Uchaguzi 2020 NEC yakiri haijapokea majina ya CHADEMA Viti Maalum. Hongera CHADEMA kwa msimamo

Uchaguzi 2020 NEC yakiri haijapokea majina ya CHADEMA Viti Maalum. Hongera CHADEMA kwa msimamo

Wananchi hawajawakataa CHADEMA,bali idara yetu ikishirikiana na NEC na POLISI ndiyo waliochagua huu upuuzi,usitake kupotosha watu hapa
 
Tunataka baada ya miaka 5,Tukute Tanzania kama USA hivyo kama ndio tuliwachelewesha basi tunawaacha
Maendeleo ni safari ndefu yenye kukosea na kujifunza kwingi.

CCM wamekosea na wamejifunza mengi ndio maana wamekua na nguvu mpya, wakati USA wamekosea na kujifunza mengi zaidi ndio maana wana nguvu zaidi maendeleo makubwa

Tanzania kuwa kama USA inawezekana kabisa ila usisahau Tanzania ilipata uhuru 1961 na USA ilipata uhuru 1776.

Pamoja tunaweza, Maendeleo hayana vyama👍
 
Hawajagomea, kila mtu anataka watu wake ndo wawe wabunge viti maalum kila kiongozi kaleta hawara Yake, dada, mama mdogo nk Sasa hawaelewani maana chama kitashindwa kuwakamua mishahara yao maana kila mbunge viti maalum lazima ahonge 1.56 mil kila mwezi kwa Mbowe.

Kazi kwekweli😂😂😂😂
Ubinafsi haujawahi waacha salama
 
Kwa nini mnateseka?

Kwetu raha tuu

Mtakua mmeisaidia serikali sana kupunguza gharama.
Wahenga tunasema - Akunyimae kunde akupunguzia mashuzi. Bakini na kunde zenu😁😁😁😁
 
Afisa kipenyo unahangaika kweli mtandaoni , kwani wakati mnaua watu , mnawajeruhi , piga risasi , bambika kesi , badilisha matokeo ,si mlitaka ushindi wa wabunge wote wa ccm , Sasa mnahangaika nini bakini kijani kibichi kitupu bungeni muipaishe nchi iwe Kama ulaya while the president mindset is that one of the dark ages .

King Kisali mbona hakuna anayehangaika???

Nimesema tuu kwamba "Kama wamegomea viti maalum waachwe. Kazi ya kuwakilisha wananchi haihitaji kulazimisha wala kulazimishwa"

Maendeleo hayana vyama
 
Spika kasema Kuna maneno uteuzi wa akina mama viti maalumu vyama vya upinzani kwa akina mama

Spika kaonya wabunge viti maalum upinzani wajihadhari na rushwa isiyoeleweka kuwa wataeuliwa huko vyama vyao wakijirahisisha kirushwa wasije kwenda kumshtakia wakikosa kuwa ohh Mimi Kuna Rushwa isiyoeleweka nilitoa na chama hakikuniteua

Kasema ndio maana Kuna ucheleweshaji kuwateua kwa visingizio vya kutunga Kuna maneno huko vyama vya upinzani

Quote
Ukiona spika anasema hivyo basi ujue kwamba,ule upasuaji aliofanyiwa kule India ulifanyika vyema kwa kuutoa ubongo wake na kumuwekea kamasi.
 
“Mnyika mwenyewe anafahamu kuwa bado hatujapokea majina na alisema atayaleta majina hayo yeye mwenye endapo watakamilisha utaratibu wao, hivyo mpaka sasa hivi, NEC hatujapokea majina kutoka CHADEMA ambayo yamesainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho,” alisema Mahera.
Mhhhhh Chadema wana Mpango wa kupeleka majina??
 
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haijapokea orodha ya majina ya wabunge wa viti maalumu kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera, alisema tume bado haijapokea orodha hiyo kama ambavyo imekuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Kuna orodha ya majina inayosambaa kwenye mitandao ikionyesha majina ya wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA. Orodha hiyo si ya kweli kwani hadi sasa hatujapokea orodha ya majina ya walioteuliwa kwenye nafasi ya ubunge wa viti maalumu kutoka chama hicho,” alisema.

Mkurugenzi huyo alisema amesikitishwa na taarifa ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, iliyodai kuwa orodha ya majina hayo ni ya tume.

“Tume tumesikitishwa sana kusikia Katibu wa CHADEMA, John Mnyika, akidai kuwa orodha ya majina ya wa bunge wa viti maalumu ni ya tume. Imetusikitisha sana kwa kuwa siyo kweli,” aliongeza.

Dk. Mahera alisema aliwasiliana na Mnyika kwa kumpigia simu na kumwandikia barua ya kuulizia orodha ya majina hayo na kumwambia asubiri mpaka atakapoyaleta yeye mwenyewe baada ya utaratibu wa chama kukamilika.

