchaguzi 2020 NEC: Tulifanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum baada ya orodha ya majina hayo kuwasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA 19 Novemba 2020

NEC,AG na Bunge ni vituko vya karne!Hii ni aibu kubwa sana!
Mmefikia hatua ya kuvipangia vyama vya siasa vya upinzani wabunge wa viti maalumu?
 
Nec Wana nn na cdm why wasiteue viti maalumu toka vyama vingine mfano tlp, cuf, udp, nk wakipata wawili wawili kila chama columns inatimia
 
NEC,AG na Bunge ni vituko vya karne!Hii ni aibu kubwa sana!
Mmefikia hatua ya kuvipangia vyama vya siasa vya upinzani wabunge wa viti maalumu?
Ajabu.Wasirudie kosa la kuiba kura zote 2025 angalau unaacha hata kidogo wapinzani robo ili kuepusha kadhia na aibu hii ya kupata viti maalumu
 
Back
Top Bottom