Huku nafsi yako inakusutaTume hii ni very democratic. Inazingatia uhuru wa mawazo ya kila chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku nafsi yako inakusutaTume hii ni very democratic. Inazingatia uhuru wa mawazo ya kila chama.
Mtu kashakuwa mbunge miaka kumi utalinganisha na kapuku gani?tunasikia Bulaya anahangaika sana. Hana ajira?
Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.
CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!
Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!
Awe chintuTume hii ni very democratic. Inazingatia uhuru wa mawazo ya kila chama.
Ni kweli kabisa, ila kwa Tz tena awamu hii siasa ni uadui mkubwa kabisa!CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!
Siasa siyo Uadui
Mbona unataka ligi kwa jambo lisilo mbele na nyuma? Kwanza hapa hatujadili kauli ya Mnyika tunajadili kauli ya Mahera. Hata hivyo Mahera kasema Mnyika atapeleka ENDAPO watakamilisha utaratibu wao unaujua ni upi na wataamua nini.Unajibuje utapeleka wakati hutambui matokeo yaliyopelekea mpewe nafasi hizo?
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na Wabunge wa Upinzani. Watanzania wameamua kuchagua Wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.
Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.
CHADEMA kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Uhuru na Mawazo ya vyama vya uupinzani baada ya uchaguzi vitasaidia nini? Waendelee wenyewe huko Bungeni, lengo lao limetimia.Tume hii ni very democratic. Inazingatia uhuru wa mawazo ya kila cham
Wanapaswa kuunga juhudi za maendeleo waache fikra potofu.Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.
CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya Wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!
Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!
Ni kipindi kama hiki huwa anaenda India kwa matibabu! Sasa msamehe!Tayari Spika anayo na kasema wasipohudhuria mikutano mitatu watajifukuzisha, sijui aliwaapisha lini.
Sio tunawalazimisha bali ni kwamba tunawatoa kwenye fikra potofuMlikuwa mnatamani Chadema ifutike na bado manabii wenu wakasema hakuna mbunge hata mmoja wa Chadema atakayerudi bungeni,kiufupi ni kwamba MNAWACHUKIA SANA CHADEMA. Sasa leo mbona mnawabembeleza wapeleke wabunge wa viti maalumu bungeni?
Demokrasia mkuu, hakuna atakayetimuliwa ila atakayekataa hatolazimishwaHata huyo Aida na yule wa Mtwara timueni mbaki wenyewe ili mlete maendeleo kwa kasi ya 5G,hii ni donnor kantrii
Kaogopa aibu ya pili..TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haijapokea orodha ya majina ya wabunge wa viti maalumu kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dk. Wilson Mahera, alisema tume bado haijapokea orodha hiyo kama ambavyo imekuwa ikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii.
“Kuna orodha ya majina inayosambaa kwenye mitandao ikionyesha majina ya wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA. Orodha hiyo si ya kweli kwani hadi sasa hatujapokea orodha ya majina ya walioteuliwa kwenye nafasi ya ubunge wa viti maalumu kutoka chama hicho,” alisema.
Mkurugenzi huyo alisema amesikitishwa na taarifa ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, iliyodai kuwa orodha ya majina hayo ni ya tume.
“Tume tumesikitishwa sana kusikia Katibu wa CHADEMA, John Mnyika, akidai kuwa orodha ya majina ya wa bunge wa viti maalumu ni ya tume. Imetusikitisha sana kwa kuwa siyo kweli,” aliongeza.
Dk. Mahera alisema aliwasiliana na Mnyika kwa kumpigia simu na kumwandikia barua ya kuulizia orodha ya majina hayo na kumwambia asubiri mpaka atakapoyaleta yeye mwenyewe baada ya utaratibu wa chama kukamilika.
“Mnyika mwenyewe anafahamu kuwa bado hatujapokea majina na alisema atayaleta majina hayo yeye mwenye endapo watakamilisha utaratibu wao, hivyo mpaka sasa hivi, NEC hatujapokea majina kutoka CHADEMA ambayo yamesainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho,” alisema Mahera.
“Bado tunasubiri majina hayo ambayo yametiwa saini na kupigwa muhuri wa Katibu Mkuu wa chama kwa kuwa utaratibu ndio unaelekeza hivyo,” alisisitiza.
Kutokana na kuvuja kwa orodha hiyo, kuna taarifa kwamba Mnyika alimwandikia barua Dk. Mahera, kutaka kupewa ufafanuzi kama tume imeshatangaza na kuwasilisha bungeni majina 19 ya wabunge wa viti maalumu wa chama hicho.
Aidha, tangu kutoka kwa mijana hayo kwenye mitandao, kumekuwa na taharuki juu ya chanzo halisi cha majini hayo, huku wapinzani, wakiwamo CHADEMA, wakiirushia lawama NEC kuwa ndiyo imehusika.
Chanzo cha habari ni Gazeti la Nipashe
Yani nakubaliana na wewe, CHADEMA isipeleke wabunge viti maalum kwasababu wananchi wameisha ikataa, kwanini CCM inalazimisha?!Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na Wabunge wa Upinzani. Watanzania wameamua kuchagua Wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.
Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.
CHADEMA kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Tunataka baada ya miaka 5,Tukute Tanzania kama USA hivyo kama ndio tuliwachelewesha basi tunawaachaDemokrasia mkuu, hakuna atakayetimuliwa ila atakayekataa hatolazimishwa