Uchaguzi 2020 NEC yakiri haijapokea majina ya CHADEMA Viti Maalum. Hongera CHADEMA kwa msimamo

Uchaguzi 2020 NEC yakiri haijapokea majina ya CHADEMA Viti Maalum. Hongera CHADEMA kwa msimamo

Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.

CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya Wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!

Siasa siyo Uadui

Maendeleo hayana vyama!
Kwanini usiende wewe,hivyo viti ni mali ya NEC vinakufaa sana
 
Spika kasema Kuna maneno uteuzi wa akina mama viti maalumu vyama vya upinzani kwa akina mama

Spika kaonya wabunge viti maalum upinzani wajihadhari na rushwa isiyoeleweka kuwa wataeuliwa huko vyama vyao wakijirahisisha kirushwa wasije kwenda kumshtakia wakikosa kuwa ohh Mimi Kuna Rushwa isiyoeleweka nilitoa na chama hakikuniteua

Kasema ndio maana Kuna ucheleweshaji kuwateua kwa visingizio vya kutunga Kuna maneno huko vyama vya upinzani

Quote
Kinachomuuma ni nini kwa nini asikuchague wewe au awachague wake za mapolisi waliokuwa wakikimbia na maboksi wajaze nafasi za upinzani.
 
Bongo itakuwa kama ulaya mwaka 2025 huko tuwe na subira watanganyika
 
Ni wakati wa kuendelea na maisha hivyo acheni kulialia badala yake pigeni kazi!Hizi habari za CDM ninyi wa upande huo ndio mmekuwa mnazikuza sana kuhusu viti maalum!


Napendekeza hata hao walioko bungeni wajiunge na CCM ili kusiwe ns kisingizio cha maendeleo kuchelewa!
2025 chadema itaanza upya!!
 
Kama wamegomea viti maalum waachwe.

Kazi ya kuwakilisha wananchi haihitaji kulazimisha wala kulazimishwa

Maendeleo hayana vyama
Hawajagomea, kila mtu anataka watu wake ndo wawe wabunge viti maalum kila kiongozi kaleta hawara Yake, dada, mama mdogo nk Sasa hawaelewani maana chama kitashindwa kuwakamua mishahara yao maana kila mbunge viti maalum lazima ahonge 1.56 mil kila mwezi kwa Mbowe.
 
Huku spana ukienda insta napo spana tu kwa wabunge wa ccm huku comment zikiwa za kiwakiii mwaka huu na kuendelea watakiona cha moto
 
CHADEMA WAKATAE KILA KITU, UTAKUWA NI UKHANISI KAMA WATAKUBALI USHENZI HUO WAKATI LISU ANAKWQENDA KULIHUTUBIA BUNGE LA EU JUU YA UDHALIMU WA TANZANIA, WATAMUONA KICHAA NA MWONGOMKUBWA
 
Kama wamegomea viti maalum waachwe.

Kazi ya kuwakilisha wananchi haihitaji kulazimisha wala kulazimishwa

Maendeleo hayana vyama
Afisa kipenyo unahangaika kweli mtandaoni , kwani wakati mnaua watu , mnawajeruhi , piga risasi , bambika kesi , badilisha matokeo ,si mlitaka ushindi wa wabunge wote wa ccm , Sasa mnahangaika nini bakini kijani kibichi kitupu bungeni muipaishe nchi iwe Kama ulaya while the president mindset is that one of the dark ages .
 
Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.

CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya Wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!

Siasa siyo Uadui

Maendeleo hayana vyama!
Ndio siasa sio uadui ila watu wanaouliwa ni uadui?
 
Hawajagomea, kila mtu anataka watu wake ndo wawe wabunge viti maalum kila kiongozi kaleta hawara Yake, dada, mama mdogo nk Sasa hawaelewani maana chama kitashindwa kuwakamua mishahara yao maana kila mbunge viti maalum lazima ahonge 1.56 mil kila mwezi kwa Mbowe.
Kwanini wewe usiende au mpeleke mkeo.
 
Ujue kusema tu tuliibiwa haitoshi,ukweli ni kwamba watu wengi waliichagua ccm isipokuwa huko kwenye ujumlishaji kura ndiko walifanya makeke ili mkuu wa malaika apite kwa kishindo angeweza kupita kwa margin ya kawaida tu,sasa kwa nini chadema ihangaike kuwasemea watu ambao hawataki kusemewa? Ni kuacha tu hizo mambo kila mtu apambane na hali yake mpaka tukipigika vya kutosha ndio akili zitakuja
Mimi nakuunga mkono sana, CHADEMA kaeni pembeni muone maendeleo yanavyoongezeka. CUF walakaa pembeni 2015-2020 mnaona Zanzibar ilivyo zaidi ya Dubai sasa?
 
Hujui madhara yake wewe dogo! Pale bungeni kuna kamati tatu zilikuwepo na zilikua na msaada kutoka kwa mabeberu takriban Trillion 2 kwa mwaka! Kamati zile zilitokana na uwepo wa upinzani, leo zimefutika na kwa maana hiyo Trillion 2 imeyeyuka! Usifurahie kila kitu, vingine jaribu ku-digest tu kidogo!!! Binafsi sio mwanasiasa, wala sina chama. Nawapenda wote wenye fikra pevu ambao hawafikirii kwa kutumia tumbo kama wewe! Jaribu kutumia akili zilizopo kichwani, it will sound good.
Mbumbumbu waliokaririshwa cha kusema wanajua nini hao.? Wanaambiwa Tanzania ni Dona Kantri wanashangilia Kama Mazuzu.
 
Back
Top Bottom