“Mnyika mwenyewe anafahamu kuwa bado hatujapokea majina na alisema atayaleta majina hayo yeye mwenye endapo watakamilisha utaratibu wao, hivyo mpaka sasa hivi, NEC hatujapokea majina kutoka CHADEMA ambayo yamesainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho,” alisema Mahera.

“Bado tunasubiri majina hayo ambayo yametiwa saini na kupigwa muhuri wa Katibu Mkuu wa chama kwa kuwa utaratibu ndio unaelekeza hivyo,” alisisitiza.

Kutokana na kuvuja kwa orodha hiyo, kuna taarifa kwamba Mnyika alimwandikia barua Dk. Mahera, kutaka kupewa ufafanuzi kama tume imeshatangaza na kuwasilisha bungeni majina 19 ya wabunge wa viti maalumu wa chama hicho.

Aidha, tangu kutoka kwa mijana hayo kwenye mitandao, kumekuwa na taharuki juu ya chanzo halisi cha majini hayo, huku wapinzani, wakiwamo CHADEMA, wakiirushia lawama NEC kuwa ndiyo imehusika.

Chanzo cha habari ni Gazeti la Nipashe
Sasa nimeelewa faida ya kutoa taarifa haraka unaponusa harufu ya usaliti.
 
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haijapokea orodha ya majina ya wabunge wa viti maalumu kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera, alisema tume bado haijapokea orodha hiyo kama ambavyo imekuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Kuna orodha ya majina inayosambaa kwenye mitandao ikionyesha majina ya wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA. Orodha hiyo si ya kweli kwani hadi sasa hatujapokea orodha ya majina ya walioteuliwa kwenye nafasi ya ubunge wa viti maalumu kutoka chama hicho,” alisema.

Mkurugenzi huyo alisema amesikitishwa na taarifa ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, iliyodai kuwa orodha ya majina hayo ni ya tume.

“Tume tumesikitishwa sana kusikia Katibu wa CHADEMA, John Mnyika, akidai kuwa orodha ya majina ya wa bunge wa viti maalumu ni ya tume. Imetusikitisha sana kwa kuwa siyo kweli,” aliongeza.

Dk. Mahera alisema aliwasiliana na Mnyika kwa kumpigia simu na kumwandikia barua ya kuulizia orodha ya majina hayo na kumwambia asubiri mpaka atakapoyaleta yeye mwenyewe baada ya utaratibu wa chama kukamilika.

“Mnyika mwenyewe anafahamu kuwa bado hatujapokea majina na alisema atayaleta majina hayo yeye mwenye endapo watakamilisha utaratibu wao, hivyo mpaka sasa hivi, NEC hatujapokea majina kutoka CHADEMA ambayo yamesainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho,” alisema Mahera.

“Bado tunasubiri majina hayo ambayo yametiwa saini na kupigwa muhuri wa Katibu Mkuu wa chama kwa kuwa utaratibu ndio unaelekeza hivyo,” alisisitiza.

Kutokana na kuvuja kwa orodha hiyo, kuna taarifa kwamba Mnyika alimwandikia barua Dk. Mahera, kutaka kupewa ufafanuzi kama tume imeshatangaza na kuwasilisha bungeni majina 19 ya wabunge wa viti maalumu wa chama hicho.

Aidha, tangu kutoka kwa mijana hayo kwenye mitandao, kumekuwa na taharuki juu ya chanzo halisi cha majini hayo, huku wapinzani, wakiwamo CHADEMA, wakiirushia lawama NEC kuwa ndiyo imehusika.

Chanzo cha habari ni Gazeti la Nipashe
I sz
Hongera Sana CHADEMA kwa Msimamo huo ! Hapo tumetegwa mtego mbaya Sana ! Mkiteua tu , ni kwamba mmekubali Uchaguzi uliendeshwa kwa uhuru na haki !!! Msiteue . Waachane na bunge lao!
 
Nani kawalazimisha
Kama wamegomea viti maalum waachwe.

Kazi ya kuwakilisha wananchi haihitaji kulazimisha wala kulazimishwa

Maendeleo hayana vyama
Nani kawalazimisha?, NEC wao.wametoa taarifa ya kukanusha taarifa ya wana ufipa kuwa NEC imepeleka bungeni majina na haiyajui.

Kwa hiyo kma hamtaki.kupeleka majima kaeni kimya muda ukiisha hakuna wa kuwauliza bali.mtakuwa mmetumia haki yenu.
 
Kwetu raha tuu

Mtakua mmeisaidia serikali sana kupunguza gharama.
Wahenga tunasema - Akunyimae kunde akupunguzia mashuzi. Bakini na kunde zenu😁😁😁😁
KIKAO cha CCM hko Dodoma kina semaje wana hoja gani lini watanza kuingia na nguo za CCM?
 
