Uchaguzi 2020 NEC yakiri haijapokea majina ya CHADEMA Viti Maalum. Hongera CHADEMA kwa msimamo

Uchaguzi 2020 NEC yakiri haijapokea majina ya CHADEMA Viti Maalum. Hongera CHADEMA kwa msimamo

Ujue kusema tu tuliibiwa haitoshi,ukweli ni kwamba watu wengi waliichagua ccm isipokuwa huko kwenye ujumlishaji kura ndiko walifanya makeke ili mkuu wa malaika apite kwa kishindo angeweza kupita kwa margin ya kawaida tu,sasa kwa nini chadema ihangaike kuwasemea watu ambao hawataki kusemewa? Ni kuacha tu hizo mambo kila mtu apambane na hali yake mpaka tukipigika vya kutosha ndio akili zitakuja
 
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na wabunge wa upinzani. Watanzania wameamua kuchagua wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

Chadema kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Kabisa. Ndio maana tunashangaa hivi vitisho vya kuwafukuza Bungeni watu ambao hata hawajateuliwa.

Amandla...
 
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na wabunge wa upinzani. Watanzania wameamua kuchagua wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

Chadema kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.

Ungejitahidi angalau umalize darasa la saba labda ungekua na mawazo sahihi juu ya baadhi ya mambo muhimu.
 
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na wabunge wa upinzani. Watanzania wameamua kuchagua wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

Chadema kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Kama kweli watanzania wangeamua kuchagua CCM haya mauaji a na kufungiana mitandao yametoka wapi?
 
Kwanini Mnyika kamwambia 'wakikamilisha mchakato' atayapeleka mwenyewe badala ya kumwambia sie hatuleti?
 
Mbowe hapo lazima atumie fursa itayo jitokeza. Mzee wa fursa.
 
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na wabunge wa upinzani. Watanzania wameamua kuchagua wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

Chadema kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Mkuuu hivi ni kweli unaendaga kanisani au.msikitini na ile ya kutosema uongo unaielewa.kabisa?hivi ni kweli.kulikua na demkrasia.
 
Kwanini Mnyika kamwambia 'wakikamilisha mchakato' atayapeleka mwenyewe badala ya kumwambia sie hatuleti?
Ili asitokee mwingine kupeleka akajifanya katumwa na Mnyika CCM wajanja sana walifoji majina ya CUF na NEC ikayabariki.
 
Kwa hiyo kusema CHADEMA hawatopeleka kabisa majina ni taarifa ya kuchongwa?
Ili asitokee mwingine kupeleka akajifanya katumwa na Mnyika CCM wajanja sana walifoji majina ya CUF na NEC ikayabariki.
 
Kwa hiyo kusema Chadema hawatopeleka kabisa majina ni taarifa ya kuchongwa?
Ndio maana ya Mnyika kusisitiza kama ni kuleta nitayaleta mwenyewe, lkn kwani mnataka yapelekwe ili iweje.
 
Unajibuje utapeleka wakati hutambui matokeo yaliyopelekea mpewe nafasi hizo?
Ndio maana ya Mnyika kusisitiza kama ni kuleta nitayaleta mwenyewe, lkn kwani mnataka yapelekwe ili iweje.
 
Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.

CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!

Siasa siyo Uadui

Maendeleo hayana vyama!
Duuuu! Yaani wewe ni tahira bwashee.
 
Back
Top Bottom