ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hata huyo Aida na yule wa Mtwara timueni mbaki wenyewe ili mlete maendeleo kwa kasi ya 5G,hii ni donnor kantriiKama wamegomea viti maalum waachwe.
Kazi ya kuwakilisha wananchi haihitaji kulazimisha wala kulazimishwa
Maendeleo hayana vyama
Kabisa. Ndio maana tunashangaa hivi vitisho vya kuwafukuza Bungeni watu ambao hata hawajateuliwa.Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na wabunge wa upinzani. Watanzania wameamua kuchagua wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.
Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.
Chadema kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Mkuu yule ni CCM kama Dr slaa na Lowassa ukiwapa hifadhi wanataka wa kutawaletunasikia Bulaya anahangaika sana. Hana ajira?
Ester Bulaya anasingiziwa. Nia ni kuibomoa BAWACHA ambayo imeonyesha umahiri wake katika Uchaguzi uliopita.tunasikia Bulaya anahangaika sana. Hana ajira?
Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na wabunge wa upinzani. Watanzania wameamua kuchagua wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.
Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.
Chadema kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
SureEster Bulaya anasingiziwa. Nia ni kuibomoa Bawacha ambayo imeonyesha umahiri wake katika uchaguzi uliopita.
Amandla...
Kama kweli watanzania wangeamua kuchagua CCM haya mauaji a na kufungiana mitandao yametoka wapi?Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na wabunge wa upinzani. Watanzania wameamua kuchagua wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.
Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.
Chadema kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Once you are done you pretend to be transparent. What a shame!!!!!!!!!!!!!!!!!!Tume hii ni very democratic. Inazingatia uhuru wa mawazo ya kila chama.
Mkuuu hivi ni kweli unaendaga kanisani au.msikitini na ile ya kutosema uongo unaielewa.kabisa?hivi ni kweli.kulikua na demkrasia.Demokrasia haimaanishi lazima kuwe na wabunge wa upinzani. Watanzania wameamua kuchagua wabunge wa CCM. Maamuzi yao ndio demokrasia.
Siku wakitaka kuchagua wapinzani watawachagua.
Chadema kama hawataki kushiriki Bunge ni chaguo lao. Kwanza wananchi wameshawakataa kwa kiasi kikubwa, kwahiyo hakuna madhara yoyote wasipokuwepo.
Ili asitokee mwingine kupeleka akajifanya katumwa na Mnyika CCM wajanja sana walifoji majina ya CUF na NEC ikayabariki.Kwanini Mnyika kamwambia 'wakikamilisha mchakato' atayapeleka mwenyewe badala ya kumwambia sie hatuleti?
Ili asitokee mwingine kupeleka akajifanya katumwa na Mnyika CCM wajanja sana walifoji majina ya CUF na NEC ikayabariki.
Ndio maana ya Mnyika kusisitiza kama ni kuleta nitayaleta mwenyewe, lkn kwani mnataka yapelekwe ili iweje.Kwa hiyo kusema Chadema hawatopeleka kabisa majina ni taarifa ya kuchongwa?
Ndio maana ya Mnyika kusisitiza kama ni kuleta nitayaleta mwenyewe, lkn kwani mnataka yapelekwe ili iweje.
Duuuu! Yaani wewe ni tahira bwashee.Ni jambo jema, Ile orodha iliandaliwa Ufipa ili kutest zali.
CHADEMA sasa pelekeni ile orodha ya mzee Mgaya ya wabunge waliofeli majimboni akina Mdee, Mwakagenda, Peneza, Bulaya Matiko Ruge, Pareso, Kiwanga nk nk!
Siasa siyo Uadui
Maendeleo hayana vyama!