Binafsi sina uwezo wa kuishawishi kamati kuu ya CHADEMA lakini nawaomba wapeleke majina ya viti maalumu,wanawake wakaipiganie demokrasia bungeni wanaume waipiganie nnje ya bunge,tuwaamini wamejitoa na watajitoa kwa ajili ya chama.
 
Uhuru na Mawazo ya vyama vya uupinzani baada ya uchaguzi vitasaidia nini? Waendelee wenyewe huko Bungeni, lengo lao limetimia.
CHADEMA imatumia uhuru wake wa kidemokrasia kuwaachia CCM waendelee na lengo lao.
Huo ndio ukomavu wa kisiasa.
Unapoona jambo jema unaachia tu!
 
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na Wabunge wa Upinzani. Watanzania wameamua kuchagua Wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.

Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.

CHADEMA kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
bange bila kula ni shida.[emoji41]
 
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haijapokea orodha ya majina ya wabunge wa viti maalumu kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera, alisema tume bado haijapokea orodha hiyo kama ambavyo imekuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

“Kuna orodha ya majina inayosambaa kwenye mitandao ikionyesha majina ya wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA. Orodha hiyo si ya kweli kwani hadi sasa hatujapokea orodha ya majina ya walioteuliwa kwenye nafasi ya ubunge wa viti maalumu kutoka chama hicho,” alisema.

Mkurugenzi huyo alisema amesikitishwa na taarifa ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, iliyodai kuwa orodha ya majina hayo ni ya tume.

“Tume tumesikitishwa sana kusikia Katibu wa CHADEMA, John Mnyika, akidai kuwa orodha ya majina ya wa bunge wa viti maalumu ni ya tume. Imetusikitisha sana kwa kuwa siyo kweli,” aliongeza.

Dk. Mahera alisema aliwasiliana na Mnyika kwa kumpigia simu na kumwandikia barua ya kuulizia orodha ya majina hayo na kumwambia asubiri mpaka atakapoyaleta yeye mwenyewe baada ya utaratibu wa chama kukamilika.

“Mnyika mwenyewe anafahamu kuwa bado hatujapokea majina na alisema atayaleta majina hayo yeye mwenye endapo watakamilisha utaratibu wao, hivyo mpaka sasa hivi, NEC hatujapokea majina kutoka CHADEMA ambayo yamesainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho,” alisema Mahera.

“Bado tunasubiri majina hayo ambayo yametiwa saini na kupigwa muhuri wa Katibu Mkuu wa chama kwa kuwa utaratibu ndio unaelekeza hivyo,” alisisitiza.

Kutokana na kuvuja kwa orodha hiyo, kuna taarifa kwamba Mnyika alimwandikia barua Dk. Mahera, kutaka kupewa ufafanuzi kama tume imeshatangaza na kuwasilisha bungeni majina 19 ya wabunge wa viti maalumu wa chama hicho.

Aidha, tangu kutoka kwa mijana hayo kwenye mitandao, kumekuwa na taharuki juu ya chanzo halisi cha majini hayo, huku wapinzani, wakiwamo CHADEMA, wakiirushia lawama NEC kuwa ndiyo imehusika.

Chanzo cha habari ni Gazeti la Nipashe
Hizo drama za orodha sijui wabunge iliandaliwa na wao wenyewe ili ionekane wanaonewa. Taratibu wanazijua, ili waendelee kushine lazima kila siku waje na story ambayo utasikia baade wana lazimisha kuwa lazima tume ije ijibu kwenye magazeti.
 
Sasa wakiletwa mcheleweshe maendeleo tulio ya kosa kwa miaka59.
Mje mtusimange tena CHADEMA kuwa ndio kikwazo.
MACCM nyie pigeni kazi tu, nchi ya chama kimoja hii.
 
CCM tupige kazi,maana tumewalaumu sana upinzani kuwa wanatucheleweshea maendeleo. Nimefurahi sana kuona wamegoma kuteua wabunge wa viti maalumu,wangeenda kutusumbua tu. Sasa naona bara bara yetu ya Mpiji Magoe iliyomshinda Mnyika jimbo la Kibamba inaenda kuwekwa lami.
 
Ni wakati wa kuendelea na maisha hivyo acheni kulialia badala yake pigeni kazi!Hizi habari za CDM ninyi wa upande huo ndio mmekuwa mnazikuza sana kuhusu viti maalum!

Napendekeza hata hao walioko bungeni wajiunge na CCM ili kusiwe ns kisingizio cha maendeleo kuchelewa!
Hata yule mbunge wa kuchongwa na CCM, CHADEMA naomba wamfute ibaki CCM pekee.
 
Back
Top Bottom